Mwl Moshi,
Nadhani hayo yakutoa shutuma za juu juu watu wanakubaliana nayo kabisa na ndio hayo hayo ya akina Mbunge Amina na blah blah zake za madawa ya kulevya. Kusema tu rushwa na madawa ya kulevya huku pesa hizo hizo haramu ndio zinazochangia ujenzi wa makanisa na misikiti ndio unafiki wenyewe. Hawa viongozi wakimwalika Richmonduli kwenye harambee zao hawawezi hata kugusia swala la Richmondi kwa sababu watamwudhi halafu ataondoka na pesa zake. Matokeo yake watamsifia kwa mwelekeo mzuri wa utawala wao lakini akishaondoka watakimbilia kwenye ibada kudai serikali imejaa rushwa, mbona wasimwambie Richmonduli mwenyewe au JK wanaoweza kukutana nao ana kwa ana?
Nadhani hayo yakutoa shutuma za juu juu watu wanakubaliana nayo kabisa na ndio hayo hayo ya akina Mbunge Amina na blah blah zake za madawa ya kulevya. Kusema tu rushwa na madawa ya kulevya huku pesa hizo hizo haramu ndio zinazochangia ujenzi wa makanisa na misikiti ndio unafiki wenyewe. Hawa viongozi wakimwalika Richmonduli kwenye harambee zao hawawezi hata kugusia swala la Richmondi kwa sababu watamwudhi halafu ataondoka na pesa zake. Matokeo yake watamsifia kwa mwelekeo mzuri wa utawala wao lakini akishaondoka watakimbilia kwenye ibada kudai serikali imejaa rushwa, mbona wasimwambie Richmonduli mwenyewe au JK wanaoweza kukutana nao ana kwa ana?