Mahakamani kwenyewe ukitiwa hatiani,unaulizwa na mahakama yenyewe kabla haijaamuwa adhabu ya kukupa unaulizwa kama unalakusema ili uweze kupunguziwa adhabu kwa huruma ya mahakama.

Itakuwa siye binadamu ambao tunajifahamu kuwa leo kwako kesho inaweza ikawa kwangu hata Magufuli mwenyewe aliyekuwa mbabe wa Tanzania enzi za uhai wake alisema kuwa yeye ni mfungwa mtarajiwa.

Viongozi wa dini wameshaona kuwa hii kesi ni ya kuchongwa,na njia pekee ya serekali kuondokana na aibu itakayotokea kama mahakama haitaingiliwa katika maamzi yake ni kuiondoa kesi kabla ya hukumu, pia kwa upande mwingine wanajaribu kuwanusuru watuhumiwa wasifungwe kwa kosa la kuchongwa.
 
Jana Jumatano Machi 02, 2022 Viongozi wetu wa Dini walikutana na Rais Samia Suluhu Hassan na kufanya nae mazungumzo mbalimbali pale Ikulu.

Katika hali iliyonishangaza Mimi na nadhani hata kwa Watanzania wengine wengi ni hatua ya Viongozi wa Dini kuomba Rais Samia na Mamlaka zake zitumie busara kumaliza kesi iliyoko mahakamani ya tuhuma ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Ndugu Freeman Mbowe na wenzake.

Binafsi nimeshangaa na kushtushwa na ajenda hii ya Viongozi wa Dini kwa Mkuu wa Nchi kwasababu kila mmoja anafahamu kwamba kesi ya Mbowe kwasasa iko mahakamani na tayali ushahidi wa pande za mashtaka na utetezi zimeanza kutoa ushahidi wake kwenye kesi hiyo, sasa kitendo cha Viongozi wetu wa Dini kutaka Rais atumie busara kumaliza kesi hiyo na ikiwezekana akina Mbowe waachiwe huru sijui inatoka wapi na kwa sheria ipi? Nimeshtuka.

Kesi hii iko mahakamani lakini kwa maajabu mazito ama kwa makusudi ama kwa kutojua ama kwa mtego, Viongozi wetu wa Dini wanataka Mamlaka iingilie kazi ya mahakama na kuipoka na badala yake itumie busara kumaliza kesi. Busara, so what?

Mimi nadhani tungeiachia mahakama ifanye kazi yake kwasababu hakuna sheria ya Mamlaka au Rais kuingilia masuala ya mahakama. Tuiachie mahakama ifanye shughuli yake na kama Mbowe si Gaidi ama Gaidi basi mahakama baada ya uchunguzi kukamilika na ushahidi wote kutolewa itasema na kumaliza kesi hii lakini sio habari hii ya kutaka Rais au Mamlaka ziingilie Uhuru wa mahakama, hii si sawa kabisa.

Nchi hii haiendeshwi kwa busara wala huruma ya mtu bali inaendeshwa kwa sheria na taratibu ambazo ziko wazi kwenye Katiba na sheria zetu zingine. Tukiruhusu hivi, hii haitakuwa nchi na kama ni hivyo basi hiyo busara na huruma isitumike kwa Mbowe tu, bali itumike kwa watuhumiwa wote walioko mahabusu na kwenye mahakama zetu hizi, kama ishu ni busara na huruma. Busara hii ya kutaka kupoka kazi ya mahakama na kumaliza kesi kibusara na kihuruma basi isiombwe kwa Mbowe tu, iombwe kwa wengine wote watuhumiwa.

Hapa kwa akili ya kawaida tu panatengezwa mazingira ya kumwingiza Rais au mamlaka zake kwenye chaka zito sana halafu kesho na keshokutwa busara na huruma inatumika halafu hao hao waomba busara na Wanaharakati wengine ndo wanakuwa wa kwanza kupiga kelele kwenye Club House au Spaces kwamba mahakama na mifumo yetu ya sheria inaingiliwa. Hii si sawa. Rais Samia asikubali kuingizwa kwenye hili boko la kuvunja na kukanyaga sheria. Aiachie mahakama ifanye kazi yake. Hiyo busara na huruma anayoombwa leo itamchafua na kumletea shida nchini na hata kwenye Mataifa mbalimbali huko mbele, asikubali. Full stop

Mimi nadhani tuheshimu sheria zetu na tumshauri Rais Samia masuala mengine mengi tu ya ujenzi wa Taifa letu na kumueleza changamoto zingine nyingi tu zilizopo kwa Wananchi na kwenye maeneo mbalimbali ya nchi yetu lakini sio hii ya kumshauri Mkuu wa Nchi kuingilia kazi na uhuru wa mahakama, chombo huru kabisa.

