MD SPECIAL
JF-Expert Member
- Jul 4, 2025
- 1,162
- 2,795
hatujuani tu mkuu, ila kuna kima zina kera balaa sijui imenionaje kunishusha kiasi hicho.Hahahaha!
Mkuu jamaa kakugusa pabaya'nini?
hatujuani tu mkuu, ila kuna kima zina kera balaa sijui imenionaje kunishusha kiasi hicho.Hahahaha!
Mkuu jamaa kakugusa pabaya'nini?
Mke wa Mkapa ni mchagaNyerere?
Mwinyi sr?
Mkapa?
Kikwete?
Magufuli?
Umemsahau Madilu systemToka Uhuru viongozi wengi wameoa wenza wao toka Uchagani.
1. Dr. Mwigulu Nchemba, MP, PhD.
2. Dr Salmin Amour,
3. Fredrik Sumaye,
4. January Makamba,
5. Jumaa Awesso, MP
6. Nehemiah Mchechu,
7. Dr Faustine Ndugulile,
8. Daniel Silo, MP
9. Lawrence Mafuru,
10. Prof Kitila Mkumbo, MP, PhD.
11. Oscar Kambona,
12. Benjamin Mkapa.
**Je ni Siri gani imejificha kwa haya maua ya Kaskazini? Nadra Sana kusikia Kigoma, Katavi, Ruvuma, Mbeya/Songwe, Pwani. Hii inatufundisha nini?
NB: Tusishangae misafara kuelekea Kaskazini Disemba hii. Hawa watu Wana kipaji cha kuchungulia fursa za vijana wachapakazi. Wanavumilia kusuburia neema.
****Zunguka kwenye kumbi za harusi kwenye miji mikubwa Tanganyika. Katika kumbi 10 haukosi mabinti 9 (90%) wanaolewa.
Mchaga mjanjaToka Uhuru viongozi wengi wameoa wenza wao toka Uchagani.
1. Dr. Mwigulu Nchemba, MP, PhD.
2. Dr Salmin Amour,
3. Fredrik Sumaye,
4. January Makamba,
5. Jumaa Awesso, MP
6. Nehemiah Mchechu,
7. Dr Faustine Ndugulile,
8. Daniel Silo, MP
9. Lawrence Mafuru,
10. Prof Kitila Mkumbo, MP, PhD.
11. Oscar Kambona,
12. Benjamin Mkapa,
13. Job Ndugai,
**Je ni Siri gani imejificha kwa haya maua ya Kaskazini? Nadra Sana kusikia Kigoma, Katavi, Ruvuma, Mbeya/Songwe, Pwani. Hii inatufundisha nini?
NB: Tusishangae misafara kuelekea Kaskazini Disemba hii. Hawa watu Wana kipaji cha kuchungulia fursa za vijana wachapakazi. Wanavumilia kusuburia neema.
****Zunguka kwenye kumbi za harusi kwenye miji mikubwa Tanganyika. Katika kumbi 10 haukosi mabinti 9 (90%) wa kichaga wanaolewa.
Unajua kila jamii ina uniqueness yaksme ambayo hakuna jamii nyinyine inaweza fananan nayo, na hiyo huchangiwa na geographic ya eneo walilipo.. Angalia watu wa jamii ya Mbeya kwa ukarimu wao, angalia wamasai ya nature yao yakuishi kifamiliaNiliwahi kupata demu wa Tanga zaidi ya mauno ni kuomba pesa Tu. Nothing more she could offer.
Kuna mwanamke wa kichaga nzuri kama Joketi au mi macho yangu sio mazima,maana madenu wengi wa kichaga wana miguu kama chelewa na sura za baba zao.Wanawake wa kichaga ni wazuri Generally
13 ndio wengi? Halafu hapo kadhaa wanatoka maeneo ya huko huko sasa kipi cha ajabu?Toka Uhuru viongozi wengi wameoa wenza wao toka Uchagani.
1. Dr. Mwigulu Nchemba, MP, PhD.
2. Dr Salmin Amour,
3. Fredrik Sumaye,
4. January Makamba,
5. Jumaa Awesso, MP
6. Nehemiah Mchechu,
7. Dr Faustine Ndugulile,
8. Daniel Silo, MP
9. Lawrence Mafuru,
10. Prof Kitila Mkumbo, MP, PhD.
11. Oscar Kambona,
12. Benjamin Mkapa,
13. Job Ndugai,
**Je ni Siri gani imejificha kwa haya maua ya Kaskazini? Nadra Sana kusikia Kigoma, Katavi, Ruvuma, Mbeya/Songwe, Pwani. Hii inatufundisha nini?
