Vipaji maalum si lolote, si chochote

Vipaji maalum si lolote, si chochote

Vipaji Maalum vimezidi kudorora Kidato cha Sita,2015. Mzumbe (14), Ilboru (16), Kilakala (18), Kibaha (22), Msalato (35) na Tabora Boys (53)

Nimefuatilia nyuzi zako kuroka kwenye jukwaa la siasa kule unaonekana hujiamini na hapo ulipo fika ni kwa bahati tu...unasumbuliwa na inferiority complex...na it seems ulitaka sana kusoma special school ukashindwa....poor you!!!
 
Nimefuatilia nyuzi zako kuroka kwenye jukwaa la siasa kule unaonekana hujiamini na hapo ulipo fika ni kwa bahati tu...unasumbuliwa na inferiority complex...na it seems ulitaka sana kusoma special school ukashindwa....poor you!!!

The return of Superman Mbwiga88 himself mzee wa TCU ..... Mbona kimya sana Chief, hauonekani kutupa maUpdates ziku hizi?

Vipi kiliota nyasi baada ya lile bandiko 😀......

Haya turudi kwenye Mada, Ivumwe imekuwa ya 5 kitaifa na kuzitupa nje shule zenu za "vipaji" yepi maoni yako, ukichukulia Ivumwe ni shule ya "Vilaza" walio feli na kidato cha nne na kutafuta credit au kuungaunga credit....
 
Last edited by a moderator:
Children and youth with outstanding talent perform or show the potential for performing at remarkably high levels of accomplishment when compared with others their age, experience, or environment. These children and youth exhibit high performance capability in intellectual, creative, and/or artistic areas, possess an unusual leadership capacity, or excel in specific academic fields. They require services or activities not ordinarily provided in the schools. Outstanding talents are present in children and youth from all cultural groups, across all economic strata, and in all areas of human endeavor. (U.S. Department of Education, 1993, p. 3)
1.Intellectually Gifted
Intellectually gifted students are those who have scored very high on standardized tests and usually excel in school. They are frequently very highly skilled verbally and have outstanding memories and literacy abilities—especially in reading and writing—compared with their typical age peers. They also tend to have outstanding critical thinking and problem-solving abilities and insatiable curiosities (Bireley, 1995). Intellectually gifted youth acquire, retain, and manipulate large amounts of information and appear to learn in intuitive leaps (Davis & Rimm, 2004; Silverman, 1995).

2.Creative and Talented
The definitions of creative and talented are widely varied, but consensus usually converges on the identification of individuals with exceptional talents in particular areas (Clark, 2002). Creatively gifted and talented youth often excel in the visual or performing arts. These students typically show outstanding abilities at young ages in particular areas. Davis (1995) listed the following 12 categories as representative of creative individuals: original, independent, risk taking, aware of creativeness, energetic, curious, has a sense of humor, attracted to complexity, artistic, open-minded, needs time alone, and intuitive.
NADHANI NAMBA 1 NDIO ILIYOTUMIKA KUPATA VIPAJI MAALUM WA TANZANIA
 
Ninachoona hapa ni mabishano kati ya waliosoma special school na wasiosoma special school.....
 
Mpaka leo sijapata jibu la swali langu!

Vipaji maalum maana yake nini na ni vigezo gani ambavyo waliamua kutumia kuamua huyu ana kipaji maalum na huyu hana?

Kwa sababu kupata alama za juu tu kwenye masomo haimaanishi kwamba una kipaji maalum.

Hao wanafunzi waliosoma kwenye hizo shule kuna hata mmoja aliyevumbua chochote cha kuboresha maisha ya mwanadamu?

Halafu, hao wanafunzi waliosoma kwenye hizo shule za vipaji maalum mbona tunawakimbiza sana huku uraiani.

Vipaji maalum maana yake nini?
Maana yake ni wale waliokushinda katika ufaulu
 
Haaa inabidi tulio soma huko tuseme ukweli, mzumbe, ilboru, tabora, kibaha, kilakala na msalato ndio shule zilizopo juu kwa upande wa serikali ni spesho school sababu ya akili binafsi ya wanafunzi waliopo hapo. Kiufundishaji sawa na kata tu tuliosoma advance pale tumeyaona yaan wewe ndio mwalimu kukava utajua mwenyewe. Lakini likija swala la ufaulu huwezi kulinganisha na shule ya kata kupata wastani wa sabini form 2 wewe ni wa kawaida tu ilboru, Azania utaeshimika shule za kata sijui kama kuna mwenye ubavu wa kufikisha 70 matokeo tuna yajua. SPESHO ZINAKUFA VIPI SASA? Shule kama feza huwa zina tabia ya kusomesha bure vijana wenye maksi kali ambao ndo ilipaswa waende spesho kama ulikua hujui basi ndo ujue hivyo.
 