Niwe mkweli, Viongozi wa Dini nawaheshimu sana sana sana lakini kwenye hili, wamenikwaza sana sana sana sana.

View attachment 2137091
View attachment 2137093
View attachment 2137094

Pia, soma: Viongozi wa dini waliokutana Rais Samia Wamemshauri kuifuta kesi ya Mbowe
Kifupi wewe ni mjinga, huwezi elewa mambo makubwa ndiyo maana unaumia bila sababu ya msingi. Hiyo mada siyo size yako so utaumia bure. Kaa pembeni na achia wenye uwezo washughulikie.
 
Jana Jumatano Machi 02, 2022 Viongozi wetu wa Dini walikutana na Rais Samia Suluhu Hassan na kufanya nae mazungumzo mbalimbali pale Ikulu.

Katika hali iliyonishangaza Mimi na nadhani hata kwa Watanzania wengine wengi ni hatua ya Viongozi wa Dini kuomba Rais Samia na Mamlaka zake zitumie busara kumaliza kesi iliyoko mahakamani ya tuhuma ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Ndugu Freeman Mbowe na wenzake.

Binafsi nimeshangaa na kushtushwa na ajenda hii ya Viongozi wa Dini kwa Mkuu wa Nchi kwasababu kila mmoja anafahamu kwamba kesi ya Mbowe kwasasa iko mahakamani na tayali ushahidi wa pande za mashtaka na utetezi zimeanza kutoa ushahidi wake kwenye kesi hiyo, sasa kitendo cha Viongozi wetu wa Dini kutaka Rais atumie busara kumaliza kesi hiyo na ikiwezekana akina Mbowe waachiwe huru sijui inatoka wapi na kwa sheria ipi? Nimeshtuka.

Kesi hii iko mahakamani lakini kwa maajabu mazito ama kwa makusudi ama kwa kutojua ama kwa mtego, Viongozi wetu wa Dini wanataka Mamlaka iingilie kazi ya mahakama na kuipoka na badala yake itumie busara kumaliza kesi. Busara, so what?

Mimi nadhani tungeiachia mahakama ifanye kazi yake kwasababu hakuna sheria ya Mamlaka au Rais kuingilia masuala ya mahakama. Tuiachie mahakama ifanye shughuli yake na kama Mbowe si Gaidi ama Gaidi basi mahakama baada ya uchunguzi kukamilika na ushahidi wote kutolewa itasema na kumaliza kesi hii lakini sio habari hii ya kutaka Rais au Mamlaka ziingilie Uhuru wa mahakama, hii si sawa kabisa.

Nchi hii haiendeshwi kwa busara wala huruma ya mtu bali inaendeshwa kwa sheria na taratibu ambazo ziko wazi kwenye Katiba na sheria zetu zingine. Tukiruhusu hivi, hii haitakuwa nchi na kama ni hivyo basi hiyo busara na huruma isitumike kwa Mbowe tu, bali itumike kwa watuhumiwa wote walioko mahabusu na kwenye mahakama zetu hizi, kama ishu ni busara na huruma. Busara hii ya kutaka kupoka kazi ya mahakama na kumaliza kesi kibusara na kihuruma basi isiombwe kwa Mbowe tu, iombwe kwa wengine wote watuhumiwa.

