FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,802
Sina chanzo chochote cha taarifa za ndani kati ya serikali na acacia . Ila nadiriki kusema mazungumzo hayo yalishakwisha kitambo kwa kutumia akili za kuzaliwa tu. Hebu tujiulize machache haya harafu tuamue mazungumzo yanaendelea au yashakwisha kitambo.
Tangu mazungumzo hayo yaanze ni takribani mwezi sasa. Je mtanzania mwenzangu una amini unaweza kukaa na mzungu mwezi mzima kujadili jambo moja kama hili la mchanga??? Kwa ninavyowafaham wazungu wanajali sana muda kuliko chochote kile . Siamin hata kidogo kwamba bado wanazungumza na serikali yetu. Kwan hayo mazungumzo ni ya kuuziana nchi ? Mazunguzo ya nani yuko sahihi kati ya ACACIA na serikali ndio ichukue muda wote huo?? Thubutu!! Mazungumzo yalisha isha, ila naona tumepigwa za usso sasa tunajipanga tutatokaje mbele za wananchi.!! Mzungu kwake masaa 24 ya kuacha kaz moja harafu afanye kaz ya ziada jua kaz ya siku tatu itafanywa kwa siku moja. Tukae bongo na wazungu wale mwez et kujadiliana nani yuko sahihi?? Mnipige mniue hakuna kitu kama hicho.
Kinachoweza kutokea ni labda walikaa siku mbili tatu kila mmoja akaenda zake kuandaa maamuz ya oficce yake than wamepanga kuja kukutana siku ya kutoa taarifa. Lakn hili la kusema mazungumzo yanaendelea tutakua tunaota.
Kingine cha kutia shaka. Iweje ACACIA wapeleke notice ya kukusudia kutushitak kama mazungumzo yanaendelea?? Si watakua wanafanya maamuz wakati kikao kinaendelea jambo ambalo litatia litahatarisha mazungumzo kukatika?? Kuna uwezekano mkubwa tumeshindana nao kwa kukaa meza moja kwa zile jeuri zetu . Sasa wameamua kutuonyesha njia sahihi ya kutuonyesha hawatanii kwamba hawatoi hata mia isipokua wao ndio wanatudai.
Mwisho;
je wewe mdanganyika mwenzangu una amini mazunguzo yanaendelea???
= halafu
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?