Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,011
- 142,702
mkuu, mimi naomba tu kufahamu aliyeleta hilo wazo la vipaji maalum ni nani hasa na lengo lake lilikuwa ni nini?
Lazima itakuwa ni Mulugo type.
mkuu, mimi naomba tu kufahamu aliyeleta hilo wazo la vipaji maalum ni nani hasa na lengo lake lilikuwa ni nini?
mfumo wa elimu haivitambui vipaji vya uvumbuzi kwenye ngazi ya chini hivyo wanatumia kigezo cha ufaulu kama kipaji hebu niambie ni mtoto gani tanzania kavumbua kitu at std7
Lazima itakuwa ni Mulugo type.
swali la kizushi kwa nini kila mtu(most of us) anayefaulu vizuri anataka kusoma udsm,muhas, mzumbe, na sua, na maks za kuingia iz chuo ni tofauti,na wanaosoma nje ya hapa wanaonekana vilaza
kwa advance goverment spesho ndo zinaongoza,ila kwa o level za private/seminarywatu ambao hawajasoma spesho utawajua tu!! Wivu umewajaaa! Subirini matokeo ya 4m 6 mwezi wa 5 ndo mseme
Kwa hiyo ina maana nikiwa nina bidii sana ya kujisomea na bidii hiyo kupelekea kufanya vizuri katika mitihani ya taifa basi nitakuwa na kipaji maalum?
Na kwani kipaji cha uvumbuzi siyo ishara ya akili kuliko wengine?
Kwa wasiojua....vipaji maalum maana yake wanafunzi waliofanikiwa kufikia UFAULU unaopatikana kwa WENYE VIPAJI TU!!hata NCHI ZA WENZETU wanayo haya!
Huo ufaulu ndo ukoje?[/QUOTE
Huujui au ligi tu?basi mchukue Diamond umpeleke hizo shule...kwako we hivyo si ndio vipaji maalum!!!
Huujui au ligi tu?basi mchukue Diamond umpeleke hizo shule...kwako we hivyo si ndio vipaji maalum!!!
Sijui kweli. Sasa jibu swali. Huo ufaulu ndo ukoje?
Hiyo ni standard scale ktk Elimu,mwenye marks nyingi ndio mwenye kipaji maalum japo kwangu naongezea.....marks nyingi ktk mazingira ambayo sio favorable ni kipaji maalum...mfano:MSULI SISIMIZI,MATOKEO TEMBO,kipaji maalum SIR!!
Shule za vipaji kwangu mimi ni zile zilizokuwa za ufundi...kama ifunda, moshi tech na dar tech enzi hizo...hawa hata masomo yao yalikuwa tofauti kabisa...hawa hata form for walikuwa wanaweza kuishi mtaani kutokana na ujuzi waliopewa...ndio waliokuwa nafundi redio mtaani..ndo wapaka rangi ndo mafundi bomba....maana mashuleni ndo walichokuwa wanasomea...ila hawa wa mzumbe, ilboru masomo yao ni sawa tu na ya wanafunzi wengine...na mitihani pia ni sawa....ingekuwa wale wa shule za ufundi wanaendelezwa vizuri ndo walikuwa na hadhi ya kuitwa vipaji maalumu
Kwa hiyo hata mimi nikiwa msongo nakesha usiku kusoma nikija kupata maksi nyingi ndo nakuwa na kipaji maalum, siyo?
Vipi kuhusu VETA?