Pleasepast
JF-Expert Member
- May 30, 2023
- 325
- 454
Habarini za asubuhi wapendwa
Kama kichwa cha habari kinavyoonekana leo napenda kuchukua nafasi hii kuwakumbusha vijana awe wa kike au wakiume kwamba wawe makini sana kwenye kuchagua wapenzi wa maisha yao ili kuepusha majuto kwa badaye
Na cha muhimu zaidi hakikisha unatunza izo shaha....w...a zako usije kujikuta unazimwaga kwa kichaa ambae yeye unamuona ana akili timamu lakini kimbembe kitaanza siku mkisha pata mtoto yani hapo ndio utajutia uwe wa kiume au wakike inatokea kwa wote
Tafadhali hii ni serious issue Naomba ichukulieni kwa uzito mkubwa sana fuatilia nyuzi nyingi humu utaskia ni malalamiko mzazi mwenzangu mzazi mwenzangu hivyo ni heri kua makini kabla hujaamua kumwaga izo mambo kwa mtu yeyote au kumwagiwa hakikisha uko tayari na majuto ya badae naongea kutoka kwenye experience niliyonayo mimi.
Kuna mwanamke unazaa nae unaishi nae ghafla bin vuu anabadilika na anaenda kuishi maisha yake ilihali wewe bado unampenda na unampenda mtoto wako lakini ndio ivyo tena mke kachagua maisha ya kudanga
Au
Mwanamke unazalishwa na mwanaume mara ghafla bin vuu anakuacha anaenda kuoa mwanamke mwingine.
Na kinacho uma zaidi unakuta anaye achwa anakua alikua amesha settle kujenga maisha na mwenza wake.
Mwenye kusikia na asikie.
Kama kichwa cha habari kinavyoonekana leo napenda kuchukua nafasi hii kuwakumbusha vijana awe wa kike au wakiume kwamba wawe makini sana kwenye kuchagua wapenzi wa maisha yao ili kuepusha majuto kwa badaye
Na cha muhimu zaidi hakikisha unatunza izo shaha....w...a zako usije kujikuta unazimwaga kwa kichaa ambae yeye unamuona ana akili timamu lakini kimbembe kitaanza siku mkisha pata mtoto yani hapo ndio utajutia uwe wa kiume au wakike inatokea kwa wote
Tafadhali hii ni serious issue Naomba ichukulieni kwa uzito mkubwa sana fuatilia nyuzi nyingi humu utaskia ni malalamiko mzazi mwenzangu mzazi mwenzangu hivyo ni heri kua makini kabla hujaamua kumwaga izo mambo kwa mtu yeyote au kumwagiwa hakikisha uko tayari na majuto ya badae naongea kutoka kwenye experience niliyonayo mimi.
Kuna mwanamke unazaa nae unaishi nae ghafla bin vuu anabadilika na anaenda kuishi maisha yake ilihali wewe bado unampenda na unampenda mtoto wako lakini ndio ivyo tena mke kachagua maisha ya kudanga
Au
Mwanamke unazalishwa na mwanaume mara ghafla bin vuu anakuacha anaenda kuoa mwanamke mwingine.
Na kinacho uma zaidi unakuta anaye achwa anakua alikua amesha settle kujenga maisha na mwenza wake.
Mwenye kusikia na asikie.