NB: Tusishangae misafara kuelekea Kaskazini Disemba hii. Hawa watu Wana kipaji cha kuchungulia fursa za vijana wachapakazi. Wanavumilia kusuburia neema.
****Zunguka kwenye kumbi za harusi kwenye miji mikubwa Tanganyika. Katika kumbi 10 haukosi mabinti 9 (90%) wa kichaga wanaolewa.
Utakuwa mchaga weweBinti una akili fupi mno
Wewe ndio umenena kitu cha ukweli.Ukweli huu hapa,usiulize kwengine kokote kule
Hawa huwa wanaambiwa kabisa wawe karibu na watu ambao wanaonekana wana future
Kwahiyo tangu mkiwa shuleni au chuo huwa wanaspot watu makini na wenye mwelekeo wa maendeleo au wenye connection
Kwahiyo mwana kama unaona mtoto wa kichaga anakuzengea zengea basi jua kaona fursa
Huo ndio mpango mzima
Ila msisahau
Amani ni tunu basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana
Hussein Umemsahau Mkuu wa wakuu wa Mikoa Visiwani Mtoto wa Mzee Ruksa uongozi wa kurithiToka Uhuru viongozi wengi wameoa wenza wao toka Uchagani.
1. Dr. Mwigulu Nchemba, MP, PhD.
2. Dr Salmin Amour,
3. Fredrik Sumaye,
4. January Makamba,
5. Jumaa Awesso, MP
6. Nehemiah Mchechu,
7. Dr Faustine Ndugulile,
8. Daniel Silo, MP
9. Lawrence Mafuru,
10. Prof Kitila Mkumbo, MP, PhD.
11. Oscar Kambona,
12. Benjamin Mkapa,
13. Job Ndugai,
**Je ni Siri gani imejificha kwa haya maua ya Kaskazini? Nadra Sana kusikia Kigoma, Katavi, Ruvuma, Mbeya/Songwe, Pwani. Hii inatufundisha nini?
NB: Tusishangae misafara kuelekea Kaskazini Disemba hii. Hawa watu Wana kipaji cha kuchungulia fursa za vijana wachapakazi. Wanavumilia kusuburia neema.
****Zunguka kwenye kumbi za harusi kwenye miji mikubwa Tanganyika. Katika kumbi 10 haukosi mabinti 9 (90%) wa kichaga wanaolewa.
Salmin Amour Mke yupi huyo maana mie namjua Mama Salimini Mwarabu pure. Rafiki yangu yuleHussein Umemsahau Mkuu wa wakuu wa Mikoa Visiwani Mtoto wa Mzee Ruksa uongozi wa kurithi
Umemaliza kila kitu.Kwa miaka ya nyuma.
Walitangulia shule, Wengi wamekutana nao vyuoni, Mabinti wa kichaga ni wanyenyekevu wakiwa na jambo lao kichwani, which is good.
Utaniuliza wahaya pia walikuwa wengi mashuleni/vyuoni, Why waolewe wachaga na sio wahaya? Jibu unalo….. Mabinti wa kihaya wengi wako na pride kubwa, They do not settle for less, Na wengi wameolewa na wahaya wenzao ambao wako successfully, ama kielimu au kibiashara au diasporas. Kumbuka once viongozi wengi walikuwa masikini apeche alolo, masikini wengi hawawezi kuoa mtu mwenye pride, maana ni threat kwa ego yake. That’s sum up, why wachaga na sio wahaya wakati hawa wote walikuwa katika level moja ya elimu na exposure.
Chaga queens wanajua kumeza pride zao, they are good wives, until……
Nimeongea ukweli ninaoujua, i hope sijamuonea mtu.
Adabu Gani unayotaka niwe nayo kama ni mtu mzima hovyo hujiheshimu usiambiwe?Na huo utuuzima wako utakua Limbukenikenge mmoja we!, kuwa na adabu, kima we.
we ni kenge kabisa!, tena usinizoee.Adabu Gani unayotaka niwe nayo kama ni mtu mzima hovyo hujiheshimu usiambiwe?Na huo utuuzima wako utakua Limbukeni
we ni kenge kabisa!, tena usinizoee.Adabu Gani unayotaka niwe nayo kama ni mtu mzima hovyo hujiheshimu usiambiwe?Na huo utuuzima wako utakua Limbukeni