Vijana wengi wana hasira na Zitto Kabwe

Vijana wengi wana hasira na Zitto Kabwe

sasa mchumba wa katibu utampendaje zito wakati anahatarisha matumbo yenu?

hahahahaha,naona wampenda kweli Rais wa waTanzania.au ndo umeanza kujipendekeza kwa kuwa meshajua maccm hayana tena nafas ya kurudi magogoni mwakani.
Poleni,buku 7 zitakatika muda si muda,ni swala la muda tu
 
haiwezekani pesa za ruzuku ya chadema mbowe anazihamishia dubai zzito akae kimya
 
Wewe unasema chadema imekosa mvuto, niambie ni mahali gani unaona kumepwaya na kwa sababu gani, pia umedai kuwa hakuna imani kwa wanainchi je wanamini chama gani kwa sasa. Mi naona wewe umstumwa na Zitto huna lolote.

Kwanini mliondoa kipengele cha ukomo wa uongozi?
 
Mi nilisema na ninasema tatizo la zitto Ni uzalendo wake anaipenda Sana nchi yake km angekuwa mnafki na kunyamazia mambo maovu mpk Leo angekuwa shujaa

Huo uzalendo alimfanyia dadako?
 
hahahahaha,naona wampenda kweli Rais wa waTanzania.au ndo umeanza kujipendekeza kwa kuwa meshajua maccm hayana tena nafas ya kurudi magogoni mwakani.
Poleni,buku 7 zitakatika muda si muda,ni swala la muda tu

mchumba wa katibu usiwe na wasiwasi zito hagombei uongoz , kuleni ruzuku ya chama bila wasiwasi.. hakuna wa kuwazuia tena
 
Kumjadili zzito ni sawa na kujadili maiti iliyo mochwari irudi kwenye hali ya uzima!
Ninahasira naye huyu msh€*nzi hadi najiogopa!!!!????


Bila zitto Dr slaa alikuwa ameficha mahesabu ya chama. Zit to ni kiongozi makini sana na anawazidi akili viongozi wa chadema.

Yani Zitto aliwasaidia kuwanyoosha Mbowe na Slaa.
 
Zitto has principle n he is a dynamic new blood of politicians in Africa. Only fools and scapegoats will never understand him. He is courageous, fearless , visionary, and a gift to all Tanzanians , its a pity that both Mbowe Slaa n Mtei didn't do justice to him after he has played the biggest role in building CDM. Their fear of somebody better coming out amongst them and taking over the helm if the party, made them to make him a sacrificial lamb and they are now seeing the results of their mistake THE DOWN FALL OF CHADEMA.

Hii Ni lugha gani kijana umetumia..! Vp ndo zito kabwe ameshaanza kuwafundisha English course pale Lumumba., mwambie akufundishe vizur grammar
 
Je katika huo umri wa miaka 40 alionao zitto, vp huyo dr.slaa unayemshabikia alikua na mke au mchumba?

Je, zito anayefanya mapenzi na hao unaowataja na dk slaa na mbowe wanaodh.ini nje ya ndoa zao unafikiri nani anapenda chini???

Watu mnapenda kujitoa ufaham sana.

Ila kumbuka kuwa nyota ya mtu haiwezi kuzimwa na binadamu waovu waliojaa laana za kila aina.

Zitto ni role model wa vijana wengi hapa tz labda kutoa mikoa miwili ya kaskazini yenye vimelea vya ukabila.

zito ni role model wa vijana wote wa tanzania, kasoro misukule michache tu
 
I could understand if he is a gift to your family but not to majority Tanzanians. To majority of us is profanity. The lowest punishment for a traitor in any kind of army struggle is execution.

Zitto has principle n he is a dynamic new blood of politicians in Africa. Only fools and scapegoats will never understand him. He is courageous, fearless , visionary, and a gift to all Tanzanians , its a pity that both Mbowe Slaa n Mtei didn't do justice to him after he has played the biggest role in building CDM. Their fear of somebody better coming out amongst them and taking over the helm if the party, made them to make him a sacrificial lamb and they are now seeing the results of their mistake THE DOWN FALL OF CHADEMA.
 
Nadhani atainyoosha vizuri zaidi ACT.

Bila zitto Dr slaa alikuwa ameficha mahesabu ya chama. Zit to ni kiongozi makini sana na anawazidi akili viongozi wa chadema.

Yani Zitto aliwasaidia kuwanyoosha Mbowe na Slaa.
 
Tuondoe na wa NJOMBE, MBEYA NA IRINGA. Yawezekana ni role model huko Kigoma.

Je katika huo umri wa miaka 40 alionao zitto, vp huyo dr.slaa unayemshabikia alikua na mke au mchumba?

Je, zito anayefanya mapenzi na hao unaowataja na dk slaa na mbowe wanaodh.ini nje ya ndoa zao unafikiri nani anapenda chini???

Watu mnapenda kujitoa ufaham sana.

Ila kumbuka kuwa nyota ya mtu haiwezi kuzimwa na binadamu waovu waliojaa laana za kila aina.

Zitto ni role model wa vijana wengi hapa tz labda kutoa mikoa miwili ya kaskazini yenye vimelea vya ukabila.
 
Huu uzi unafurahisha sana:- Vijana wa Lumumba plus Mamluki wao ACT wanajaribu kumfagilia Zitto kwa kwenda mbele!!! Wanasahau kuwa Mavi huwa hayapuliziwi perfumes ... Namchukia Zitto sana kutokana na USALITI wake kwa Watanzania! A moment alipoteuliwa kwenye ile tume ya Madini ya Jaji Bomani Wanaharakati, wanamapinduzi walisalitiwa kwani ilikuwa ndo mwisho wa Zitto tuliekuwa tuna mfahamu! Wengi tulijiuliza ilikuwa Sinclair yule mzungu wa Mining exploration anatamba kwenye mitandao eti Rais hathubutu kureview mikataba kwani anajua balaa litakalo mkumba! Zitto alikaa kimya na hadi leo hajatupa mrejesho! Sakata la Buzwagi lilikwisha baada ya Zitto kumegewa kiasi kikubwa cha dola plus Hummer!!! Zitto kama kijana aliekuwa anaandaliwa vema alipewa nyaraka zote muhimu za kuilipua CCM kwenye wizi wa EPA, hadi Bunge linakairibia kuisha alikuwa kimya as if hakuna jukumu la kichama alilokabidhiwa! Ikabidi Dr. Slaa abebe Jukumu la kuilipua CCM ... wote mnajua jinsi ambavyo wezi wa EPA waliombwa kurejesha Masurufu as if walikabidhiwa kwa shughuli za kiofisi!!! Zitto allikuwa anatumia resources za Chama kumfanyia JK kampeni za wazi jimboni kwake! Alihakikisha kuwa Kigoma Chadema haipati Jimbo maana hata Serukamba alichakachua kwa msaada wa Zitto!!! Zitto aliwahi kuomba msamaha hapa Jamvini kwa makosa makubwa aliyowafanyia CHADEMA!!! Zitto huyu huyu alihusika 100% na ile movie ya Lwakatare akishirikiana na Nchemba, Zoka et al... Taarifa ya Uchunguzi kuhusiana na Hujuma za Zitto kabwe iliyosheheni Ushahidi wa kutosha unamfanya zitto kuwa unpopular kwa watanzania wote wenye mapenzi na nchi yao!!! Kama itawapendeza nashauri Mods waiweke hapa tuijadili kwa kina ... Zitto hasafishiki si kwa dodoki wala kwa steel wires...
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom