batmanwafez
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 882
- 1,361
Kuzima mtandao pia ni kosa. Binadamu tuna haki zetu za msingi na hii ya haki ya ku access internet ipo pamoja na haki ya kusoma, kuvaa , kula n.kNingependa kuwakumbusha tu matumiz ya vpn ni kosa kisheria kwa mujibu wa sheria unaweza kuhukumiwa miaka saba jera na fine ya milion tatu au vyote kwa pamoja kabla hujamaliza kushangaa na kuanza kubisha nakukumbusha tu hata jamiiforum wanakes mahakaman na kosa lao ni kutumia domain ya dot com badala ya dot tz chukia tahadhar jera sio kuzuri kuna manyampara wana roho mbya na ukame wa miaka mingi asanten na kwaheri
Wakiamua kutufunga kisa tumetumia vpn na sisi tutawafunga kwa kutufungia internet ambayo ni haki yetu ya msingi.
Halafu mkuu na wewe uache uoga...watakushikaje simu inasoma nipo Washington kwa trump.