Hapa kwa akili ya kawaida tu panatengezwa mazingira ya kumwingiza Rais au mamlaka zake kwenye chaka zito sana halafu kesho na keshokutwa busara na huruma inatumika halafu hao hao waomba busara na Wanaharakati wengine ndo wanakuwa wa kwanza kupiga kelele kwenye Club House au Spaces kwamba mahakama na mifumo yetu ya sheria inaingiliwa. Hii si sawa. Rais Samia asikubali kuingizwa kwenye hili boko la kuvunja na kukanyaga sheria. Aiachie mahakama ifanye kazi yake. Hiyo busara na huruma anayoombwa leo itamchafua na kumletea shida nchini na hata kwenye Mataifa mbalimbali huko mbele, asikubali. Full stop

Mimi nadhani tuheshimu sheria zetu na tumshauri Rais Samia masuala mengine mengi tu ya ujenzi wa Taifa letu na kumueleza changamoto zingine nyingi tu zilizopo kwa Wananchi na kwenye maeneo mbalimbali ya nchi yetu lakini sio hii ya kumshauri Mkuu wa Nchi kuingilia kazi na uhuru wa mahakama, chombo huru kabisa.

Niwe mkweli, Viongozi wa Dini nawaheshimu sana sana sana lakini kwenye hili, wamenikwaza sana sana sana sana.

View attachment 2137091
View attachment 2137093
View attachment 2137094

Pia, soma: Viongozi wa dini waliokutana Rais Samia Wamemshauri kuifuta kesi ya Mbowe
DPP akiondoa kesi ni sawa na Rais kwa sababu ni mteule wake, Kwani Masheikh wa uamusho walipoachiliwa mahakama iliingiliwa? Au utasema waliachiliwa na DPP? Waliachiliwa na DPP kateuliwa na nani? Katiba mpya inahitajika.
 
Jana Jumatano Machi 02, 2022 Viongozi wetu wa Dini walikutana na Rais Samia Suluhu Hassan na kufanya nae mazungumzo mbalimbali pale Ikulu.

Katika hali iliyonishangaza Mimi na nadhani hata kwa Watanzania wengine wengi ni hatua ya Viongozi wa Dini kuomba Rais Samia na Mamlaka zake zitumie busara kumaliza kesi iliyoko mahakamani ya tuhuma ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Ndugu Freeman Mbowe na wenzake.

Binafsi nimeshangaa na kushtushwa na ajenda hii ya Viongozi wa Dini kwa Mkuu wa Nchi kwasababu kila mmoja anafahamu kwamba kesi ya Mbowe kwasasa iko mahakamani na tayali ushahidi wa pande za mashtaka na utetezi zimeanza kutoa ushahidi wake kwenye kesi hiyo, sasa kitendo cha Viongozi wetu wa Dini kutaka Rais atumie busara kumaliza kesi hiyo na ikiwezekana akina Mbowe waachiwe huru sijui inatoka wapi na kwa sheria ipi? Nimeshtuka.

Kesi hii iko mahakamani lakini kwa maajabu mazito ama kwa makusudi ama kwa kutojua ama kwa mtego, Viongozi wetu wa Dini wanataka Mamlaka iingilie kazi ya mahakama na kuipoka na badala yake itumie busara kumaliza kesi. Busara, so what?

Mimi nadhani tungeiachia mahakama ifanye kazi yake kwasababu hakuna sheria ya Mamlaka au Rais kuingilia masuala ya mahakama. Tuiachie mahakama ifanye shughuli yake na kama Mbowe si Gaidi ama Gaidi basi mahakama baada ya uchunguzi kukamilika na ushahidi wote kutolewa itasema na kumaliza kesi hii lakini sio habari hii ya kutaka Rais au Mamlaka ziingilie Uhuru wa mahakama, hii si sawa kabisa.

Nchi hii haiendeshwi kwa busara wala huruma ya mtu bali inaendeshwa kwa sheria na taratibu ambazo ziko wazi kwenye Katiba na sheria zetu zingine. Tukiruhusu hivi, hii haitakuwa nchi na kama ni hivyo basi hiyo busara na huruma isitumike kwa Mbowe tu, bali itumike kwa watuhumiwa wote walioko mahabusu na kwenye mahakama zetu hizi, kama ishu ni busara na huruma. Busara hii ya kutaka kupoka kazi ya mahakama na kumaliza kesi kibusara na kihuruma basi isiombwe kwa Mbowe tu, iombwe kwa wengine wote watuhumiwa.

