Mzingo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2014
- 4,766
- 10,611
1)Natamani Wizara ya Elimu January kwenye siku fulani washtukize wapeleke mtihani wa darasa la saba kwa form one kwenye special school. Watatambua kuwa walioingia kiujanja ujanja kule ni wengi mno.
Ndio maana unashangaa mtu kasoma shule ya kawaida secondary halafu akafanya vizuri form iv,inawezekana alibaniwa nafasi yake na mtu aliyefanya ujanja ujanja.
2)Inasemekana kuna wabunge ambao walifanya ujanja ujanja wa kuiba kura ndio wakaupata ubunge,hiyo haifanyi tuache kutumia kura kupata wabunge bali ni kuboresha upigaji kura kusiwe na wizi wa kura. Kigezo cha NECTA kinafaa ila tu wizi na uchomekwaji udhibitiwe.
KWENYE MSAFARA WA MAMBA KENGE WANAWEZA KUWEMO ILA WAKATI MWINGINE KENGE WANAWEZA KUWA NI WENGI KULIKO MAMBA.
Vile vile kwenye msafara wa kenge mamba wanaweza kuwemo.
Inawezekana 60% ya walioko special hawana hawana uspecial au uspecial walio nao unazidiwa na uspecial wa wanafunzi wengine ambao hawako kwenye special school.
Ndio maana unashangaa mtu kasoma shule ya kawaida secondary halafu akafanya vizuri form iv,inawezekana alibaniwa nafasi yake na mtu aliyefanya ujanja ujanja.
2)Inasemekana kuna wabunge ambao walifanya ujanja ujanja wa kuiba kura ndio wakaupata ubunge,hiyo haifanyi tuache kutumia kura kupata wabunge bali ni kuboresha upigaji kura kusiwe na wizi wa kura. Kigezo cha NECTA kinafaa ila tu wizi na uchomekwaji udhibitiwe.
KWENYE MSAFARA WA MAMBA KENGE WANAWEZA KUWEMO ILA WAKATI MWINGINE KENGE WANAWEZA KUWA NI WENGI KULIKO MAMBA.
Vile vile kwenye msafara wa kenge mamba wanaweza kuwemo.
Inawezekana 60% ya walioko special hawana hawana uspecial au uspecial walio nao unazidiwa na uspecial wa wanafunzi wengine ambao hawako kwenye special school.