Vipi update za mazungumzo na Accacia

Vipi update za mazungumzo na Accacia

Sina chanzo chochote cha taarifa za ndani kati ya serikali na acacia . Ila nadiriki kusema mazungumzo hayo yalishakwisha kitambo kwa kutumia akili za kuzaliwa tu. Hebu tujiulize machache haya harafu tuamue mazungumzo yanaendelea au yashakwisha kitambo.

Tangu mazungumzo hayo yaanze ni takribani mwezi sasa. Je mtanzania mwenzangu una amini unaweza kukaa na mzungu mwezi mzima kujadili jambo moja kama hili la mchanga??? Kwa ninavyowafaham wazungu wanajali sana muda kuliko chochote kile . Siamin hata kidogo kwamba bado wanazungumza na serikali yetu. Kwan hayo mazungumzo ni ya kuuziana nchi ? Mazunguzo ya nani yuko sahihi kati ya ACACIA na serikali ndio ichukue muda wote huo?? Thubutu!! Mazungumzo yalisha isha, ila naona tumepigwa za usso sasa tunajipanga tutatokaje mbele za wananchi.!! Mzungu kwake masaa 24 ya kuacha kaz moja harafu afanye kaz ya ziada jua kaz ya siku tatu itafanywa kwa siku moja. Tukae bongo na wazungu wale mwez et kujadiliana nani yuko sahihi?? Mnipige mniue hakuna kitu kama hicho.

Kinachoweza kutokea ni labda walikaa siku mbili tatu kila mmoja akaenda zake kuandaa maamuz ya oficce yake than wamepanga kuja kukutana siku ya kutoa taarifa. Lakn hili la kusema mazungumzo yanaendelea tutakua tunaota.

Kingine cha kutia shaka. Iweje ACACIA wapeleke notice ya kukusudia kutushitak kama mazungumzo yanaendelea?? Si watakua wanafanya maamuz wakati kikao kinaendelea jambo ambalo litatia litahatarisha mazungumzo kukatika?? Kuna uwezekano mkubwa tumeshindana nao kwa kukaa meza moja kwa zile jeuri zetu . Sasa wameamua kutuonyesha njia sahihi ya kutuonyesha hawatanii kwamba hawatoi hata mia isipokua wao ndio wanatudai.

Mwisho;

je wewe mdanganyika mwenzangu una amini mazunguzo yanaendelea???

= halafu

Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
 
Aisifuye mvua imemmnyea. Tuliwasifia wanaume, wametugonga, wametutelekeza na gu-mimba gwetu. Watatupeleka mahakamani na tutalipa mamilioni ya dola. Baba jesca unaangamiza taifa kwa maamuzi yako ya pupa
Haki ya nani maneno yako yame MPA mtu heart attack [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulipe tu kupitia yale matundu au hata kwa kurudisha kodi ya kichwa ili tunyooke.
 
Mimi pia nasubiri kwa hamu kuambiwa kile tulichokubaliana.

Japo naona ndoto ya kumiliki Noah inazidi kufifia.

Hisia pia zinanituma kuamini kuwa tupo ICU. Maana ninavyomjua Baba Jesca na misifa yake, kama mambo yangekuwa poa tungeshajua kitambo sana.

MUDA NI MWALIMU MZURI.
Shida yetu ni kukosa subira. 'Wanaume' wamejitolea kuzileta Noah kabisa ndio maana kuna ukimya. Hebu 'bwageni mioyo', muda huu pambana upate leseni ili siku ya uzinduzi usiseme tumekutenga, maana tutapiga bonge la show tukiperuuuuuuuuz juu ya 'furahi ova' yetu.

Timaaaaaam?
 
Idadi ya deni letu huenda kubwa kuliko lao kwetu.
Ikiwa hivyo unacontrol tu.

Habeeb Marhan
 
Bi mkubwa leseni Noah yako yaja.
Ukikutana na hii njiani, ujuwe FaizaFoxy hayupo mbali:

Ford-Ranger-2016-2.jpg.cf.jpg
 
Sina chanzo chochote cha taarifa za ndani kati ya serikali na acacia . Ila nadiriki kusema mazungumzo hayo yalishakwisha kitambo kwa kutumia akili za kuzaliwa tu. Hebu tujiulize machache haya harafu tuamue mazungumzo yanaendelea au yashakwisha kitambo.

Tangu mazungumzo hayo yaanze ni takribani mwezi sasa. Je mtanzania mwenzangu una amini unaweza kukaa na mzungu mwezi mzima kujadili jambo moja kama hili la mchanga??? Kwa ninavyowafaham wazungu wanajali sana muda kuliko chochote kile . Siamin hata kidogo kwamba bado wanazungumza na serikali yetu. Kwan hayo mazungumzo ni ya kuuziana nchi ? Mazunguzo ya nani yuko sahihi kati ya ACACIA na serikali ndio ichukue muda wote huo?? Thubutu!! Mazungumzo yalisha isha, ila naona tumepigwa za usso sasa tunajipanga tutatokaje mbele za wananchi.!! Mzungu kwake masaa 24 ya kuacha kaz moja harafu afanye kaz ya ziada jua kaz ya siku tatu itafanywa kwa siku moja. Tukae bongo na wazungu wale mwez et kujadiliana nani yuko sahihi?? Mnipige mniue hakuna kitu kama hicho.

Kinachoweza kutokea ni labda walikaa siku mbili tatu kila mmoja akaenda zake kuandaa maamuz ya oficce yake than wamepanga kuja kukutana siku ya kutoa taarifa. Lakn hili la kusema mazungumzo yanaendelea tutakua tunaota.

Kingine cha kutia shaka. Iweje ACACIA wapeleke notice ya kukusudia kutushitak kama mazungumzo yanaendelea?? Si watakua wanafanya maamuz wakati kikao kinaendelea jambo ambalo litatia litahatarisha mazungumzo kukatika?? Kuna uwezekano mkubwa tumeshindana nao kwa kukaa meza moja kwa zile jeuri zetu . Sasa wameamua kutuonyesha njia sahihi ya kutuonyesha hawatanii kwamba hawatoi hata mia isipokua wao ndio wanatudai.

Mwisho;

je wewe mdanganyika mwenzangu una amini mazunguzo yanaendelea???

mazungumzo yaliisha tangu siku ile zitto aliporudi na kuanza ku post tena Twitter
 
Back
Top Bottom