Hapa kwa akili ya kawaida tu panatengezwa mazingira ya kumwingiza Rais au mamlaka zake kwenye chaka zito sana halafu kesho na keshokutwa busara na huruma inatumika halafu hao hao waomba busara na Wanaharakati wengine ndo wanakuwa wa kwanza kupiga kelele kwenye Club House au Spaces kwamba mahakama na mifumo yetu ya sheria inaingiliwa. Hii si sawa. Rais Samia asikubali kuingizwa kwenye hili boko la kuvunja na kukanyaga sheria. Aiachie mahakama ifanye kazi yake. Hiyo busara na huruma anayoombwa leo itamchafua na kumletea shida nchini na hata kwenye Mataifa mbalimbali huko mbele, asikubali. Full stop

Mimi nadhani tuheshimu sheria zetu na tumshauri Rais Samia masuala mengine mengi tu ya ujenzi wa Taifa letu na kumueleza changamoto zingine nyingi tu zilizopo kwa Wananchi na kwenye maeneo mbalimbali ya nchi yetu lakini sio hii ya kumshauri Mkuu wa Nchi kuingilia kazi na uhuru wa mahakama, chombo huru kabisa.

Niwe mkweli, Viongozi wa Dini nawaheshimu sana sana sana lakini kwenye hili, wamenikwaza sana sana sana sana.

View attachment 2137091
View attachment 2137093
View attachment 2137094

Pia, soma: Viongozi wa dini waliokutana Rais Samia Wamemshauri kuifuta kesi ya Mbowe
Kwani wale wa uamsho walioachiliwa sio kuingilia Uhuru wa mahakama !
 
Aidha hujui au unajifanya hujui. Serikali kupitia DCI ina mamlaka ya kufuta kesi yoyote ya jinai iliyo mbele ya mahakama wakati wowote na bila kutoa sababu. Mwenye serikali akimwambia mteule wake - DCI - kutekeleza amri ya kuondoa kesi mahakamani inakuwa kuingilia uhuru wa mahakama?
 
Jana Jumatano Machi 02, 2022 Viongozi wetu wa Dini walikutana na Rais Samia Suluhu Hassan na kufanya nae mazungumzo mbalimbali pale Ikulu.

Katika hali iliyonishangaza Mimi na nadhani hata kwa Watanzania wengine wengi ni hatua ya Viongozi wa Dini kuomba Rais Samia na Mamlaka zake zitumie busara kumaliza kesi iliyoko mahakamani ya tuhuma ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Ndugu Freeman Mbowe na wenzake.

Binafsi nimeshangaa na kushtushwa na ajenda hii ya Viongozi wa Dini kwa Mkuu wa Nchi kwasababu kila mmoja anafahamu kwamba kesi ya Mbowe kwasasa iko mahakamani na tayali ushahidi wa pande za mashtaka na utetezi zimeanza kutoa ushahidi wake kwenye kesi hiyo, sasa kitendo cha Viongozi wetu wa Dini kutaka Rais atumie busara kumaliza kesi hiyo na ikiwezekana akina Mbowe waachiwe huru sijui inatoka wapi na kwa sheria ipi? Nimeshtuka.

Kesi hii iko mahakamani lakini kwa maajabu mazito ama kwa makusudi ama kwa kutojua ama kwa mtego, Viongozi wetu wa Dini wanataka Mamlaka iingilie kazi ya mahakama na kuipoka na badala yake itumie busara kumaliza kesi. Busara, so what?

Mimi nadhani tungeiachia mahakama ifanye kazi yake kwasababu hakuna sheria ya Mamlaka au Rais kuingilia masuala ya mahakama. Tuiachie mahakama ifanye shughuli yake na kama Mbowe si Gaidi ama Gaidi basi mahakama baada ya uchunguzi kukamilika na ushahidi wote kutolewa itasema na kumaliza kesi hii lakini sio habari hii ya kutaka Rais au Mamlaka ziingilie Uhuru wa mahakama, hii si sawa kabisa.

Nchi hii haiendeshwi kwa busara wala huruma ya mtu bali inaendeshwa kwa sheria na taratibu ambazo ziko wazi kwenye Katiba na sheria zetu zingine. Tukiruhusu hivi, hii haitakuwa nchi na kama ni hivyo basi hiyo busara na huruma isitumike kwa Mbowe tu, bali itumike kwa watuhumiwa wote walioko mahabusu na kwenye mahakama zetu hizi, kama ishu ni busara na huruma. Busara hii ya kutaka kupoka kazi ya mahakama na kumaliza kesi kibusara na kihuruma basi isiombwe kwa Mbowe tu, iombwe kwa wengine wote watuhumiwa.

