Vipaji maalum si lolote, si chochote

Vipaji maalum si lolote, si chochote

Ki academic kama haukupitia vipaji alifaulu kuliko ww.

Sasa hapo ndo umeandika nini wewe? Hebu rudia kusoma uone kama hata utaelewa ulichoandika.

Kwani mtu akifaulu kukuzidi si tayari ni kipaji bana au unawachukia na pia hautaki uonekane kama ulizidiwa.

Kwa hiyo kama mimi nikipata 52 kwenye hesabu halafu wewe upate 54, wewe ndo utakuwa na kipaji?

Hata ukikimbia na usain bolt atakushinda so ni kipaji kuliko ww.ishu kwani ipo wapo watu walikaa na kutengeneza system ww unataka kuiua .

Hivi umetoka kunywa kangala ndo ukaja kuandika humu au....?
 
Ambaye ww haukukariri hebu onyesha mana yy ameshakuonyesha kwa kufaulu zaidi au ku perform zaidi kimtihani kaka.

Sema ni nature ya binadamu hataki kuzidiwa na ikitokea akizidiwa atadisi ili gape lisiwepo .ila ikitokea akiwa ndo yupo kwenye hicho kiatu atajitahidi kionekane kwa namna yyte .

Asikudanganye mtu yyte chini ya dunia anatafuta kukubalika na ikishindikana ndo mara mie sitaki sifa .wote huo wa nn.au sisomei sifa na bado haujawahi kumuona akienda kwa mwalimu ili apunguze marks toka 98 mpka 56 say mana yy hatafuti sifa

Jibu swali nini maana ya vipaji maalum? Onyesha mifano inayoweza kusadifu dhana ya vipaji maalum...

Je vipaji maalum wanaishia wapi? Kuna specific place ambayo watu hao huelekea ikiwa kwenye ajira au elimu ya juu?

Ni UPI mchango Wa vipaji maalumu kwa nchi unaoweza kujipambanua tofauti na elimu ya kawaida??
 
Jibu swali nini maana ya vipaji maalum? Onyesha mifano inayoweza kusadifu dhana ya vipaji maalum...

Je vipaji maalum wanaishia wapi? Kuna specific place ambayo watu hao huelekea ikiwa kwenye ajira au elimu ya juu?

Ni UPI mchango Wa vipaji maalumu kwa nchi unaoweza kujipambanua tofauti na elimu ya kawaida??
1.ni kundi dogo sana la watu kwenye jamii wenye uwezo mkubwa wa kupambanua mambo,kama huajapitia huko unaweza usiwaone,zipo nyingi hizi shule duniani kiujumla na siyo system ya bongo tu...........kibongo bongo kutokana na siasa kuingia kwenye elimu umuhimu wa hizi shule unazidi kupotezwa
2.Binafsi nilibahatika kusoma kwenye hizi shule darasa la PCM lote lilienda UDSM,PCB yote ilihamia Muhimbili huku ECA yote ikihamia mzumbe mkuu huoni tofauti wengine ni madaktari,mainjinia,wahasibu,wakurugenzi,wanasiasa,mapofresa n.k. e.g.wakina Tundu Lissu,Mnyika
3.Ni kundi linaloweza kuleta mabadiliko endapo litawekwa pamoja katika kufanya maamuzi na si vinginevyo........na kumbukahawa watu ni academic oriented so usitegemee uwachanganye na wanasiasa utegemee mabadiliko,wengi wao wapo nje ya nchi.
 
1.ni kundi dogo sana la watu kwenye jamii wenye uwezo mkubwa wa kupambanua mambo,kama huajapitia huko unaweza usiwaone,zipo nyingi hizi shule duniani kiujumla na siyo system ya bongo tu...........kibongo bongo kutokana na siasa kuingia kwenye elimu umuhimu wa hizi shule unazidi kupotezwa
2.Binafsi nilibahatika kusoma kwenye hizi shule darasa la PCM lote lilienda UDSM,PCB yote ilihamia Muhimbili huku ECA yote ikihamia mzumbe mkuu huoni tofauti wengine ni madaktari,mainjinia,wahasibu,wakurugenzi,wanasiasa,mapofresa n.k. e.g.wakina Tundu Lissu,Mnyika
3.Ni kundi linaloweza kuleta mabadiliko endapo litawekwa pamoja katika kufanya maamuzi na si vinginevyo........na kumbukahawa watu ni academic oriented so usitegemee uwachanganye na wanasiasa utegemee mabadiliko,wengi wao wapo nje ya nchi.


Hujajibu swali....

Tofauti kuu ya hao tunaowaita vipaji ktk education outcomes ni zipi tukiwatofautisha na wengine?


Unaelewa vizuri dhana ya kipaji? je mfumo uliokupeleka huko Vipaji maalum ndo mfumo sahihi Wa kung'amua vipaji?

