jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,381
- 25,476
- Thread starter
- #141
Amefanyaje?Alisha sambaratisha baadhi ya mali mapema kabisa hakutaka ujinga...ukigusu mali tuu bank hao
Sent using Jamii Forums mobile app
Amefanyaje?Alisha sambaratisha baadhi ya mali mapema kabisa hakutaka ujinga...ukigusu mali tuu bank hao
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama alikuwa anaiba ndiyo anachovuna sasa!!Kuna uonevu Mkubwa sana kwa watu. Ndio hivyo tena Vincent wameshamrudisha nyuma.
Hizi ni tuhuma kubwa. Mbona hatujasikia ameingia kwenye matata au kutuhumiwa hata siku moja? (nisahihishe kama nimekosea). Nachojua jamaa ni mfanya biashara wa siku nyingi sana. Miaka ya 90 alikuwa tayari ameshatoboa na yuko kwenye level ya juu!Huyu ni Jambazi ,katili sana. Biashara ni kama kujificha kwenye kichaka cha karanga ambacho unaonekana,
Naishia hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Huyu anayeiba rambirambi bila aibu atavuna nini?Kama alikuwa anaiba ndiyo anachovuna sasa!!
Weka Mfano si unaongea tu bila data.Huyu ni Jambazi ,katili sana. Biashara ni kama kujificha kwenye kichaka cha karanga ambacho unaonekana,
Naishia hapo.
Sent using Jamii Forums mobile app
YupiNa Huyu anayeiba rambirambi bila aibu atavuna nini?
Wooooi,aisee we Jamaa we we,Mkuu bado unaendelea kutembelea reli ileile.....,
Unasema kila kitu siasa lkn uoneshi nani anayefanya siasa kati mtoa mada au serikali au wachangiaji ndani ya Uzi huu...,
Exactly siasa inagusa kila kitu ndani ya maisha yetu...,"umesema nikiacha kuoga naweza ilaumu serikali" which is true...
Nini maana ya kushindwa kuoga..???labda kwa kukosa huduma nzuri za maji..,who supposed to bring water to me..?Leaders who elected to advocate our problems.., umesema hata "nikikosa kujamba huenda pia nikalaumu serikali" nini maana ya kukosa kujamba..??ni kukosa afya or luck of food.. What does it mean..??No employment, self employment are full destructed with a lot of taxes,agriculture are full disaster(cashewnut crisis)....!!!!!!!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi unafanyakazi Kibo Palace mkuu??
Humjui laswai kbsa ww huyu ni wa siku nyingi na mtu Mwenye heshima zake sana basi tu kafara sabb ni karibu na membe, jk ndio shidaIla kwa mfanyabiashara kuushindwa kuusoma upepo na kushikamana na mpinzani wa jiwe kwa zama hizi nikutaka kurudi kwny umaskini aisee.
Pengine wewe umemjua Laswai hapa mjini akiwa kwny msiba wa Bilionea Msuya kama msemaji wa familia,humjui nje ya hapo nadhani.Humjui laswai kbsa ww huyu ni wa siku nyingi na mtu Mwenye heshima zake sana basi tu kafara sabb ni karibu na membe, jk ndio shida
Hahah Laswai sijui hata kama anajua kutumia laptop,labda laptop za wafanyakazi wake hizo.Jiulize nikwanini wamechukua laptop!! Kuna ujanja ujanja alikuwa anaufanya nothing personal.
Wanajamvi,
Vincent Laswai ni mfanyabiashara maarufu sana pale Moshi. Ndiye mwenye ile Kibo Palace Arusha, mwenye Bureau de changes Moshi na Arusha ambazo zilivamiwa na jeshi kipindi kile, na hadi sasa zimefungwa. Pia ana biashara za jumla kuagiza sukari na bidhaa nyingine kama batteries nk kutoka nje.
Kuna waliokuwa wakisema hiyo Kibo Palace wako na Uhuru Kenyatta. Hoteli hiyo ni maarufu sana. Viongozi wakubwa hufikia hapo. Kuanzia kina Kenyatta, Kikwete, na hata Bernard Membe, ambaye naye inasemekana ni rafiki mkubwa wa ndugu Laswai!
Sasa mida hii ninayozungumza, maafisa usalama pamoja na askari wamezunguka biashara zake na inasemekana anatafutwa. Nadhani tayari alikuwa amesha surrender passport yake, ila kama kachomoka, pengine alikuwa na zaidi ya moja.
Kuna wanaodai kuwa kuna mipango inayoendelea dhidi ya wafanyabiashara flani, wengine wanasema ni ukaribu wake na Bernard Membe ndiyo umemponza! Amekuwa monitored na hakuwa akiweza kuongea hata kwa simu bila kufuatiliwa.
Bado nasubiria kusikia nini hatma yake. Sijui kama ni issue ya utakatishaji fedha au ni kitu gani!
Pia wamebeba computers nk, kama kuna wenye info ya kinachoendelea watueleze. Hapo chini akiwa na JKView attachment 1032828
Anataka kumtetea mtu hapo nadhani kwa sababu ukimwona mtoto anaanza kulia kuwa sijalamba sukariiiii ujue tiyari ndio yeye aliyemaliza kopo loteHebu nionyeshe kwny comment yangu nimetaja neno kabila wapi?
Hujaona wanasema Laswai ni rafikiye Membe.
Na Membe si ndiye anatajwa kama mpinzani wa Magu?
Then huo ukabila unaosema umetoka wapi?