Vincent Laswai wa Kibo Palace na Trust Bureau de changes yuko matatani?

Vincent Laswai wa Kibo Palace na Trust Bureau de changes yuko matatani?

Neno.................CASH.... ndilo limeniduwaza; kwanini wasitumie mfumo wa benk kulipana?

Nadhani hatukuelewana vzr mkuu niliposema CASH,Kwa wahasibu Cash inaweza inaweza kua Cash at bank au cash in hand zote hizo ni cash.

So cash nilimaanisha haikua loaned from the bank mkuu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
acheni kudanganya watu,ilipojengwa kibo palace ni viwanja alivyonunua basil pesambili mramba mzee wa kuleni majani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaaaa!! Yawezekana mkuu! Maana mwendelezo wa stori fupi niliyopewa na yule mshauri wake niliyoipatia sehemu nyingine ni kuwa kweli Pesa mbili ndiye mhusika! Na ndiyo maana Laswai alikuwa na mashaka na hofu baada ya kusikia mzee wa 'Majani'yupo kwapani! Sasa nyepesi nyepesi ni kuwa Laswai baada ya kufikiri vya kutosha na kwa kuwa mzigo si wake bali yeye ni mshika pembe tu!na ukizingatia kuwa yeye pia ana biashara zake nyingine nyingi tu Binafsi,aliamua kiroho ngumu kumrudishia Basil mzigo wake at the time when the bomb was tickin!! Sasa Basil kutupiwa mkaa wa moto huku amelowana petrol ndiyo ikawa kazi kubwa kwake! Hivyo akalazimika kuupiga mkaa teke hadi kwa Wakenya hao walioutuliza mkaa,wakaupooza,na hali ikawa kama ilivyo!!
 
Hahaaaa!! Yawezekana mkuu! Maana mwendelezo wa stori fupi niliyopewa na yule mshauri wake niliyoipatia sehemu nyingine ni kuwa kweli Pesa mbili ndiye mhusika! Na ndiyo maana Laswai alikuwa na mashaka na hofu baada ya kusikia mzee wa 'Majani'yupo kwapani! Sasa nyepesi nyepesi ni kuwa Laswai baada ya kufikiri vya kutosha na kwa kuwa mzigo si wake bali yeye ni mshika pembe tu!na ukizingatia kuwa yeye pia ana biashara zake nyingine nyingi tu Binafsi,aliamua kiroho ngumu kumrudishia Basil mzigo wake at the time when the bomb was tickin!! Sasa Basil kutupiwa mkaa wa moto huku amelowana petrol ndiyo ikawa kazi kubwa kwake! Hivyo akalazimika kuupiga mkaa teke hadi kwa Wakenya hao walioutuliza mkaa,wakaupooza,na hali ikawa kama ilivyo!!

Hivi unadhani kwanini Magu alivyoingia tu fasta wakina Mramba walitoka gerezani na kuanza kufagia pale hosp na mchezo ukaishia palepale.

Magu wala hana shida na Mramba,hio hotel kama ni ya mramba wala isingepata misukosuko.

Mramba ni rafiki wa Mkapa na connects dots uhusiano wa Magu na Mkapa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Guys embu wakati mwingine tuache siasa kwa kila jambo,eti Mara anahusishwa na membe,Mara Kenyatta yani ni ukumbafu wa hali ya juu.

Kama biashara zake ziko kimagendo je??

Emu muwe na utashi wa kufikiri bila kuhusisha siasa ndani yake.

Greater thinker kama barafu na wengineo humu ndani hawezi kutoa mitazamo yao kama hivi,ebu tuwaige hao watu ili tuisadifu maana halisi ya jamii forum ,maana tunapoelekea hata mku akienda chooni mtahusisha na siasa tu

Mnaboa sana aisee.
 
Guys embu wakati mwingine tuache siasa kwa kila jambo,eti Mara anahusishwa na membe,Mara Kenyatta yani ni ukumbafu wa hali ya juu.

Kama biashara zake ziko kimagendo je??

Emu muwe na utashi wa kufikiri bila kuhusisha siasa ndani yake.