Hapa kwa akili ya kawaida tu panatengezwa mazingira ya kumwingiza Rais au mamlaka zake kwenye chaka zito sana halafu kesho na keshokutwa busara na huruma inatumika halafu hao hao waomba busara na Wanaharakati wengine ndo wanakuwa wa kwanza kupiga kelele kwenye Club House au Spaces kwamba mahakama na mifumo yetu ya sheria inaingiliwa. Hii si sawa. Rais Samia asikubali kuingizwa kwenye hili boko la kuvunja na kukanyaga sheria. Aiachie mahakama ifanye kazi yake. Hiyo busara na huruma anayoombwa leo itamchafua na kumletea shida nchini na hata kwenye Mataifa mbalimbali huko mbele, asikubali. Full stop

Mimi nadhani tuheshimu sheria zetu na tumshauri Rais Samia masuala mengine mengi tu ya ujenzi wa Taifa letu na kumueleza changamoto zingine nyingi tu zilizopo kwa Wananchi na kwenye maeneo mbalimbali ya nchi yetu lakini sio hii ya kumshauri Mkuu wa Nchi kuingilia kazi na uhuru wa mahakama, chombo huru kabisa.

Niwe mkweli, Viongozi wa Dini nawaheshimu sana sana sana lakini kwenye hili, wamenikwaza sana sana sana sana.

View attachment 2137091
View attachment 2137093
View attachment 2137094

Pia, soma: Viongozi wa dini waliokutana Rais Samia Wamemshauri kuifuta kesi ya Mbowe
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Uko wapiii aseee nije tukwazike woteeee na natafuta makwazooioo
 
Ungejua kodi yetu inavyotafunwa na kina kidando misafara mizito ya magari ya magereza usingeshangazwa na kauli za viongozi wa dini wao wanazihurumia kodi zetu kwa kesi hiyo ya michongo
 
Jana Jumatano Machi 02, 2022 Viongozi wetu wa Dini walikutana na Rais Samia Suluhu Hassan na kufanya nae mazungumzo mbalimbali pale Ikulu.

Katika hali iliyonishangaza Mimi na nadhani hata kwa Watanzania wengine wengi ni hatua ya Viongozi wa Dini kuomba Rais Samia na Mamlaka zake zitumie busara kumaliza kesi iliyoko mahakamani ya tuhuma ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Ndugu Freeman Mbowe na wenzake.

Binafsi nimeshangaa na kushtushwa na ajenda hii ya Viongozi wa Dini kwa Mkuu wa Nchi kwasababu kila mmoja anafahamu kwamba kesi ya Mbowe kwasasa iko mahakamani na tayali ushahidi wa pande za mashtaka na utetezi zimeanza kutoa ushahidi wake kwenye kesi hiyo, sasa kitendo cha Viongozi wetu wa Dini kutaka Rais atumie busara kumaliza kesi hiyo na ikiwezekana akina Mbowe waachiwe huru sijui inatoka wapi na kwa sheria ipi? Nimeshtuka.

Kesi hii iko mahakamani lakini kwa maajabu mazito ama kwa makusudi ama kwa kutojua ama kwa mtego, Viongozi wetu wa Dini wanataka Mamlaka iingilie kazi ya mahakama na kuipoka na badala yake itumie busara kumaliza kesi. Busara, so what?

Mimi nadhani tungeiachia mahakama ifanye kazi yake kwasababu hakuna sheria ya Mamlaka au Rais kuingilia masuala ya mahakama. Tuiachie mahakama ifanye shughuli yake na kama Mbowe si Gaidi ama Gaidi basi mahakama baada ya uchunguzi kukamilika na ushahidi wote kutolewa itasema na kumaliza kesi hii lakini sio habari hii ya kutaka Rais au Mamlaka ziingilie Uhuru wa mahakama, hii si sawa kabisa.

