Roman Israel Esq
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 2,024
- 3,282
Facts are facts, and truth is truth, no alternatives.Duh...
Facts are facts, and truth is truth, no alternatives.Duh...
Most probably!Kwahiyo Kibo Palace ni ya wakenya confirmed?
Mkuu asante kwa kuniita,hili lisikupe mshangao ni mipango ile ile dhidi ya watu wale wale wa Mlima.
Kwanini wakati na wawe wanawindwa wa Kanda moja tuu?tumeangalia upande mmoja wa shilingi...mara nyingi hawa matajiri wakubwa hasa waliojitokeza awamu zilizopita walitajirika kiu-kanjanja....
Kampeni dhidi ya wachaga ndo maana hata operation ya kufunga bureau de change zilifanyika moshi na arusha, mwanza haikufanyika ni kwa nini?????Kuna uonevu Mkubwa sana kwa watu. Ndio hivyo tena Vincent wameshamrudisha nyuma.
Briliant idea.Natoa ushauri huu kwa Wafanyabiashara Wote wanaohisi kutofautiana na Utawala huu:
1. Andaa business proposal ya ku expand Biashara yako.
2. Nenda Banks omba mkopo Mkubwa Sana, assets zako ziweke Bond, zote.
3. Pokea mpunga wako, the next day chukua familia Yako, pelekeni fedha mkawekeze Biashara nyingine Nje ya nchi.
Baada ya hapo, walipe watu mishahara Yao, funga Biashara (tangazo la kufunga Biashara unalitolea ukiwa jurisdiction uliyoenda kuwekeza).
Mkifanya hivyo watu 10 tu, hiyo Kodi itakayopotea hapo Ni disaster katika Uchumi. Hawataweza kuchukua assets kwa sababu banks zinakuwa na title over the assets.
Mwisho, chukua uraia wa huko and never look back. Hatuwezi kuwa na nchi ya vinyongo na kutaka kuwakwamisha watu wasiendelee kimaisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Rais ana shida gani na Membe? Muulize katibu mkuu wa ccm.Story yako haina ukweli umechanganya mada mara uhuru kinyatta mara membe sasa rais ana shida gani na membe hana uwezo wa kumshinda rais uchaguzi . Kwa nini husema mabaya waliyoyafanya hawa wafanya biashara mpaka wakawa matajiri unajua siri zao
Mkuu hii sheria ya kutakatisha fedha ni fimbo ya kuwatandika wale wote wanaojitia na kiherehere cha kujua haki zao.
Unaweza kukaa ndani hata miaka 7 au 10 wakati upelekezi wa kesi yako ukiendelea.Wamiliki wengi wa maduka ya kubadilisha fedha itabidi wakubali yaishe wakikomaa watarajie maumivu zaidi.
Bunge linatakiwa kuitazama sheria hii upya kwakuwa imekuwa ikitumiwa kunyanyasa wafanyabiashara katika kiwango cha kutisha.
Mkuu bado unaendelea kutembelea reli ileile.....,Sawa,maana nahisi ungefurahi kama ningekuwa mmoja wa majuha wenzako,
Binafis sipendezwi na mtu kuteseka,au kukosa raha kama Huyo Jamaa anavyoteseka,Ila sio kila kitu ni kuingiza siasa ndio maana hatuendelei.
Yani kuanzia viongozi was serikali hadi raia sote tunatanguliza siasa ,guy badilika aisee wewe ndio wale hata ukishindwa kuoga utalalamika serikali ,ukishindwa kujamba pia si hajabu nako ukailalamikia serekali
Bado panone naye, nimwendo wa kufilisiana tu