vimbweta vya bwashehe FOE

mkonowapaka

JF-Expert Member
Feb 19, 2010
1,493
767
najua wengi hapa wamesomea degree/certificate zao pale UDSM au basi Mlimani Primary

Pale engineering au Coet au Foe kwa wale wa zamani kuna vigoda maarufu kama vimbweta

hivi sifa yake kubwa ilikua ni kueshimiwa sio tu na wahandisi bali na hata mangwini...hili ungeweza kuliona zaidi kipindi cha migomo...

vimbwetani mtu haruhusiwi kukaa tena mbaya zaidi kama atakua ngwini....salute kwa mgahawa wa bwashehe kama bado yupo mzee wa bili za misosi....

ivi ni kwa nini wahandisi walikua na spirit iyo?je bado ipo?,,,unakumbuka tukio lolote lililokutokea apo vimbwetani?
 
najua wengi hapa wamesomea degree/certificate zao pale UDSM au basi Mlimani Primary

Pale engineering au Coet au Foe kwa wale wa zamani kuna vigoda maarufu kama vimbweta

hivi sifa yake kubwa ilikua ni kueshimiwa sio tu na wahandisi bali na hata mangwini...hili ungeweza kuliona zaidi kipindi cha migomo...

vimbwetani mtu haruhusiwi kukaa tena mbaya zaidi kama atakua ngwini....salute kwa mgahawa wa bwashehe kama bado yupo mzee wa bili za misosi....

ivi ni kwa nini wahandisi walikua na spirit iyo?je bado ipo?,,,unakumbuka tukio lolote lililokutokea apo vimbwetani?

Kama ni guest basi umekosea chumba bro....umekuja kwenye wrong jukwaaa! Nenda kwenye jukwaa la elimu bana...
 
Named after Prof. Tolly Mbete. What next so special on those concrete seats?
 
japo siyo jukwaa lake nakumbuka vizuri sana, siku moja kulikuwa na mgomo mwenz nov 2008 ngwini akataka kupanda kwenye kimbweta palikuwa pa dogo, wakampa kreti la soda kuhutubia watu
 
Kila pale "same-social-group" linapokutana huwa wanakuwa kama wendawzimu na hiyo ya "FoE/Vimbweta" ulikuwa ni wendawazimu
 
mbona mbamshambulia... kwani misosi sio mambo ya jamii?
au ngwini nini?
 
mbona mbamshambulia... kwani misosi sio mambo ya jamii?
au ngwini nini?

Na mie nawashangaa.Mambo yote ya jamii huwa yanahusisha misosi.iwe misiba hadi vikao vya makazini...mie nakumbuka nilikuwa nakula chapati na matunda hapo vimbweta lakn sio migomo...
 
Duh, ila ule wali na nyama ulikuwa mgumu kumeza
Afu na wale tumbili ukizubaa tu wameiba msosi
Bado kunguru wanakulenga, ole wake binti awe kasuka rasta za kimasai hadi akaoshe

It was great!
najua wengi hapa wamesomea degree/certificate zao pale UDSM au basi Mlimani Primary

Pale engineering au Coet au Foe kwa wale wa zamani kuna vigoda maarufu kama vimbweta

hivi sifa yake kubwa ilikua ni kueshimiwa sio tu na wahandisi bali na hata mangwini...hili ungeweza kuliona zaidi kipindi cha migomo...

vimbwetani mtu haruhusiwi kukaa tena mbaya zaidi kama atakua ngwini....salute kwa mgahawa wa bwashehe kama bado yupo mzee wa bili za misosi....

ivi ni kwa nini wahandisi walikua na spirit iyo?je bado ipo?,,,unakumbuka tukio lolote lililokutokea apo vimbwetani?
 
Afu hasa shule ikibana sana
Wakipata upenyo
Wanagoma hadi wafukuzwe wakajiandae vizuri
Ila ilikuwa inabeba kiaina
Kila pale "same-social-group" linapokutana huwa wanakuwa kama wendawzimu na hiyo ya "FoE/Vimbweta" ulikuwa ni wendawazimu
 
Namkumbuka bwashehe au mangi tukipata boom tu du huyo na kadaftari kake! Anakuchomekea ukistuka anasema pesa Imekaa nje mwezi mzima. Hiyo miaka ya 90's unakula kwa bili
 
Named after Prof. Tolly Mbete. What next so special on those concrete seats?

vile vya FOE vimejengwa kabla sana yaaani mika ya 1990 kabla hata ya Prof Mbwete ni TA baade sana prof .Luhanga akampa cheo pale juu akiwa Dr.Mbwete ndo akaanza programu ya kujenga hiyo hapo kwenye huo mdegree na n.k..Vile vya Foe ndo maamuzi magumu yalikuwa yakifanyika kama vile kupanga migomo na jinsi ya kupindua marais wa DARUSO na n.k..Umenikumbusha mbali sana.Miaka hiyo ya 1990 Ng'wini ilikuwa mwiko kufika pale maana waliamini wanakuja kuchukua siri zao na mipango yao.
 
Ilikuwa ukipita mitaa ya ngwini hasa nkuruma unajiona kama uko ngorongoro au mikumi
full viswala, twiga viburudisho vya kufa mtu
ila ilikuwa raha sana
 
najua wengi hapa wamesomea degree/certificate zao pale UDSM au basi Mlimani Primary

Pale engineering au Coet au Foe kwa wale wa zamani kuna vigoda maarufu kama vimbweta

hivi sifa yake kubwa ilikua ni kueshimiwa sio tu na wahandisi bali na hata mangwini...hili ungeweza kuliona zaidi kipindi cha migomo...

vimbwetani mtu haruhusiwi kukaa tena mbaya zaidi kama atakua ngwini....salute kwa mgahawa wa bwashehe kama bado yupo mzee wa bili za misosi....

ivi ni kwa nini wahandisi walikua na spirit iyo?je bado ipo?,,,unakumbuka tukio lolote lililokutokea apo vimbwetani?

umevikalia bila ya kuua vinaitwaje. ni vi-"mbwete" na siyo vi- "mbweta". rekebisha kwa ubongo yako kuanzia sasa sema vi- mbwete, umesikia eeh!!!!
 
na sio bwashehe, ni bwashee. Jamaa yupo sana. Ana uwezo wa kuweka plate tano zenye msosi mkononi bila kudondoka
 
Duuh kaka umenikumbusha mbali sana. Binafsi bwa shee kanipiga tafu na lile daftari lake la bili.mara nyingi huwa naenda kumpa hi pale Foe. Nakumbuka 2001 nikiwa mwaka wa pili tulifanya kunji pale foe kisa mwaka wa kwanza hawajapewa calculator na drawings board.tukasimamishwa chuo Foe wote kwa wk 3 hv. Umenikumbusha mbali sana
 
Back
Top Bottom