Sir_Mimi
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 7,152
- 15,604
Mdau anamanisha vijana wanozunguka humu kusifia ushindi wa wizi huku nao wakiwa banned na internet kiasi inabidi nao watumie VPN ili ku-access mitandao kutoa hizo sifa.tunawapa taarifa VPN ndio Baba lao
Wanatumika kama ped wajinga hawa na hawajitambui,unamsifia mtu ushindi unashindwa tathimini ameshindaje mbona ana hofu kiasi hiko?