Viongozi wengi kuoa Uchagani. Kuna nini huko?

Viongozi wengi kuoa Uchagani. Kuna nini huko?

Nchi nzima inawanaume hao tu uliowaorodheshea?

Mbona mimi sjaoa huko na maisha yangu ni mazuri tu

Hao waliooa huko ndo wanaodaiwa damu za watanganyika?
 
Wanaambiwa na Nani?
Jamii zingine haziambii mabinti zao?

Hao wenye future wanalazimishwa kuoa hao wachaga?

Maana umetoa hoja yako kana kwamba waoaji(wanaume) wao ni mazuzu hawajui kilichobora kwao.

Wewe Kila mwanamke akikuzengea zengea utamuoa? Au ulimuoa mwanamke anayekuzengea zengea?

Kwa nini unaukimbia ukweli kuwa hao mabinti za kichaga kuna sehemu wamewazidi mabinti wa jamii zingine?
Toa uchambuzi mtaalamu mabinti wa kichaga wamewazidi wapi mabinti wa Jamii zingine ? chapu mkuu niingie Rombo nikachukue jiko
 
Toa uchambuzi mtaalamu mabinti wa kichaga wamewazidi wapi mabinti wa Jamii zingine ? chapu mkuu niingie Rombo nikachukue jiko

Orodha aliyoitoa mtoa mada ni viongozi waliozaliwa miaka ya 70-80 ambao robo au nusu Yao wameoa wachaga.

Sababu kubwa hapo ni kuwa miaka hiyo hasa kuelekea 90 mabinti wengi wa kichaga walipelekwa pelekwa shule na wanaelimu aidha ualimu, unesi, uhasibu n.k.
Hivyo wengi walifit vigezo vya wanaume waliokuwa wamejiingiza kwenye uongozi au biashara.

Sio kwamba mabinti wa makabila mengine hawakuwa wamesoma ila walikuwa wachache. Tofauti na Wachaga ambao ni wengi ukilinganisha na jamii zingine.

Hii ni tofauti na miaka kabla ya uhuru na wakati WA Uhuru 1961-1970.

Kwa sasa viongozi wengi wanaoa makabila mengine na sio wachaga tuu kwa sababu ya mabinti wengi pia wa jamii zingine wamesoma.

Lakini pia wameamka na tabia zingine za uchapakazi.

Kingine ukioa uchagani ni ngumu kupata usumbufu wa kupigwa vizinga au kubebeshwa mizigo ya familia ya mkeo. Hii pia ni sababu.

Utakutana na changamoto zingine lakini sio hiyo.

Kingine mabinti wa kichaga au wakwe wachaga kama wanauwezo hawaoni shida kusaidia WAKWE zao na mabinti zao. Hii ni tofauti na jamii zingine.
Ambapo ukioa umeoa natatizo ya ukoo mzima
 
Toka Uhuru viongozi wengi wameoa wenza wao toka Uchagani.
1. Dr. Mwigulu Nchemba, MP, PhD.
2. Dr Salmin Amour,
3. Fredrik Sumaye,
4. January Makamba,
5. Jumaa Awesso, MP
6. Nehemiah Mchechu,
7. Dr Faustine Ndugulile,
8. Daniel Silo, MP
9. Lawrence Mafuru,
10. Prof Kitila Mkumbo, MP, PhD.
11. Oscar Kambona,
12. Benjamin Mkapa.

**Je ni Siri gani imejificha kwa haya maua ya Kaskazini? Nadra Sana kusikia Kigoma, Katavi, Ruvuma, Mbeya/Songwe, Pwani. Hii inatufundisha nini?

NB: Tusishangae misafara kuelekea Kaskazini Disemba hii. Hawa watu Wana kipaji cha kuchungulia fursa za vijana wachapakazi. Wanavumilia kusuburia neema


Vipi wewe ushaolewa au bado? Hakuna mtu mwenye akili anaweza oa pwani.
 
Toka Uhuru viongozi wengi wameoa wenza wao toka Uchagani.
1. Dr. Mwigulu Nchemba, MP, PhD.
2. Dr Salmin Amour,
3. Fredrik Sumaye,
4. January Makamba,
5. Jumaa Awesso, MP
6. Nehemiah Mchechu,
7. Dr Faustine Ndugulile,
8. Daniel Silo, MP
9. Lawrence Mafuru,
10. Prof Kitila Mkumbo, MP, PhD.
11. Oscar Kambona,
12. Benjamin Mkapa.

**Je ni Siri gani imejificha kwa haya maua ya Kaskazini? Nadra Sana kusikia Kigoma, Katavi, Ruvuma, Mbeya/Songwe, Pwani. Hii inatufundisha nini?

NB: Tusishangae misafara kuelekea Kaskazini Disemba hii. Hawa watu Wana kipaji cha kuchungulia fursa za vijana wachapakazi. Wanavumilia kusuburia neema
Zamani ilikua shule nyingi zipo huko,so kupata mke walau form four ilikua rahisi
 
Orodha aliyoitoa mtoa mada ni viongozi waliozaliwa miaka ya 70-80 ambao robo au nusu Yao wameoa wachaga.

Sababu kubwa hapo ni kuwa miaka hiyo hasa kuelekea 90 mabinti wengi wa kichaga walipelekwa pelekwa shule na wanaelimu aidha ualimu, unesi, uhasibu n.k.
Hivyo wengi walifit vigezo vya wanaume waliokuwa wamejiingiza kwenye uongozi au biashara.

Sio kwamba mabinti wa makabila mengine hawakuwa wamesoma ila walikuwa wachache. Tofauti na Wachaga ambao ni wengi ukilinganisha na jamii zingine.

Hii ni tofauti na miaka kabla ya uhuru na wakati WA Uhuru 1961-1970.

Kwa sasa viongozi wengi wanaoa makabila mengine na sio wachaga tuu kwa sababu ya mabinti wengi pia wa jamii zingine wamesoma.

Lakini pia wameamka na tabia zingine za uchapakazi.

Kingine ukioa uchagani ni ngumu kupata usumbufu wa kupigwa vizinga au kubebeshwa mizigo ya familia ya mkeo. Hii pia ni sababu.

Utakutana na changamoto zingine lakini sio hiyo.

Kingine mabinti wa kichaga au wakwe wachaga kama wanauwezo hawaoni shida kusaidia WAKWE zao na mabinti zao. Hii ni tofauti na jamii zingine.
Ambapo ukioa umeoa natatizo ya ukoo mzima
Issue ilikua shule
 
Tatizo letu Sisi wachaga ni wauaji.wachaga wenzangu tuache kuwaua
 
Demu wa kichaga. Ana malengo ya mbali tofauti na Mgogo au Mluguru.
 
Na wengi hapo wanaume ndio wameshatanfulia probably na waliobaki ni wanaume ndio watatangulia.


Kweli wachaga noma
 
Booking za mabasi na ndege kwenda Moshi ni full mpaka January 2026
 
Ukweli huu hapa,usiulize kwengine kokote kule

Hawa huwa wanaambiwa kabisa wawe karibu na watu ambao wanaonekana wana future

Kwahiyo tangu mkiwa shuleni au chuo huwa wanaspot watu makini na wenye mwelekeo wa maendeleo au wenye connection

Kwahiyo mwana kama unaona mtoto wa kichaga anakuzengea zengea basi jua kaona fursa

Huo ndio mpango mzima

Ila msisahau

Amani ni tunu basi tuilinde kwa wivu mkubwa sana
Binti una akili fupi mno
 
Back
Top Bottom