Songoro
JF-Expert Member
- May 27, 2009
- 4,122
- 1,022
toKumjadili zzito ni sawa na kujadili maiti iliyo mochwari irudi kwenye hali ya uzima!
Ninahasira naye huyu msh€*nzi hadi najiogopa!!!!????
'Aliezoea kula nyama za watu hawezi kuacha hata siku moja'-Mwl JK Nyerere. Hata Chacha Wangwe hayupo leo kwa kuwa mlikuwa na Hasira nae na bahati mbaya alichelewa kuwapiga biti la kusambaratisha mpaka Panya wenu maana mngeogopa kufanya mliyofanya.