Vijana ambao ilipaswa waende spesho wanasomeshwa bureeeee na hizo shule zinazo ongoza katika matokeo ndo chanzo cha majanga spesho kwan nna ushahid wa kutosha wa watu wanao piga shule freeee ni maksi zao ndo zina walinda uende ilboru au mzumbe kwenda kupiga misuli yatima ili iweje?
tanzania ina shule sita zinazojulikana kama vipaji maalum. Zipo nne za wavulana na mbili za wasichana. Shule hizo ni mzumbe,tabora boys,ilboru,na kibaha(kwa wavulana). Kwa wasichana ni kilakala na msalato.

Katika matokeo ya kidato cha nne ya 2012 yaliyotangazwa leo,shule hizo za vipaji maalum zimeboronga. Hakuna hata moja iliyo kwenye kumi bora. Zimeshindwa kujidhihirishia utofauti wao. Vipaji maalum sasa hakuna lolote,hakuna chochote.

Nafasi zao ni kama ifuatavyo: Mzumbe(17),kibaha(18),ilboru(31),tabora boys(44),msalato(59) na kilakala(63).

Note: Shule mpya ya marian boys ambayo ndio kwanza imeanza kutoa wahitimu wa kidato cha nne imeshika nafasi ya pili kitaifa. Hii ni shule pacha ya marian girls (zote ziko bagamoyo).marian girls imekamata nafasi ya nne nyuma ya feza boys(3) na vinara st. Francis girls ya mbeya.

Kwaheri vipaji maalum!
 
Sabu ya kufifia ni kwamba watu wanaotakiwa kwenda huko spesho wanasomeshwa bure pamoja na uchakachuaji kuna watu wanakula hela hapo
ukileta mambo ya nobel prize na kipaji maalum unakosea sana, chambua kwa logic....ila ni ukweli kuwa sasa hivi ni tofauti na zamani...siku hizi ile impacts ya vipaji maalum haipo labda ni mfumo wa elimu umeharibika.....ila zamani nalikuwa naona sana na watu walikuwa wakitoka olvel to advance wanapaa zaidi to chuo....walikuwa vipaji kweli...mpaka majina wengine mpala leo nawafhamau kwa majina...
Mosses mwizarubi..
Sebastian ernest...etc by that time nilikuwa o level...nilikuwa mfuatiliaji sana wa results.....zilinipa hamasa.....moaka sasa wenigne wa lecture madaktari etc.....ila ni tofauti sasa hazina impact...mzumbe, kibaha, tabora, ilboru majina makubwa yaliyofifia.....zilikuwa heshima kwa serikali...but now gvt issues alomost zote ni ovyooo

ila dont relate it na nobel prizes...
 
Haaa inabidi tulio soma huko tuseme ukweli, mzumbe, ilboru, tabora, kibaha, kilakala na msalato ndio shule zilizopo juu kwa upande wa serikali ni spesho school sababu ya akili binafsi ya wanafunzi waliopo hapo. Kiufundishaji sawa na kata tu tuliosoma advance pale tumeyaona yaan wewe ndio mwalimu kukava utajua mwenyewe. Lakini likija swala la ufaulu huwezi kulinganisha na shule ya kata kupata wastani wa sabini form 2 wewe ni wa kawaida tu ilboru, Azania utaeshimika shule za kata sijui kama kuna mwenye ubavu wa kufikisha 70 matokeo tuna yajua. SPESHO ZINAKUFA VIPI SASA? Shule kama feza huwa zina tabia ya kusomesha bure vijana wenye maksi kali ambao ndo ilipaswa waende spesho kama ulikua hujui basi ndo ujue hivyo.

Nawe ulisoma spesho skul? Huko ndo ulikofundishwa kuandika?

SMDH!
 
Wivu ni kama mchanga ambao una zui kuona vizuri kama huoni JK nini kalifanyia taifa wewe unaleta siasa naamin sio CCM wenzio wanapandishiwa mishahara unaambiwa shule za advance sasa hazitosh watu wamefaullu wanakosa nafasi sas nendeni kasomeni ualimu mnapata mikopo mje kufundisha advance sio kulalamika tukianzisha advance atafundisha nani? kachukueni ajira kama alivyosema atamwaga ajiraaaaa
Hata JK amesoma vipaji kibaha kaleta jipya gani? huko ni vipaji maalumu au waliobahatisha kukariri majibu yaliyotoka kwenye mitihani?
 
