Viongozi wengi kuoa Uchagani. Kuna nini huko?

Viongozi wengi kuoa Uchagani. Kuna nini huko?

Kwa hiyo hao jamaa wa mboga mboga kujichanganya kuoa uchagani umeona bonge la status?
 
Kwa miaka ya nyuma.

Walitangulia shule, Wengi wamekutana nao vyuoni, Mabinti wa kichaga ni wanyenyekevu wakiwa na jambo lao kichwani, which is good.

Utaniuliza wahaya pia walikuwa wengi mashuleni/vyuoni, Why waolewe wachaga na sio wahaya? Jibu unalo….. Mabinti wa kihaya wengi wako na pride kubwa, They do not settle for less, Na wengi wameolewa na wahaya wenzao ambao wako successfully, ama kielimu au kibiashara au diasporas. Kumbuka once viongozi wengi walikuwa masikini apeche alolo, masikini wengi hawawezi kuoa mtu mwenye pride, maana ni threat kwa ego yake. That’s sum up, why wachaga na sio wahaya wakati hawa wote walikuwa katika level moja ya elimu na exposure.

Chaga queens wanajua kumeza pride zao, they are good wives, until……

Nimeongea ukweli ninaoujua, i hope sijamuonea mtu.
 
Toka Uhuru viongozi wengi wameoa wenza wao toka Uchagani.
1. Dr. Mwigulu Nchemba, MP, PhD.
2. Dr Salmin Amour,
3. Fredrik Sumaye,
4. January Makamba,
5. Jumaa Awesso, MP
6. Nehemiah Mchechu,
7. Dr Faustine Ndugulile,
8. Daniel Silo, MP
9. Lawrence Mafuru,
10. Prof Kitila Mkumbo, MP, PhD.
11. Oscar Kambona,
12. Benjamin Mkapa.

**Je ni Siri gani imejificha kwa haya maua ya Kaskazini? Nadra Sana kusikia Kigoma, Katavi, Ruvuma, Mbeya/Songwe, Pwani. Hii inatufundisha nini?

NB: Tusishangae misafara kuelekea Kaskazini Disemba hii. Hawa watu Wana kipaji cha kuchungulia fursa za vijana wachapakazi. Wanavumilia kusuburia neema.

****Zunguka kwenye kumbi za harusi kwenye mini mikubwa Tanganyika. Katika kumbi 10 haukosi mabinti 9 (90%) wanaolewa.

..sababu ya kwanza Wachagga hawakubagua watoto wa kike ktk ELIMU. Hali hiyo iliongeza uwezekano wa mabinti wa Kichagga kukutana na vijana toka makabila mengine wakiwa vyuoni, au makazini.

..sababu ya pili ni Wachagga ndio jamii iliyosambaa nchi nzima kuliko jamii nyingine. Hali hiyo imepelekea Wachagga kuchangamana na makabila mengine ktk shughuli za kiuchumi, kisiasa, na kijamii. Ndoa ni mojawapo ya mchangamano wa kijamii.

..ukiacha wanawake wa Kichagga kuolewa na makabila mengine, kuna jambo wengi wanalisahau nalo ni, wanaume wengi sana Wachagga wameowa mabinti toka maeneo walikokwenda kutafuta maisha.
 
shida hawa ndugu zetu wachaga ukiolea huko ni kama umeshajikabidhi kwa islael mtoa roho mda wowote parapanda inalia!, tamaa na jeuri mixer kiburi ndo zao.
Miaka takribani 20 na kadhaa Baba mkubwa alimwambia mama yetu mzazi na sisi tukiwepo..

Nanukuu
"""NAONA MALI ZIMEONGEZEKA / ZINA ONGEZEKA ANGALIA USIJE UKAMUUA MDOGO ANGU"""

Mama alimwangalia Tu hakumjibu kitu... Namshukuru baba kwa kutuchagulia mama Bora ever...kwenye TUMBO la mama tupo watano na watoto woteeeeeee hakuna ambae hajafika chuo kikuu..Huyu mmama wa kichaga ni the best ever...

NB. Mzee wangu ni wa 54's mama yangu ni umri wa mama samia ( 1961) na for sure through all odds in life wamekua woteeeeeee na Wana anniversary nyingi nyingi mno so wengi mna blame vitu msivyo vijua ila damu ya kichaga Ina Genes za u hardworker na ni wengi wapo vizuri upstairs..
 
Kwahiyo hao 12 ndo wengi? Inamaana hii nchi imewahi kuwa viongozi wangapi 20 au?
 
Orodha aliyoitoa mtoa mada ni viongozi waliozaliwa miaka ya 70-80 ambao robo au nusu Yao wameoa wachaga.

Sababu kubwa hapo ni kuwa miaka hiyo hasa kuelekea 90 mabinti wengi wa kichaga walipelekwa pelekwa shule na wanaelimu aidha ualimu, unesi, uhasibu n.k.
Hivyo wengi walifit vigezo vya wanaume waliokuwa wamejiingiza kwenye uongozi au biashara.

