Mimi ni kijana na sijawahi
kuwa na hasira na Ndg Zitto Kabwe na huyu kwangu ndio role modal
wangu
MSALANI
laki si pesa
ndio mnamtetea msaliti humu
najiuliza tu,kwanini maccm yanampenda sana huyu mbnafs
Mimi ni kijana na sijawahi kuwa na hasira na Ndg Zitto Kabwe na huyu kwangu ndio role modal wangu
mimi sina chama chochote
una mtetea ke*+nge mwenzio!
Huna hata aibu kijana,epuka uchumia tumbo.
to
'Aliezoea kula nyama za watu hawezi kuacha hata siku moja'-Mwl JK Nyerere. Hata Chacha Wangwe hayupo leo kwa kuwa mlikuwa na Hasira nae na bahati mbaya alichelewa kuwapiga biti la kusambaratisha mpaka Panya wenu maana mngeogopa kufanya mliyofanya.
mi namtetea mzalendo wa nchi
hivi kwanini wanaccm ndio wanaomuunga mkono NDUGU ZITTO ?
Sasa naamini kuwa Tanzania kuna laana.
Jibu hilo ni sahihi kutolewa na mtu kama wewe.
Kwanini chadema mnamuogopa zitto kiasi hiki?Laki si pesa@ zitto kapendwa na vyama vyote !! Sema kapendwa zaid na CCM kama wanavyompenda MREMA na kumnadi kuwa ndio mpinzani wa kweli na ujinga wenu!
sikiliza mchumba wa katibu , tunampenda zito kwa sababu ni kijana mzalendo, kiboko ya mafisadip
Kwanini chadema mnamuogopa zitto kiasi hiki?
Zitto anachukiwa, haogopwi. Na sababu za kuchukiwa zipo wazi