Nchi hii haiendeshwi kwa busara wala huruma ya mtu bali inaendeshwa kwa sheria na taratibu ambazo ziko wazi kwenye Katiba na sheria zetu zingine. Tukiruhusu hivi, hii haitakuwa nchi na kama ni hivyo basi hiyo busara na huruma isitumike kwa Mbowe tu, bali itumike kwa watuhumiwa wote walioko mahabusu na kwenye mahakama zetu hizi, kama ishu ni busara na huruma. Busara hii ya kutaka kupoka kazi ya mahakama na kumaliza kesi kibusara na kihuruma basi isiombwe kwa Mbowe tu, iombwe kwa wengine wote watuhumiwa.

Hapa kwa akili ya kawaida tu panatengezwa mazingira ya kumwingiza Rais au mamlaka zake kwenye chaka zito sana halafu kesho na keshokutwa busara na huruma inatumika halafu hao hao waomba busara na Wanaharakati wengine ndo wanakuwa wa kwanza kupiga kelele kwenye Club House au Spaces kwamba mahakama na mifumo yetu ya sheria inaingiliwa. Hii si sawa. Rais Samia asikubali kuingizwa kwenye hili boko la kuvunja na kukanyaga sheria. Aiachie mahakama ifanye kazi yake. Hiyo busara na huruma anayoombwa leo itamchafua na kumletea shida nchini na hata kwenye Mataifa mbalimbali huko mbele, asikubali. Full stop

Mimi nadhani tuheshimu sheria zetu na tumshauri Rais Samia masuala mengine mengi tu ya ujenzi wa Taifa letu na kumueleza changamoto zingine nyingi tu zilizopo kwa Wananchi na kwenye maeneo mbalimbali ya nchi yetu lakini sio hii ya kumshauri Mkuu wa Nchi kuingilia kazi na uhuru wa mahakama, chombo huru kabisa.

Niwe mkweli, Viongozi wa Dini nawaheshimu sana sana sana lakini kwenye hili, wamenikwaza sana sana sana sana.

View attachment 2137091
View attachment 2137093
View attachment 2137094

Pia, soma: Viongozi wa dini waliokutana Rais Samia Wamemshauri kuifuta kesi ya Mbowe

Unadhani hao viongozi wa dini hawajui kuwa mahakama sio huru nA ziNaINGiliwa na raiS?
 
Wanataka kesi iendelee waendelee kula michango hasa Maria na Martini
 
Mjinga mmoja.

Nikuambie tu sasa hyo ni mipango ya ikulu kufanya hivyo. Na soon ataachiwa ila ilikua lazima itumike mbinu hii kuonyesha kwamba mama amesikia ombi la viongozi wa dini na hatoshupaza shingo yake.
Kweli kwani kwa Zitto ilishindikana wakaona hakuna njia nyingine zaidi ya kuwatumia hawa ili kuonekana ndo wamemwombea.
Hili ni doa kubwa ambalo litasisi vuvugu kubwa ambalo halijawahi tokea hapa kwetu.
Hii wanataka kumtoa kabla Mzee wa Geita Mpoo yaani Lisu kwani yasije kuasisiwa mavuguvugu mawili kwa kesho Mbowe atakuwa huru
 
Jana Jumatano Machi 02, 2022 Viongozi wetu wa Dini walikutana na Rais Samia Suluhu Hassan na kufanya nae mazungumzo mbalimbali pale Ikulu.

Katika hali iliyonishangaza Mimi na nadhani hata kwa Watanzania wengine wengi ni hatua ya Viongozi wa Dini kuomba Rais Samia na Mamlaka zake zitumie busara kumaliza kesi iliyoko mahakamani ya tuhuma ya Ugaidi inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Ndugu Freeman Mbowe na wenzake.

Binafsi nimeshangaa na kushtushwa na ajenda hii ya Viongozi wa Dini kwa Mkuu wa Nchi kwasababu kila mmoja anafahamu kwamba kesi ya Mbowe kwasasa iko mahakamani na tayali ushahidi wa pande za mashtaka na utetezi zimeanza kutoa ushahidi wake kwenye kesi hiyo, sasa kitendo cha Viongozi wetu wa Dini kutaka Rais atumie busara kumaliza kesi hiyo na ikiwezekana akina Mbowe waachiwe huru sijui inatoka wapi na kwa sheria ipi? Nimeshtuka.

