Vijana wengi wana hasira na Zitto Kabwe

Vijana wengi wana hasira na Zitto Kabwe

Tuondoe na wa NJOMBE, MBEYA NA IRINGA. Yawezekana ni role model huko Kigoma.

njombe hakuna mbunge hata mmoja wa chadema,,katika madiwani 14 chadema ina diwani mmoja. mbeya mbunge mmoja, iringa mmoja..
 
Kama Mbowe alihamishia pesa Dubai, kuna BARAZA LA WADHAMINI LA CHAMA. Kama halifanyi kazi yake, Zito angetoa taarifa TAKUKURU, na nina hakika kama Zito angefanya hivyo, maswahiba wake CCM wangemwongeZEa maradafu bajeti yake ya kuiua CHADEMA.

haiwezekani pesa za ruzuku ya chadema mbowe anazihamishia dubai zzito akae kimya
 
Huu uzi unafurahisha sana:- Vijana wa Lumumba plus Mamluki wao ACT wanajaribu kumfagilia Zitto kwa kwenda mbele!!! Wanasahau kuwa Mavi huwa hayapuliziwi perfumes ... Namchukia Zitto sana kutokana na USALITI wake kwa Watanzania! A moment alipoteuliwa kwenye ile tume ya Madini ya Jaji Bomani Wanaharakati, wanamapinduzi walisalitiwa kwani ilikuwa ndo mwisho wa Zitto tuliekuwa tuna mfahamu! Wengi tulijiuliza ilikuwa Sinclair yule mzungu wa Mining exploration anatamba kwenye mitandao eti Rais hathubutu kureview mikataba kwani anajua balaa litakalo mkumba! Zitto alikaa kimya na hadi leo hajatupa mrejesho! Sakata la Buzwagi lilikwisha baada ya Zitto kumegewa kiasi kikubwa cha dola plus Hummer!!! Zitto kama kijana aliekuwa anaandaliwa vema alipewa nyaraka zote muhimu za kuilipua CCM kwenye wizi wa EPA, hadi Bunge linakairibia kuisha alikuwa kimya as if hakuna jukumu la kichama alilokabidhiwa! Ikabidi Dr. Slaa abebe Jukumu la kuilipua CCM ... wote mnajua jinsi ambavyo wezi wa EPA waliombwa kurejesha Masurufu as if walikabidhiwa kwa shughuli za kiofisi!!! Zitto allikuwa anatumia resources za Chama kumfanyia JK kampeni za wazi jimboni kwake! Alihakikisha kuwa Kigoma Chadema haipati Jimbo maana hata Serukamba alichakachua kwa msaada wa Zitto!!! Zitto aliwahi kuomba msamaha hapa Jamvini kwa makosa makubwa aliyowafanyia CHADEMA!!! Zitto huyu huyu alihusika 100% na ile movie ya Lwakatare akishirikiana na Nchemba, Zoka et al... Taarifa ya Uchunguzi kuhusiana na Hujuma za Zitto kabwe iliyosheheni Ushahidi wa kutosha unamfanya zitto kuwa unpopular kwa watanzania wote wenye mapenzi na nchi yao!!! Kama itawapendeza nashauri Mods waiweke hapa tuijadili kwa kina ... Zitto hasafishiki si kwa dodoki wala kwa steel wires...

sisi watanzania hatujasalitiwa na zito. labda ameisaliti familia yako.
 
Kama Mbowe alihamishia pesa Dubai, kuna BARAZA LA WADHAMINI LA CHAMA. Kama halifanyi kazi yake, Zito angetoa taarifa TAKUKURU, na nina hakika kama Zito angefanya hivyo, maswahiba wake CCM wangemwongeZEa maradafu bajeti yake ya kuiua CHADEMA.

hilo baraza la wadhamini ni danganya toto tu linaburuzwa na mbowe, mbona mbowe ameondoa kipengele cha ukomo wa uongozi baraza liko kimya.
 
Ooh chama kitakufa akiondoka! Aondoke sasa tumeguke,,,yeye mwenyewe anasikilizia upepo.
 
Simpendi malaya wa kisisasa Zitto aalidhazikwa rasmi Mbeyaaaa
 
Tuondoe na wa NJOMBE, MBEYA NA IRINGA. Yawezekana ni role model huko Kigoma.