Mtihani ni kipimo sahihi ya kutambua kipaji cha MTU? Kama ndiyo unazungumziaje waigiliziaji, wevi Wa mitihani waliopasua na kwenda huko?

pili unajua mtihani uliofanya juzi nikikupa Leo unaweza ukafeli? hivi kipaji kinapatikana kwa mfumo huu Wa knowledge/competence approaches tena kwa kupima ukariri au umahiri Wa waliosoma mambo ya wavumbuzi wengine??

Kuna Dr. mmoja Wa UDSM aliwahi uliza kwenye mjadala je serikali ijibu vipaji wanakwenda wapi? maana wanaowapokea vyuoni ukiwapima uwezo wao hauna tofauti na wengine.....
 
Maneno ambayo tumeyazoea kimaana ,hutafasiriwa upya kwenye sheria ili kukidhi matakwa ya eneo husika.

Watu wa sheria huanza na NENO HEREINAFTER kwenye kutafasiri neno ili kukidhi kwenye mazingira husika.

Katika jamii yetu neno kipaji lina maana fulani iliyozoeleka hivyo ninaamini wakati mpango wa kuanzisha hizi shule enzi hizo ,mkataba wa

wizara ya elimu ulikuwa na HEREINAFTER za kutosha ili kuitafasiri upya.


Kwa mfano 1) 'Hereinafter,a special student is the student who shows highest performance in the national exams.'

2)'Hereinafter ,a special school is a school whose students will be from among the special student as defined in part (1) above.


Kwa mfano,Utajiri uko defined/unapimwa kwa pesa ambazo mtu anazo,sasa mtu akiwa amemshikia mtu pesa naye tunawezahisi ni tajiri

,baada ya muda mfupi tukakuta huyu jamaa hana pesa kwa kuwa kamrudishia mwenyewe. Hii haifanyi tubadilishe tafasiri ya Tajiri,bali

tutakuwa makini kwenye upimaji wa utajiri baadaye.Kuna watu hujaribu kuiba mitihani ili tu nao wa-fit kwenye definetion ya special

students(as per definetion ya wizara ya elimu). Watu hao wakijakujulikana baadaye kuwa waliiba ndio huchafua taswira ya wengine.

Hata hivyo kuna uhusiano mkubwa kati ya uwezo kitaaluma na uwezo wa kufanya kazi hata kufuata maelekezo apewayo. katika

mazingira ya kawaida.

Ukitaka kujua tofauti yao ,tafuta wanafunzi 200 waliochaguliwaga special schoool waliokowa humu ndani Jamii forum na 200 ambao

hawakuchaguliwa special walioko humu ndani utapata picha ya utofauti wao kwa kupitia aina ya uchangiaji wao kwenye mada

mbalimbali.

NOTE,wapo ambao hawakusoma special ila wanaonesha exeptionalities,kama ambavyo TOGO sio special kwenye soka lakini Emmanuel

Adebayor anaonesha exceptionalities.

NOTE: Kwa wale waliochaguliwaga lakini waliendaga private uwahesabu kwenye kundi la special.
 
Hujajibu swali....

Tofauti kuu ya hao tunaowaita vipaji ktk education outcomes ni zipi tukiwatofautisha na wengine?


Unaelewa vizuri dhana ya kipaji? je mfumo uliokupeleka huko Vipaji maalum ndo mfumo sahihi Wa kung'amua vipaji?

Mtihani ni kipimo sahihi ya kutambua kipaji cha MTU? Kama ndiyo unazungumziaje waigiliziaji, wevi Wa mitihani waliopasua na kwenda huko?

pili unajua mtihani uliofanya juzi nikikupa Leo unaweza ukafeli? hivi kipaji kinapatikana kwa mfumo huu Wa knowledge/competence approaches tena kwa kupima ukariri au umahiri Wa waliosoma mambo ya wavumbuzi wengine??

