Vipaji maalum si lolote, si chochote

Vipaji maalum si lolote, si chochote

nyani ngab wivu huo bana neda kaangalie matokeo ya form six ondoa kwanza private theni utuambie shule gani ya serikali imezipita shule hizo? Pili lazima ujue kwamba shule za private huwa zina tabia ya kusomesha bure vipaji vilivyo takiwa kwenda spesho ili kubeba matokeo na mbinu za chini za kuwasaidi ktk mitihani hiyo hapo hela ina tumika rushwa haiiishi ng'oooooo tz yaan haitatokea. Kiufundishaji jamaa wanapigwa shule balaa yaani kumaliza sirabasi ya form 5 na 6 kwa mwaka mmoja then form six ina rudiwa upya tena wakat kule ilboru utajiju mwenyewe uangaike unapojua. Agalia hii then useme kwann wanamtanga wa 8? wa kwanza yupo wapi? huyo wa kulia ni mwalimu wa feza ili mpasa aende mzumbe olevel hakwenda na advance kapelekwa tena hakwenda hiyo ndo hali halisi tusiende kishabiki Kidato cha sita watamba - Kitaifa
Kaka kbmk huyu jamaa ni wale waliokuwa wanatamani kusoma Special School akaanza kukariri akidhani ufaulu wa mitihani unatokana na kukariri aliposhindwa ndo anaanza chuki na visa,akimaliza hiyo topic utasikia anasema UDSM si lolote,Akitoka hiyo utasikia BEng na BSc ipi kali?Hawa watu ni kuwaelimisha tu akizingua achana nae.
 
Mi nadhani shule za kupongeza ni shule za kata mfano Runzewe ambayo kwa miaka mingi kadhaa imekuwa ikifanya vizuri sana licha ya kuwa ya kata,iko mbugani pasipo hata na nguzo ya umeme,tofauti na hizo academy ambazo wana kila kitu,canteen wanakula hadi sausage lakini bado wanashindanishwa na shule kama Runzewe,product ya Runzewe hata chuoni wana perform vizuri zaidi ya hao wanaotoka st......

Pia najiuliza hao wanaopiga picha wakipongezwa ni kwanini hawakwenda JKT ?
 
Kwan wewe unanionaje si ndo unafikiri kila kitu hadi mfundishwe mambo yapo wazi ukisoma huko unaposama ukifaulu vizuri spesho kwa ajili yako hayo mengine ni wivu tu hata nikikuuliza shule gani za serikali zimekaa juu ya spesho ktk matokeo haya sijui utasemaje?
Hizi ndo shule za serekali zilizoingia top ten form six,ipi ni special hapo?
-Runzewe (Geita),
Sumbawanga (Rukwa), Ivumwe (Geita), Vwawa (Mbeya), Kisimiri (Arusha), Namabengo (Ruvuma)
 
Haya weee mwenzio nna cheti cha ilboru na feza boys

Maneno mbofumbofu hayo...

Weka ushahidi hapa.... Acha kujipa credit.

Kwa uandishi wako nashindwa pata picha ya the so called "Vipaji"😀

Nikianza kuomba mchango wako katika jamii na ukipaji wako utaanza kurukaruka kama pop corn hapa ndani.

Dunia ya leo unajitapa na vyeti?🙁 pole sana kaka :thumbdown:.......
 
Mi nadhani shule za kupongeza ni shule za kata mfano Runzewe ambayo kwa miaka mingi kadhaa imekuwa ikifanya vizuri sana licha ya kuwa ya kata,iko mbugani pasipo hata na nguzo ya umeme,tofauti na hizo academy ambazo wana kila kitu,canteen wanakula hadi sausage lakini bado wanashindanishwa na shule kama Runzewe,product ya Runzewe hata chuoni wana perform vizuri zaidi ya hao wanaotoka st......

Pia najiuliza hao wanaopiga picha wakipongezwa ni kwanini hawakwenda JKT ?

Umehitimu darasa la saba lini?
 
nyani ngab wivu huo bana neda kaangalie matokeo ya form six ondoa kwanza private theni utuambie shule gani ya serikali imezipita shule hizo? Pili lazima ujue kwamba shule za private huwa zina tabia ya kusomesha bure vipaji vilivyo takiwa kwenda spesho ili kubeba matokeo na mbinu za chini za kuwasaidi ktk mitihani hiyo hapo hela ina tumika rushwa haiiishi ng'oooooo tz yaan haitatokea. Kiufundishaji jamaa wanapigwa shule balaa yaani kumaliza sirabasi ya form 5 na 6 kwa mwaka mmoja then form six ina rudiwa upya tena wakat kule ilboru utajiju mwenyewe uangaike unapojua. Agalia hii then useme kwann wanamtanga wa 8? wa kwanza yupo wapi? huyo wa kulia ni mwalimu wa feza ili mpasa aende mzumbe olevel hakwenda na advance kapelekwa tena hakwenda hiyo ndo hali halisi tusiende kishabiki Kidato cha sita watamba - Kitaifa

Madame Urassa hakukufundisha kipaji wewe kuandika kwa Aya?