Huko njombe, mbeya na iringa mpo watatu tu msiyemkubali zito.
Ni wewe, sugu na msigwa. IQ zenu ni ndogo na ndo maana mmeamua kushikiwa akili na watu wa kaskazini... ila wanaotuunga mkono wapo wengi sana huko.

Ukombozi wa pili soon unakuja baada ya kuvua gwanda na kuvaa uzalenda.
 
Huko njombe, mbeya na iringa mpo watatu tu msiyemkubali zito.
Ni wewe, sugu na msigwa. IQ zenu ni ndogo na ndo maana mmeamua kushikiwa akili na watu wa kaskazini... ila wanaotuunga mkono wapo wengi sana huko.

Ukombozi wa pili soon unakuja baada ya kuvua gwanda na kuvaa uzalenda.

Akubarike kwa kipi alichotenda?
 
sio siri wacha niwe tu wazi katika vijana niliona bado wanamfuata zito ni wale tu wakiislam lakini mimi binafsi kipindi hiki zito alipotimuliwa chadema sijaona mshabiki wa chadema wakristo wanamshabikia zitto samahani kama kuna watu nimewakwaza
 
Zitto ni jembe namkubali sana siyumbishwi katika hilo ntabaki na amini kua ni siasa chafu za viongozi wachagadema kutaka kujaribu kumaaliza kisiasa lakini huwezi kuliziba jua na ungo kamweee
 
kwenye nafasi ya mwenyekiti na katibu kumepwaya sana

Kumepwaya vipi? Tuwekee viashiria(indicator) uchaguzi ngazi za chini well managed, mipango ya mkutano mkuu in progress. Msimamo kwa wasiotaka utaratibu kuwaweka kando bado ipo pale pale. Kila kukicha kuna ongezeko kwa kulinganisha wanaotoka na wanao ingia kwa kufananisha na ccm pamoja na kuwatumia ACT kwa lengo la kuwamaliza. Wakati Kigoma wanatia hamnazo, Muheza jimbo lote karibu liifikie Arusha, Ngara na Kyelwa ni spidi. Geita, Busanda na Muleba usiseme. Sasa kupwaya kwa Mbowe na Slaa kuko wapi? Issue ya UKAWA uonavyo ni mkakati uliowakamata ccm vilivyo. Inawezekana wamepwaya, basi tuonyeshe kutoka kwa vigezo vya kuitoa ccm madarakani.
 
Zitto alikosea kuwaamini kina Kitila Alipaswa kuamini akili yake watu walimshauri vibaya kwa maslahi yao

Kitila ameharibiwa na Zitto kwa tamaa zake za kupata 200,000/- kila mwezi
 
Mimi ni mmoja wa watu wanaoona kuwa Zitto ameharibu. Nakubaliana na namba 4 na 5. Tangu alipoonekana kuwa karibu na CCM na hasa baada ye rais kumteua kuwa somebody, aliota pembe. Akaanza kuwadharuai kina Mtei, Slaa na wengine ndani ya chama na kujiona yeye ni nyota. (sina maana kuwa Kina Mtei na wengine wako sahihi kwa asilimia 100).

Zitto ameonesha kuwa nia yake kubwa ni uogozi sio anayosimamia, ameonesha kuwa hana subira. In pre 2010 Zitto Kabwe we had a great Zitto Kabwe in 2020, now we are left with nothing.

Kwa maoni yangu Zitto alileta matumaini makubwa kwa watanzania na ameyafuta kabisa na kutuachia upofu mwaka 2020 kutofa na ubinafsi wake.
 
mbowe alihongwa milioni 20 na nimrodi mkono amuachie jimbo la musoma vijijin. mbowe amejimilikisha gazeti la tanzania daima kinyemela.. mbowe pesa za ruzuku anazitumbua dubai lakini haitwi msaliti kwa sababu ni mchaga.. zito kutaka kugombea uenyekiti wa chama anaitwa msaliti..hiyo ndio chadema

unachekesha kweli! Unataka kujaribu kuonyesha kuwa Zitto ni sawa na Mbowe? Mbowe hana doa. Mbowe ni mtetezi wetu. Maturity ya Mbowe imemzidi mwenyekiti mwenza wa ACt Zitto mara 100000000.

Zitto angekuwa na akili asingeasisi chama cha kijinga cha ACT kitakachokufa na kuzikwa hivi karibuni.

Zitto is a disgrace! Zitto is a hooligan
 
Back
Top Bottom