Kuna Dr. mmoja Wa UDSM aliwahi uliza kwenye mjadala je serikali ijibu vipaji wanakwenda wapi? maana wanaowapokea vyuoni ukiwapima uwezo wao hauna tofauti na wengine.....
1.Haimaanishi kama haujapitia kipaji basi we hauna uwezo,na vile vile vipaji maana yake sio kushindana kuwapita ambao si vipaji, Kikubwa ninachokiona unaleta ubishani tu,kumbuka hivi ni vipaji vya ki-academic na si kuimba wala kucheza,SO OUTCOMES KUIJUA FANYA RESEARCH PITA MAKAZINI,BUNGENI,NENDA MUHAS PALE,DIT,COET.....NDIO UTAJUA,IKIWEZEKANA LETA JAMVINI HAPA....... 2.we unataka mfumo gani uwapeleke huko kama si mtihani,tembea dunia yeyote mtihani ndio kipimo cha mwenye kujua kaka.
3.kama mtihani si kipimo sahihi ulizia ukitaka kusoma undergraduate chuo chochote duniani unapimwa na nini,na kama mtu aliigilizia si let say form four si atafeli form six,kwani we unawivu gani,mtu kuitwa kipaji?
4.Acha kuleta hoja zako za kitoto dunia mzima watu huwa wanasoma mambo waliyogundua wengine,elimu yetu tuliirithi kutoka uingereza ndio ambayo inatumika almost duniani kote,mbona wengine wanashindwa kukariri hayo ya wengine na wanapata hadi ziro,ndio unataka tuwaite hao ni vipaji.
5.huyo Dr.alikuwa na lake jambo,mtu anaweza kupungukiwa uwezo kwa mambo mengi sana,mfano mimi nilipofika chuo nilianza kujishughulisha na masuala ya kisiasa,nakuna wenzangu kibao tulipofika mwaka wa tatu walianza kutibu mitaani,wengine walianza business hadi kuchukua mizigo Malaysia,wakirudi wanapiga END OF ROTATION,lakini bado walichomoka,chuo kuna mambo mengi broh,halafu wengi wahasomi kiushindani............we unakuta degree inaitwa UNCLASSIFIED........unategemea nini?
MWISHO:1.LETA MAONI NI MFUMO GANI WEWE UNAUTAKA ILI TUPATE DHANA HALISI YA KIPAJI?
2.NI KIPIMO GANI KIZURI TUKITUMIE KUPATA HAO AMBAO UNADHANI WAO NI VIPAJI,TOFAUTI NA MTIHANI?
3.JE WEWE ULITAKA VIPAJI WAKIMALIZA CHUO WAWE WANAENDA WAPI?

NOTE:KUMBUKA MIMI NAZUNGUMZIA VIPAJI VYA ACADEMIC NA SI UVUMBUZI,MZIKI WALA BIASHARA.
 
Tanzania ina Shule sita zinazojulikana kama Vipaji Maalum. Zipo nne za wavulana na mbili za wasichana. Shule hizo ni Mzumbe,Tabora Boys,Ilboru,na Kibaha(kwa wavulana). Kwa wasichana ni Kilakala na Msalato.

Katika matokeo ya Kidato cha Nne ya 2012 yaliyotangazwa leo,Shule hizo za vipaji maalum zimeboronga. Hakuna hata moja iliyo kwenye kumi bora. Zimeshindwa kujidhihirishia utofauti wao. Vipaji maalum sasa hakuna lolote,hakuna chochote.

Nafasi zao ni kama ifuatavyo: Mzumbe(17),Kibaha(18),Ilboru(31),Tabora Boys(44),Msalato(59) na Kilakala(63).

NOTE: Shule mpya ya Marian Boys ambayo ndio kwanza imeanza kutoa wahitimu wa kidato cha nne imeshika nafasi ya pili kitaifa. Hii ni Shule pacha ya Marian Girls (zote ziko Bagamoyo).Marian Girls imekamata nafasi ya nne nyuma ya Feza Boys(3) na vinara St. Francis Girls ya Mbeya.

Kwaheri vipaji maalum!
Hebu compare na contrast hapa http://maktaba.tetea.org/exam-results/ACSEE2005/s0119.html AND https://www.google.com/url?sa=t&rct...zsYACU5kJZ14DTFXA&sig2=9LjUyKtM4uQgyElfAVM8ng
 
Vipaji Maalum vimezidi kudorora Kidato cha Sita,2015. Mzumbe (14), Ilboru (16), Kilakala (18), Kibaha (22), Msalato (35) na Tabora Boys (53)
 
fungua matokeo yao ni dinstiction tu

wao hawana facilities na walimu marry marry spoon feeding

wao ni serikali nyie private

wao wapata mkono nyinyi mnambwera
 
hao hawana walimu,ukienda tabora boys mwl anakwambia soma mwenyewe,hao private ni biashara hiyo
 
Nijuavyo mmoja kati ya waliosoma vipaji maalum ni Mh Mwigulu Lameck Mchemba (Ieleweke sina nia yeyote ya kumnanga mheshimiwa). Sijui maudhui ya vipaji maalum ilikuwa ni nini na vimetuletea manufaa gani kwa taifa letu.
 
ukileta mambo ya nobel prize na kipaji maalum unakosea sana, chambua kwa logic....ila ni ukweli kuwa sasa hivi ni tofauti na zamani...siku hizi ile impacts ya vipaji maalum haipo labda ni mfumo wa elimu umeharibika.....ila zamani nalikuwa naona sana na watu walikuwa wakitoka olvel to advance wanapaa zaidi to chuo....walikuwa vipaji kweli...mpaka majina wengine mpala leo nawafhamau kwa majina...
Mosses Mwizarubi..
Sebastian Ernest...etc by that time nilikuwa o level...nilikuwa mfuatiliaji sana wa results.....zilinipa hamasa.....moaka sasa wenigne wa lecture madaktari etc.....ila ni tofauti sasa hazina impact...MZUMBE, KIBAHA, TABORA, ILBORU majina makubwa yaliyofifia.....zilikuwa heshima kwa serikali...but now GVT issues alomost zote ni Ovyooo

Ila dont relate it na nobel prizes...
 
Back
Top Bottom