Vijana wengi wana hasira na Zitto Kabwe

Vijana wengi wana hasira na Zitto Kabwe

Kaka mnafiki na msaliti mkubwa mwenye tamaa ka fisi sitokaa nimkubali tena japo nampa hecko kwa mazuri aliyoyafanya,akiendelea na tabia zake mbaya atajaishia kuwa mwanga
 
haogopwi bali anadharauliwa sana na wale anaopambana nao maana siyo level yao kwa mustakabali bora wa chadema.
Eti watetezi wake walikuwa ni akina makamba jr,nape,mwigulu,ritz one???,

msije mka mchacha wangwe zito,, watanzania hatutawavumilia,, tena mwambie ben saanane ile sumu aliyopewa na dr.slaa kwa ajili ya kumuua zito aitupe
 
Zitto ni tapeli haaminiki tena ktk vijana makini!!
 
Akili ya zito ni zaidi ya viongozi na wanachama wote wa chadema kwa pamoja

Kama Ndivyo,KWA NINI ANG'ANG'ANIE CDM? SI AENDE ACT TUMUONE ALIVYO NA UWEZO? ALISHACHUJA KABAKI JF NA FACEBOOK TENA KWA KUSHABIKIWA NA MABUKU 7 TU
 
Kama Ndivyo,KWA NINI ANG'ANG'ANIE CDM? SI AENDE ACT TUMUONE ALIVYO NA UWEZO? ALISHACHUJA KABAKI JF NA FACEBOOK TENA KWA KUSHABIKIWA NA MABUKU 7 TU

zito kubaki chadema anaisaidia chadema isife,akiondoka tu,chadema kwisha kabisa
 
Kumjadili zzito ni sawa na kujadili maiti iliyo mochwari irudi kwenye hali ya uzima!
Ninahasira naye huyu msh€*nzi hadi najiogopa!!!!????

nikweli kabisa uko sahihi kwa kuwa wewe ni binadamu wa tofauti na wengine wenye akili timamu.
 
kama sio zito chadema ingekuwa imeshakufa siku nyingi sana
 
Kama Ndivyo,KWA NINI ANG'ANG'ANIE CDM? SI AENDE ACT TUMUONE ALIVYO NA UWEZO? ALISHACHUJA KABAKI JF NA FACEBOOK TENA KWA KUSHABIKIWA NA MABUKU 7 TU

Bila Zitto SACCOS ingeshakwenda na maji siku nyingi!

Slaa na Mbowe hawa hawana utashi wa kuongoza tena!

Slaa anajilipa milioni 11 kwa mwezi huku Mbowe akihamishia fedha za chama Dubai!
 
Bila Zitto SACCOS ingeshakwenda na maji siku nyingi!

Slaa na Mbowe hawa hawana utashi wa kuongoza tena!

Slaa anajilipa milioni 11 kwa mwezi huku Mbowe akihamishia fedha za chama Dubai!

Zito ndio ameshikilia uhai wa chadema,,
 
Bila Zitto SACCOS ingeshakwenda na maji siku nyingi!

Slaa na Mbowe hawa hawana utashi wa kuongoza tena!

Slaa anajilipa milioni 11 kwa mwezi huku Mbowe akihamishia fedha za chama Dubai!

Zito ndio ameshikilia uhai wa chadema,, bila zito makao makuu ya chadema sasa hivi yangekuwa dubai
 
Hawajiwezi kwa Zitto ilobaki basi tuu, mana sikioni haipiti week Zitto eeh Zitto.. Hakuna asokua na mapungufu..


"The truth is hard to swallow when you're choking on your pride."
 
Back
Top Bottom