Kwan wewe unanionaje si ndo unafikiri kila kitu hadi mfundishwe mambo yapo wazi ukisoma huko unaposama ukifaulu vizuri spesho kwa ajili yako hayo mengine ni wivu tu hata nikikuuliza shule gani za serikali zimekaa juu ya spesho ktk matokeo haya sijui utasemaje?
Nawe ulisoma spesho skul? Huko ndo ulikofundishwa kuandika?

SMDH!
 
nyani ngab wivu huo bana neda kaangalie matokeo ya form six ondoa kwanza private theni utuambie shule gani ya serikali imezipita shule hizo? Pili lazima ujue kwamba shule za private huwa zina tabia ya kusomesha bure vipaji vilivyo takiwa kwenda spesho ili kubeba matokeo na mbinu za chini za kuwasaidi ktk mitihani hiyo hapo hela ina tumika rushwa haiiishi ng'oooooo tz yaan haitatokea. Kiufundishaji jamaa wanapigwa shule balaa yaani kumaliza sirabasi ya form 5 na 6 kwa mwaka mmoja then form six ina rudiwa upya tena wakat kule ilboru utajiju mwenyewe uangaike unapojua. Agalia hii then useme kwann wanamtanga wa 8? wa kwanza yupo wapi? huyo wa kulia ni mwalimu wa feza ili mpasa aende mzumbe olevel hakwenda na advance kapelekwa tena hakwenda hiyo ndo hali halisi tusiende kishabiki Kidato cha sita watamba - Kitaifa
 
nyani ngab wivu huo bana neda kaangalie matokeo ya form six ondoa kwanza private theni utuambie shule gani ya serikali imezipita shule hizo? Pili lazima ujue kwamba shule za private huwa zina tabia ya kusomesha bure vipaji vilivyo takiwa kwenda spesho ili kubeba matokeo na mbinu za chini za kuwasaidi ktk mitihani hiyo hapo hela ina tumika rushwa haiiishi ng'oooooo tz yaan haitatokea. Kiufundishaji jamaa wanapigwa shule balaa yaani kumaliza sirabasi ya form 5 na 6 kwa mwaka mmoja then form six ina rudiwa upya tena wakat kule ilboru utajiju mwenyewe uangaike unapojua. Agalia hii then useme kwann wanamtanga wa 8? wa kwanza yupo wapi? huyo wa kulia ni mwalimu wa feza ili mpasa aende mzumbe olevel hakwenda na advance kapelekwa tena hakwenda hiyo ndo hali halisi tusiende kishabiki http://www.mwananchi.co.tz/habari/Kitaifa/Kidato-cha-sita-watamba/-/1597296/2791006/-/b7yae6z/-/index.html
Sasa hapo ndo umeandika nini wewe? Hebu rudia kusoma uone kama hata utaelewa ulichoandika.



Kwa hiyo kama mimi nikipata 52 kwenye hesabu halafu wewe upate 54, wewe ndo utakuwa na kipaji?



Hivi umetoka kunywa kangala ndo ukaja kuandika humu au....?
 
Dah sijui nkusaidie vipi ila nenda wanapo fanya kazi hao waliosoma vipaji maalumu ukaone wanachofanya wapo wengi tu madaktari, mainjinia nk then utapata majibu ya maswali yako
Jibu swali nini maana ya vipaji maalum? Onyesha mifano inayoweza kusadifu dhana ya vipaji maalum...

Je vipaji maalum wanaishia wapi? Kuna specific place ambayo watu hao huelekea ikiwa kwenye ajira au elimu ya juu?

Ni UPI mchango Wa vipaji maalumu kwa nchi unaoweza kujipambanua tofauti na elimu ya kawaida??
 
nyani ngab wivu huo bana neda kaangalie matokeo ya form six ondoa kwanza private theni utuambie shule gani ya serikali imezipita shule hizo? Pili lazima ujue kwamba shule za private huwa zina tabia ya kusomesha bure vipaji vilivyo takiwa kwenda spesho ili kubeba matokeo na mbinu za chini za kuwasaidi ktk mitihani hiyo hapo hela ina tumika rushwa haiiishi ng'oooooo tz yaan haitatokea. Kiufundishaji jamaa wanapigwa shule balaa yaani kumaliza sirabasi ya form 5 na 6 kwa mwaka mmoja then form six ina rudiwa upya tena wakat kule ilboru utajiju mwenyewe uangaike unapojua. Agalia hii then useme kwann wanamtanga wa 8? wa kwanza yupo wapi? huyo wa kulia ni mwalimu wa feza ili mpasa aende mzumbe olevel hakwenda na advance kapelekwa tena hakwenda hiyo ndo hali halisi tusiende kishabiki Kidato cha sita watamba - Kitaifa

Bila shaka hujasoma #Ilboru Secondary School wewe... Ila nakubali wewe ni "spesho" na una kipaji "maalum":thumbup:
 
Back
Top Bottom