Greater thinker kama barafu na wengineo humu ndani hawezi kutoa mitazamo yao kama hivi,ebu tuwaige hao watu ili tuisadifu maana halisi ya jamii forum ,maana tunapoelekea hata mku akienda chooni mtahusisha na siasa tu

Mnaboa sana aisee.
Umewadhalilisha wenzako halafu huna ulichoandika kinachosadifu maelezo yako.....umejifanya akili kubwa but you seems not..,

Pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi unadhani kwanini Magu alivyoingia tu fasta wakina Mramba walitoka gerezani na kuanza kufagia pale hosp na mchezo ukaishia palepale.

Magu wala hana shida na Mramba,hio hotel kama ni ya mramba wala isingepata misukosuko.

Mramba ni rafiki wa Mkapa na connects dots uhusiano wa Magu na Mkapa.


Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu kumbuka Mramba&Yona's saga haikuanza na Magufuli,yuleyule aliyewa pin mramba na yona ndiye aliyeogopwa pia na laswai! Na Mramba hajaanza kufyagia Amana hospital enzi hii ya magu! Walianza mara tu utawala wa Jk ulipowalainishia adhabu yao!
 
Ila kwa mfanyabiashara kuushindwa kuusoma upepo na kushikamana na mpinzani wa jiwe kwa zama hizi nikutaka kurudi kwny umaskini aisee.
Siyo tu awamu hii ila kwa ujumla mfanya biashara HATAKIWA hata siku moja kujikomba komba kwa wanasiasa! Huwezi kujua kesho kitatokea nini! Mfanyabiashara unatakiwa uwe neutral na usitumie wanasiasa au nguvu za fedha kujipatia vitu kwa njia haramu. Bakresa ni mmoja ya wanafanyiabisha wanaopaswa kuigwa kwa hapa Tanzania.
 
Umewadhalilisha wenzako halafu huna ulichoandika kinachosadifu maelezo yako.....umejifanya akili kubwa but you seems not..,

Pole sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa,maana nahisi ungefurahi kama ningekuwa mmoja wa majuha wenzako,

Binafis sipendezwi na mtu kuteseka,au kukosa raha kama Huyo Jamaa anavyoteseka,Ila sio kila kitu ni kuingiza siasa ndio maana hatuendelei.

Yani kuanzia viongozi was serikali hadi raia sote tunatanguliza siasa ,guy badilika aisee wewe ndio wale hata ukishindwa kuoga utalalamika serikali ,ukishindwa kujamba pia si hajabu nako ukailalamikia serekali
 
Hahaaaa!! Yawezekana mkuu! Maana mwendelezo wa stori fupi niliyopewa na yule mshauri wake niliyoipatia sehemu nyingine ni kuwa kweli Pesa mbili ndiye mhusika! Na ndiyo maana Laswai alikuwa na mashaka na hofu baada ya kusikia mzee wa 'Majani'yupo kwapani! Sasa nyepesi nyepesi ni kuwa Laswai baada ya kufikiri vya kutosha na kwa kuwa mzigo si wake bali yeye ni mshika pembe tu!na ukizingatia kuwa yeye pia ana biashara zake nyingine nyingi tu Binafsi,aliamua kiroho ngumu kumrudishia Basil mzigo wake at the time when the bomb was tickin!! Sasa Basil kutupiwa mkaa wa moto huku amelowana petrol ndiyo ikawa kazi kubwa kwake! Hivyo akalazimika kuupiga mkaa teke hadi kwa Wakenya hao walioutuliza mkaa,wakaupooza,na hali ikawa kama ilivyo!!
Kwahiyo Kibo Palace ni ya wakenya confirmed?
 
Guys embu wakati mwingine tuache siasa kwa kila jambo,eti Mara anahusishwa na membe,Mara Kenyatta yani ni ukumbafu wa hali ya juu.

Kama biashara zake ziko kimagendo je??

Emu muwe na utashi wa kufikiri bila kuhusisha siasa ndani yake.

Greater thinker kama barafu na wengineo humu ndani hawezi kutoa mitazamo yao kama hivi,ebu tuwaige hao watu ili tuisadifu maana halisi ya jamii forum ,maana tunapoelekea hata mku akienda chooni mtahusisha na siasa tu

Mnaboa sana aisee.

Kwenye magendo pia kunawezekana maana warombo kwa magendo ni balaa hahah,nazingua bana.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom