Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,079
- 8,219
Mbowe mpinzani wa kweli? Pole sanaMimi sijasoma gazeti lako lote, lakini unauliza rais amalize hiyo kesi kwa sheria ipi?! Ile kesi wote tunajua ni ya mchongo, na kosa kubwa la Mbowe siyo ugaidi! Kosa la Mbowe ni kuwa mpinzani wa kweli na kudai katiba mpya!
Pia, kama hujui kusoma between the lines, viongozi wa dini, kwa maneno mengine wanamwambia Mazaa, wanauona mchongo wote, watu wanaona kwamba yupo uchi, achutame!