FOR 2015
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 538
- 222
Zitto yuko sahihi kabisa, na watanzania wengi bado tuna imani naye!
CHADEMA wanamtenga kwa ajili ya dini yake na kabila lake, pia kwa ajili ya misimamo yake isiyoyumbishwa!
BAVICHA wengi hawampendi Zitto kwa sababu wanafuata mkumbo wa viongozi wao!
Yaani we jamaa ni mdini hadi unatia kichefachefu...Khaa