Sio kwamba mabinti wa makabila mengine hawakuwa wamesoma ila walikuwa wachache. Tofauti na Wachaga ambao ni wengi ukilinganisha na jamii zingine.

Hii ni tofauti na miaka kabla ya uhuru na wakati WA Uhuru 1961-1970.

Kwa sasa viongozi wengi wanaoa makabila mengine na sio wachaga tuu kwa sababu ya mabinti wengi pia wa jamii zingine wamesoma.

Lakini pia wameamka na tabia zingine za uchapakazi.

Kingine ukioa uchagani ni ngumu kupata usumbufu wa kupigwa vizinga au kubebeshwa mizigo ya familia ya mkeo. Hii pia ni sababu.

Utakutana na changamoto zingine lakini sio hiyo.

Kingine mabinti wa kichaga au wakwe wachaga kama wanauwezo hawaoni shida kusaidia WAKWE zao na mabinti zao. Hii ni tofauti na jamii zingine.
Ambapo ukioa umeoa natatizo ya ukoo mzima

Una hoja, Lkn Kwa upande mwingine kaka zao hawataki kuwaoa hao mabinti 😃

Boss wangu mmoja aliniambia, Baba yake alimuambia ukija kuoa Hao watu mm sio Baba yako

Akaenda kujichukuliq Iringa huko, na wanafamilia kubwa tu.

So haya mambo ya ndoa, Ni mtu na mtu sana, Mimi nawapenda wachaga kwakua ni pisi kali + Viko smart kichwani Ila swala la kuoa huko bado nali tafiti 😃
 
Una hoja, Lkn Kwa upande mwingine kaka zao hawataki kuwaoa hao mabinti 😃

Boss wangu mmoja aliniambia, Baba yake alimuambia ukija kuoa Hao watu mm sio Baba yako

Akaenda kujichukuliq Iringa huko, na wanafamilia kubwa tu.

So haya mambo ya ndoa, Ni mtu na mtu sana, Mimi nawapenda wachaga kwakua ni pisi kali + Viko smart kichwani Ila swala la kuoa huko bado nali tafiti 😃
Unadhan mabinti wa kichaga wanachukua mazombi kama wewe? Wana choice pia hawaolewi na yeyote tu
 
NB: Tusishangae misafara kuelekea Kaskazini Disemba hii. Hawa watu Wana kipaji cha kuchungulia fursa za vijana wachapakazi. Wanavumilia kusuburia neema.

****Zunguka kwenye kumbi za harusi kwenye miji mikubwa Tanganyika. Katika kumbi 10 haukosi mabinti 9 (90%) wanaolewa.

Mleta uzi Umehonga na kulala na wanaume wenzio wangapi mwaka huu? ?

Mkeo mchaga anasemaje? Au yeye mradi ulete pesa tu? ?
 
shida hawa ndugu zetu wachaga ukiolea huko ni kama umeshajikabidhi kwa islael mtoa roho mda wowote parapanda inalia!, tamaa na jeuri mixer kiburi ndo zao.
Kwa mtu mvivu mvivu kama wewe utaona Wana jeuri tamaa au kiburi unabidi upambane utafute pesaa Mzee dada zetu hawapendi mafala Yan wewe uweke Pumbu juu dada zangu wakakutafutie ni lazima wakuletee jeuri na dharau Sasa si Bora ukapigwe Pumbu wewe ulete Hela kama umeweka hizo ball juu juu huku hamna Ratiba na Mitikasi
NB: Hata vikao vyetu vya Dec tunaangalia wapi tumekwama,kama familia wapi tumetoka na wapi tunakwenda hatupendi kudiscuss mtu wala sio show off ya misururu ya magari Pale tunaweka maazimio Kila Jiji,Miji mpka Chocho zote za Dunia
 
Kwa mtu mvivu mvivu kama wewe utaona Wana jeuri tamaa au kiburi unabidi upambane utafute pesaa Mzee dada zetu hawapendi mafala Yan wewe uweke Pumbu juu dada zangu wakakutafutie ni lazima wakuletee jeuri na dharau Sasa si Bora ukapigwe Pumbu wewe ulete Hela kama umeweka hizo ball juu juu huku hamna Ratiba na Mitikasi
NB: Hata vikao vyetu vya Dec tunaangalia wapi tumekwama,kama familia wapi tumetoka na wapi tunakwenda hatupendi kudiscuss mtu wala sio show off ya misururu ya magari Pale tunaweka maazimio Kila Jiji,Miji mpka Chocho zote za Dunia
kenge mmoja we!, kuwa na adabu, kima we.
 
Niliwahi kupata demu wa Tanga zaidi ya mauno ni kuomba pesa Tu. Nothing more she could offer.
Dah!
Afadhali hata ya viuno uliambulia ukasuuza roho yako!

Sasa ipo hii ya kulaliwa kama gogo, hakuna idea ya maisha unapewa na pesa unatozwa, just imagine?
 
Back
Top Bottom