Wanawake wa Kichaga wapewe maua yao!

blessings

JF-Expert Member
Jul 9, 2012
7,782
7,724
1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.

2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji Vyasaka wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).

Orodha ya watu maarufu Wasio-wachaga, VYASAKA waliooa Uchagani
1. Mafuru (RIP)
2. Dr. Ndugulile (RIP)

3. Mhe. Dr Lameck Madelu Nchemba - BA Economics (Hons.) First Class, MA Economics, PhD.
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6. Jumaa Awesso (MP),
7. Majizzo,
8. Rich Mitindo,
9. Prof Mukandala (PhD),
10. Nabii Mkuu Mwingira.
11. Dr Salmin,
12. Prof Lipumba (PhD).

**Manka Republic
 

Attachments

  • magari_mjukuu_40624779.mp4
    6.5 MB
1. Kwa misiba ya Karibuni ya watu maarufu hapa nchini (Mafuru na Ndugulile) nimegundua wajane wote ni toka Uchagani.

2. Hawa viumbe wananusa fursa na kujulia namna ya kukuza kipaji cha mume mpaka ngazi za juu. Tofauti na wanaume wa Uchagani wanaoshobokea Wadangaji wanakuja kuharibu familia na Mali za marehemu (RIP Dr Machache).

Orodha ya watu maarufu waliooa Uchagani

3. Dr Lameck Madelu N. (PhD),
4. Mhe. January Makamba (MP),
5. Prof Kitila Mkumbo (PhD),
6.
Fredrick Summaye
Benjamin mkapa
John Mongela
Hawa pia wameonja Kilimanjaro!!
 
Back
Top Bottom