Vijana wengi wa Kitanzania Maoni yao hutoa kwenye Masanduku ya kura sio Instagram! Mbowe na Vijakazi wake mnalijua hilo ndio maana 2009 Mkakata Jina la Zitto, Tangu mwaka Jana Mlipiga danadana Uchaguzi wa Mwenyekiti kuogopa 'Chuki ya Vijana kwa Zitto', Leo mnaleta kura za Instagram!
Unajua 'Chuki ya Vijana' dhidi ya Zitto ndio iliyolazimisha Slaa kufuta Uchaguzi wa BAVICHA uliompa ushindi kafulila na kumfukuza Chamani kwa kudai ni Sisimizi?
Zitto kwishney!!!