vijana wengi wakristo kuogopa na kuchelewa kuoa hadi wafike 30+, zinaa inaepukika ?

NetMaster

JF-Expert Member
Sep 12, 2022
1,454
4,853
Bila shaka tunajionea vijana wengi wa kikristo hasa waliosoma vyuoni kwa sasa suala la ndoa limekuwa ni dilemna, wengi huwa wana mahusiano na hata kuwa na watoto lakini inakuwa nje ya ndoa.

Sababu za kuogopa ndoa zikiwa kama;
  • Mahari kuwa kubwa na sherehe kuwa ghali.
  • Kwenye ndoa za kikristo ni lazima mali zipigwe pasu kwa pasu mkiachana kwa sheria za mahakamani.
  • Mwanamke anaweza kuwa na kiburi anajua huwezi kuongeza mke na ukimzingua anakomba mali pasu kwa pasu.
  • Ni ngumu kuoa upya.

Matokeo yake, vijana wengi kwa sasa wamekuwa wanasubiri mpaka 36 huko ndio wanaoa, uzinzi unaepukika hapa ?
 
bila shaka tunajionea vijana wengi wa kikristo hasa waliosoma vyuoni kwa sasa suala la ndoa limekuwa ni dilemna, wengi huwa wana mahusiano na hata kuwa na watoto lakini inakuwa nje ya ndoa.

sababu za kuogopa ndoa zikiwa kama mahari kuwa kubwa, kuogopa mali kupigwa pasu kwa pasu mahakamani, sheria ngumu za kuoa upya, n.k.

mtu anasubiri mpaka 36 huko ndio anaoa, uzinzi unaepukika hapa ?
Wa kuristo wengi wana zinii kwao zina sio issue hata kanisani wanahimiza kukaa na mchumba mpaka pale utakapo ona ni mda muafaka kufunga ndoa.
 
bila shaka tunajionea vijana wengi wa kikristo hasa waliosoma vyuoni kwa sasa suala la ndoa limekuwa ni dilemna, wengi huwa wana mahusiano na hata kuwa na watoto lakini inakuwa nje ya ndoa.

sababu za kuogopa ndoa zikiwa kama mahari kuwa kubwa, kuogopa mali kupigwa pasu kwa pasu mahakamani, sheria ngumu za kuoa upya, n.k.

mtu anasubiri mpaka 36 huko ndio anaoa, uzinzi unaepukika hapa ?
Christian most of them are not really God fearing they are pretenders in their life
 
bila shaka tunajionea vijana wengi wa kikristo hasa waliosoma vyuoni kwa sasa suala la ndoa limekuwa ni dilemna, wengi huwa wana mahusiano na hata kuwa na watoto lakini inakuwa nje ya ndoa.

sababu za kuogopa ndoa zikiwa kama

  • mahari kuwa kubwa na sherehe kuwa ghali
  • kwenye ndoa za ikristo ni lazima mali zipigwe pasu kwa pasu mkiachana kwa sheria za mahakamani
  • mwanamke anaweza kuwa kiburi anajua huwezi kuongeza mke na ukimzingua anakomba mali pasu kwa pasu
  • ni ngumu kuoa upya

mtu anasubiri mpaka 36 huko ndio anaoa, uzinzi unaepukika hapa ?
Ukikaa vibaya na wewe unazalishwa tu 😀😀😀
 
bila shaka tunajionea vijana wengi wa kikristo hasa waliosoma vyuoni kwa sasa suala la ndoa limekuwa ni dilemna, wengi huwa wana mahusiano na hata kuwa na watoto lakini inakuwa nje ya ndoa.

sababu za kuogopa ndoa zikiwa kama

  • mahari kuwa kubwa na sherehe kuwa ghali
  • kwenye ndoa za ikristo ni lazima mali zipigwe pasu kwa pasu mkiachana kwa sheria za mahakamani
  • mwanamke anaweza kuwa kiburi anajua huwezi kuongeza mke na ukimzingua anakomba mali pasu kwa pasu
  • ni ngumu kuoa upya

matookeo yake, vijana wngi kwa sasa wamekuwa wanasubiri mpaka 36 huko ndio wanaoa, uzinzi unaepukika hapa ?
Tugegeduane tuu. Ndoa zilishakuwa ngumu.
 
Moderators hebu njooni mfute hizi thread zenye milengo ya dini. Nyingi zina lengo la kuharibu umoja, upendo na mshikamano wetu kama Taifa.

Ni vizuri tubishane kwenye siasa, michezo nk lakini sio dini.
Sure mods wazifutilie mbali na kuwapa onyo kali hao watu waleta hizi nyuzi.

Ni kama zile za mashoga na mashoga wanavyopigwa ban iwe na huku pia maana hamna kinachojadiliwa zaidi ya matusi na kebehi tu.
 
Zinazo gusa wengine sio shida ila uzi unao ongelea ukweli ufutwe huo ni unafiki.
Hivi mkuu umesoma vizuri nilichoandika kweli? Unaelewa tofauti ya "hi" na "hizi"?
Hapo nimeweka wingi nikimaanisha ni hii na zingine zilizopo humu bila kujali alieandika ni nani na zinahusu dini gani.
 
Sure mods wazifutilie mbali na kuwapa onyo kali hao watu waleta hizi nyuzi.

Ni kama zile za mashoga na mashoga wanavyopigwa ban iwe na huku pia maana hamna kinachojadiliwa zaidi ya matusi na kebehi tu.
Zamani ilikuwa ukianzisha tu uzi lazima upitiwe kwanza afu wakijiridhisha ndo wanaruhusu uwepo hapa usomwe.

Ila sasa hivi hawana utaratibu huo na hata watu wanaoandika upuuzi hawapewi adhabu kivile.
 
Zamani ilikuwa ukianzisha tu uzi lazima upitiwe kwanza afu wakijiridhisha ndo wanaruhusu uwepo hapa usomwe.

Ila sasa hivi hawana utaratibu huo na hata watu wanaoandika upuuzi hawapewi adhabu kivile.
Mkuu ukiristo unapotosha watu wengi acha ufunuliwe watu wajue ukweli

JF is where we talk openly
 
Back
Top Bottom