Kesi hii iko mahakamani lakini kwa maajabu mazito ama kwa makusudi ama kwa kutojua ama kwa mtego, Viongozi wetu wa Dini wanataka Mamlaka iingilie kazi ya mahakama na kuipoka na badala yake itumie busara kumaliza kesi. Busara, so what?

Mimi nadhani tungeiachia mahakama ifanye kazi yake kwasababu hakuna sheria ya Mamlaka au Rais kuingilia masuala ya mahakama. Tuiachie mahakama ifanye shughuli yake na kama Mbowe si Gaidi ama Gaidi basi mahakama baada ya uchunguzi kukamilika na ushahidi wote kutolewa itasema na kumaliza kesi hii lakini sio habari hii ya kutaka Rais au Mamlaka ziingilie Uhuru wa mahakama, hii si sawa kabisa.

Nchi hii haiendeshwi kwa busara wala huruma ya mtu bali inaendeshwa kwa sheria na taratibu ambazo ziko wazi kwenye Katiba na sheria zetu zingine. Tukiruhusu hivi, hii haitakuwa nchi na kama ni hivyo basi hiyo busara na huruma isitumike kwa Mbowe tu, bali itumike kwa watuhumiwa wote walioko mahabusu na kwenye mahakama zetu hizi, kama ishu ni busara na huruma. Busara hii ya kutaka kupoka kazi ya mahakama na kumaliza kesi kibusara na kihuruma basi isiombwe kwa Mbowe tu, iombwe kwa wengine wote watuhumiwa.

Hapa kwa akili ya kawaida tu panatengezwa mazingira ya kumwingiza Rais au mamlaka zake kwenye chaka zito sana halafu kesho na keshokutwa busara na huruma inatumika halafu hao hao waomba busara na Wanaharakati wengine ndo wanakuwa wa kwanza kupiga kelele kwenye Club House au Spaces kwamba mahakama na mifumo yetu ya sheria inaingiliwa. Hii si sawa. Rais Samia asikubali kuingizwa kwenye hili boko la kuvunja na kukanyaga sheria. Aiachie mahakama ifanye kazi yake. Hiyo busara na huruma anayoombwa leo itamchafua na kumletea shida nchini na hata kwenye Mataifa mbalimbali huko mbele, asikubali. Full stop

Mimi nadhani tuheshimu sheria zetu na tumshauri Rais Samia masuala mengine mengi tu ya ujenzi wa Taifa letu na kumueleza changamoto zingine nyingi tu zilizopo kwa Wananchi na kwenye maeneo mbalimbali ya nchi yetu lakini sio hii ya kumshauri Mkuu wa Nchi kuingilia kazi na uhuru wa mahakama, chombo huru kabisa.

Niwe mkweli, Viongozi wa Dini nawaheshimu sana sana sana lakini kwenye hili, wamenikwaza sana sana sana sana.

View attachment 2137091
View attachment 2137093
View attachment 2137094

Pia, soma: Viongozi wa dini waliokutana Rais Samia Wamemshauri kuifuta kesi ya Mbowe
Umeandika mambo mengi Ila ni kinyesi tupu nyie sukumagang mlitaka nchi isitawalike kabisa sasa mnaona mipango yenu inavurugika.

Mbowe sio gaidi na hatutamuingiza mama kwenye mambo yenu maovu.
 
Mjinga mmoja.

Nikuambie tu sasa hyo ni mipango ya ikulu kufanya hivyo. Na soon ataachiwa ila ilikua lazima itumike mbinu hii kuonyesha kwamba mama amesikia ombi la viongozi wa dini na hatoshupaza shingo yake.
Mama alikurupuka sana kujibu ishu ya ugaidi wakati kesi ipo mahakamani na akalishwa maneno ya kishenzi na Ziro.

Yule mzee mshenzi sana nimeamini hata wahuni nao huzeeka
 
Usishangae. Viongozi wa dini wanatoa meseji kwa rais Samia kwamba yeye ndiye kambambikia kesi mhe Mbowe. Na hivyo aachane na huo ujinga (upumbavu).
Mbona mnasahau Mama alisema Mbowe hana adabu hilo ndilokosa hivyo ndio maana wenye akili wanamwomba asamehe kukosa adabu huko!!
 
Back
Top Bottom