Vipaji maalum si lolote, si chochote

Vipaji maalum si lolote, si chochote

kwanza nakupa hongera kwa kusoma special school..!! upo vizuri ila
Mkuu achana na hawa watu..!!
hawata kuelewa hata kidogo...!!
kama angekua kasoma kipaji asinge sema ayo maneno...!!.

Ayo-hayo

Alafu hakuna shule Tz inaitwa kipaji.😀
 
Tukumbuke pia ubora unaonyeshwa na consistency... Msinielewe vibaya ila shule ya kata iliyoibukia jxt one yr ikawa kwenye twenty bora hauwezi ukalinganisha na ilboru au mzumbe ambao wamekuwa kwenye nafasi hizo on regular basis. Ktk kuunga mkono walichosema baadji ya wakuu hapo juu kwa mfano dogo aliyekuwa to wa science this yr alisoma ilboru o level. Baada ya tokeo la 4 fedha wakamnyakua.... Nimehitimu Ilboru...na naona bado kuna umuhimu wa hizi shule...
 
Mi naona ambao hawakusoma vipaji wanapata inferiority complex tuu..aliyesoma kipaji ni kipaji tuu u cant match urself u need extra effort
 
special school...then wat next after that...anyway am proud also because i passed through these shit schools...ofcourse there is a little difference if your compare them with other schools..it is nothing rather than psychological difference..student from special schools (but not all of them) believe in their ability and force themselves to be superior than others..that is an advantage and has many positive outcomes..ofcourse we see them in universities..most of them are fighters...it is not like they are much intelligence than others..they are just psychologically redressed...even an average student sent to these schools can perfom well (here i don mean in necta or whatever exams, i am interested in competence).a student scoring division 2 at Runzewe or maryan galz sec. school is totally different from a student scoring division 2 at mzumbe sec school in term of competence..sometimes let us judge people not using their exam results...long live TABORA BOYS
 
The saga continues...Jana tena, hakuna shule hata moja ya vipaji maalum iliyochomoza katika kumi bora ya kitaifa kwa matokeo ya kidato cha nne.
 
The saga continues...Jana tena, hakuna shule hata mopja ya vipaji maalum iliyochomoza katika kumi bora ya kitaifa kwa matokeo ya kidato cha nne.
Na kwa mwendo huu wa kukumbatia vya bure kwenye vitu vya msingi kama elimu inayohitaji gharama tutarajie maafa zaidi kwa hizi shule zetu pendwa.
 
Watu wanakupinga tu Nyani Ngabu lakini ukweli ndo huu unao ueleza hapa.Hao wanafunzi ambao wame graduate kwenye hizo shule za vipaji maalumu wamelisaidia nini taifa na jamii iliyowazunguka?
Kuna jamaa angu nilimaliza nae primary school(Tabora boys) 2006 Mimi nikachaguliwa Jamhuri Dar sec school lakini sikuwahi kuona u special wake kuanzia msingi hadi sec.Hivyo kigezo cha mtihani unaofanyika kwa siku mbili hakuwezi kum baini mwanafunzi mwenye kibaji maalumu hiyo haipo kabisa may be Tanzania.Ili umtambuwe mwanafunzi huyu ni kipaji maalumu inatakiwa umtathimini from bottom kabisa 2+age maendeleo yake na IQ yake.
Mimi ni mwalimu by professional japo nili drop,kuna mwanasaikolojia anasema ili kumjuwa mtoto/mwanafunzi ambaye ni kipaji maalumu basi atakuwa anafanya mambo/kusolve problems mbalimbali ambazo hazilingani na umri wake.Exmp mtoto wa drs la 1 anafanya hesabu za drs la 7 au mwanafunzi wa form 4 anasolve madude ya chuo Bila wasiwasi.
Lakini lazima tujuwe kuwa kuna tofauti kati ya juhudi na kipaji.

Nyabu usibishane nao hayo ndio matokeo ya kutumia mitihani kama kipimo cha akili kwa mwanafunzi,kasumba hii imeuwa vipaji vingi vya wanafunzi huko mashuleni
 
Back
Top Bottom