Vijana wengi wana hasira na Zitto Kabwe

Vijana wengi wana hasira na Zitto Kabwe

umekosea, ni mbowe

jamaa anamaanisha HIVI au HIV siajaelewa maana kuna tofauti kubwa, kama anamaanisha ........ hiyo itakuwa nit hatari sana kwa mstakabari wa maisha yake ya kisiasa, maana ule ugonjwa unamfanya mtu anakuwa msaulifu sana anaweza akawaambia watu tungo tata sana leo antataka kitu kesho ataki na hii yote ni usaulifu unaotokana na msongo wa mawazo

kwa mfano
nitagombea ubunge, wananchi mnapoanza kuweka matumaini kwake anaibuka na kusema 2015 sitagombea ubunge njiutagombea uraisi kwa tikate ya chama fulani
 
Kama kweli ni maalufu na star,angejihuzulu ubunge,ili jimbo libaki wazi,halafu agombee kupitia chama kingine ikiwezekana hata kupitia MaCCM menzie,lakini kaonyesha udhaifu na unyonge mkubwa sana kuendelea kuwa mbunge wa jimbo la MAHAKA,hapo kweli ameonyesha udumejike.
 
Sio anajiona bora bali hata sisi tuliokuwa wanachama wa cdm tunamuona ni bora kuliko viongozi wote wa cdm na wanachama wanaoendelea kuwaabudu Mbowe na babu Slaa

CDM hatuna wanachama wapuuzi,wafuasi wa watu kama wewe! Nenda lumumba kajikombe huko upate mkate wako wa kila siku.CDM si chaka la wachumia tumbo na mamluki kama zitto na vibaraka vyake.
 
Zito aliaminiwa sana katika CHADEMA, na ndio maana pamoja na kuwa na umri mdogo, aliibuka na vyeo vikubwa vikubwa katika Chama. tatizo lake ni kwamba hakuwa na subira. kwa kuwa ni kijana mdogo, alitakiwa aendelee kutumikia chama kwa uaminifu kama alivyofanya Slaa. ilibidi aendelee kupata "trust" ya wengi katika chama. mbona JK alipoenguliwa kugombea urais mwaka 1995 hakuhama chama wala hakuanzisha zogo? alivuta subira na akaja kushinda kwa kishindo mwaka 2005. kama kweli Zito alikuwa anaipenda Chadema, asingetumia njia hiyo ya confrotation, akijua kwamba angekigawa chama. amekiumiza chama kwa maslahi binafsi, kiasi kwamba hata CCM wanamtetea. sasa ukiona mpinzani unatetewa na CCM, ujue wewe siyo mpinzani wa kweli.
 
Mimi nilikua namkubari sana Zitto. Lakini siku hizo hana nafasi tena kwangu. Namwona kama mbinafsi anayedhani anajua kuliko wengine.
 
Mkuu una uhakika? naona uko nyuma sana ya habari! wataka kusema zile 3billion alizopata ktk tume ya mikataba ya madini hujui? umesikia tena akiongelea mikataba ya madini? Maslahi ya Taifa hayo? waulize Kigoma nyumba ya Bima iliyopangwa na NMB ilinunuliwa Tsh 550 m na nani kama si huyu shujaa wako? KALAGHABAHO!!!!
haya majungu mkuu wangu nikikuwekea yalosemwa kuhusu Mbowe au Dr.Slaa nayo utayapokea hivyo hivyo ama utachagua! Sikia watu wakitaka kukuchafua watakumaliza tu maana mswahili hahitaji ushahidi ila maneno matupu huvunja familia itakuwa Zitto, na bahati mbaya sana Chadema sasa hivi ipo ktk hali mbaya sana ya UDINI na hii itawamaliza kuliko hata Zitto mwenyewe, japo wapo watu wenye nia nzuri kabisa. Chama kimeingiliwa amini usiamini, Mkiendelea hivi kama sio uchaguzi huu basi haifiki uchaguzi mkuu 2015 - chama chanu litabakia jina kama CUF!..
 
Back
Top Bottom