Kipaji wa wapi wewe hata uandishi mdogo kama huu unakushinda... 😱
 
Kuandika nlijifunza mwenyewe lakn wewe ndio ulikua unapigwa kila siku kundika na mwalimu wako. Kuusu mimi wa wapi nenda kaulize necta wananijua
Madame Urassa hakukufundisha kipaji wewe kuandika kwa Aya?

Kipaji wa wapi wewe hata uandishi mdogo kama huu unakushinda... 😱
 
Kuandika nlijifunza mwenyewe lakn wewe ndio ulikua unapigwa kila siku kundika na mwalimu wako. Kuusu mimi wa wapi nenda kaulize necta wananijua

Basi ungeenda kuandika NECTA kwamba wewe ni kipaji na sio kutuletea ngonjera zako hapa.

Hakuna aliyekuomba utuambie umesoma shule gani, umekurupuka na shule zako unaombwa Ushahidi unawatupia mzigo NECTA 😀

Eti kipaji, yale maelezo ya awali kwenye joining instruction ya shule yako ya "Vipaji" imekulevya mpaka leo 😱

Pole sana ndugu yangu, kipaji usiyejua kuArgue....😀
 
Haya jina Kibwana Mkude fuata linki hii nmekuanikia ukaanue http://maktaba.tetea.org/exam-results/CSEE2004/s0189.html karibu katika kampuni yangu Topgcstech Web Solution upate huduma zetu
Maneno mbofumbofu hayo...

Weka ushahidi hapa.... Acha kujipa credit.

Kwa uandishi wako nashindwa pata picha ya the so called "Vipaji"😀

Nikianza kuomba mchango wako katika jamii na ukipaji wako utaanza kurukaruka kama pop corn hapa ndani.

Dunia ya leo unajitapa na vyeti?🙁 pole sana kaka :thumbdown:.......
 
Huo wivu necta mwenyewe ndiye aliye nipeleka huko niande nikamwambie nini cha ziada acha mipasho humu
Basi ungeenda kuandika NECTA kwamba wewe ni kipaji na sio kutuletea ngonjera zako hapa.

Hakuna aliyekuomba utuambie umesoma shule gani, umekurupuka na shule zako unaombwa Ushahidi unawatupia mzigo NECTA 😀

Eti kipaji, yale maelezo ya awali kwenye joining instruction ya shule yako ya "Vipaji" imekulevya mpaka leo 😱

Pole sana ndugu yangu, kipaji usiyejua kuArgue....😀
 
Huo wivu necta mwenyewe ndiye aliye nipeleka huko niande nikamwambie nini cha ziada acha mipasho humu

Kumbe ulipelekwa?
Hukujitambua kuwa wewe ni kipaji na unastahili kuwepo kwa "vipaji" wenzio mpaka ukapelekwa?
 
Wewe hauko sawa basi si ningefeli hata degree nisingepata kama ningekua sijitambui wabongo kwa majungu mpo vizuri acha nipige kazi zangu
Kumbe ulipelekwa?
Hukujitambua kuwa wewe ni kipaji na unastahili kuwepo kwa "vipaji" wenzio mpaka ukapelekwa?
 
Hivi ni kweli hamjui kuna kamchezo kakuachia mitihani shule ya msingi?
Wanafunzi wanafaulu vizuri kwa majibu walopewa na wakifika huko mnapopaita "shule za vipaji maalum" wanaona chenga tu.
tunayoyashuhudia walimu ni vituko tupu. kuna shule akisimamia mtihani mwalimu kauzu zinaingia kweny kumi za mwisho ila mishe zinazopigwa hapo utachoka bure
 
Na ndomana nilikwenda kipaji kilicho ongea ni maksi wala si longo longo

kwanza nakupa hongera kwa kusoma special school..!! upo vizuri ila
Mkuu achana na hawa watu..!!
hawata kuelewa hata kidogo...!!
kama angekua kasoma kipaji asinge sema ayo maneno...!!.
 
Back
Top Bottom