All TRUTH
JF-Expert Member
- Nov 20, 2011
- 5,452
- 2,571
Kwani unaitumiaje Hiyo VPN na unaipataje ??Ha ha! Kuna watu wasingekuwa karibu nami mpk sahivi wangekuwa nje ya mtandao! Wacha nijisifu maana niligutuka mapema mno kulitambua hili likiwa bado hatua za awali! Wengine waliona kama ajabu kurudi hewani..kama nchi tumefika pabaya siko proud na hili they are afraid of their own shadow!
kama nchi tumefika pabaya siko proud na hili they are afraid of their own shadow!
