Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Vijana wataoaje Wanawake wasio na Bikra?

Mughonile!

Habari za siku nyingi Wakubwa Kwa wadogo. Mzee Bikra nimerejea.... nitaanza na hawa viumbe wakataa Ndoa.
Ninyi mnaokataa ndoa, Oeni Wanawake Bikra.
Kama kuna Mwanamke Bikra na anataka kuolewa, muoe.
MTU akikuuliza Kwa nini hauoi mwambie bado haujapata Mwanamke Bikra.
Mwanamke asiyebikra hata ukimuoa huyo sio Mkeo.
Inashangaza mtu kumuita MKE Mwanamke ambaye hakumkuta Bikra, sijui no ukichaa au ushamba.

Bikra matter's
Bikra ya wapi unayoizungumzia.
 
Wanaume mnajidharaulisha sana. Mada nyingi mnazoanzisha zinadhihirisha uwezo wenu wa kufikiri. Hiyo bikra huyo binti alijitoa mwenyewe? Mbona mada nyingi humu ni za kuwakashfu wanawake? Hivi tukianza kuwatukana wanaume mnadhani mtatuweza?

Hivi tukija na conclusion kwamba asilimia kubwa ya wanaume ni mapungasese mtabisha? Your thinking capacity is below zero
Akaolewe na aliyemtoa bikra, full stop. Naunga mkono hoja
 
Mughonile!

Habari za siku nyingi Wakubwa Kwa wadogo. Mzee Bikra nimerejea.... nitaanza na hawa viumbe wakataa Ndoa.
Ninyi mnaokataa ndoa, Oeni Wanawake Bikra.
Kama kuna Mwanamke Bikra na anataka kuolewa, muoe.
MTU akikuuliza Kwa nini hauoi mwambie bado haujapata Mwanamke Bikra.
Mwanamke asiyebikra hata ukimuoa huyo sio Mkeo.
Inashangaza mtu kumuita MKE Mwanamke ambaye hakumkuta Bikra, sijui no ukichaa au ushamba.

Bikra matter's
Wanawake mabikira utawakuta peponi tena 70 kwa idadi yao, kwa nn uhangaike kutafuta bikira mmoja tu ktk nchi ya Dr SSH?

Kama una wazimu endelea kusaka aliye bikira 😁😁
 
Umeona hicho nilichobold? Kuna tofauti gani kati ya neno baadhi na asilimia kubwa? Mada ya ngapi hii naisoma leo inakashfu wanawake?
Tuchukulie mfano, kuna wanaume 100 mbele yako. Asilimia kubwa, inavuka zaidi ya nusu, inaweza kuwa 70%, 80% etc.

Kwa ufupi, synonym ya asilimia kubwa ni wengi wao, wakati synonym ya asilimia ndogo ni baadhi yao. I hope umespot the difference.

Na kuhusu hizo mada unazosema umesoma kuhusu wanawake, je hao wanaume walioziweka, wanawakilisha idadi kiasi gani ukilinganisha na wanaume wote waliopo humu JF?

Lakini unajua kuwa baadhi ya hizo mada, zinawekwa na wanawake?
 
Maoni ya wana jf huwa Yana furahisha.

Tulieni katika ukati na kati. Huko ndipo usalama ulipo.

Huwezi kuwa Mwanaume kamili ukakataa ndoa. Huwa tunawaambia katika wanaume tupo sisi Wanaume.

Mwanamke bikra huwa mzuri pale akipambika na tabia nzuri, sababu bikra huonyesha usafi na kujitunza kwake Mwanamke husika. Hili halitakiwi kupuuzwa.

Ila ndoa haiishii katika bikra, ndoa ni zaidi ya bikra, hapa tunaelewa sisi tulio oa. Ndiyo maana sisi Wanaume huwa tunaoa mpaka wajane, walio fiwa na waume zao na wale walio achika baada ya kupata ukweli wa chanzo Cha kuachika kwake.

Mimi binafsi siwezi kuishi bila mke, kuoa ndiyo fahari yangu na Wanaume huwa tunajifaharisha na kuoa.

Naelekea kukamilisha wake wanne masiku si mengi.
 
Tuchukulie mfano, kuna wanaume 100 mbele yako. Asilimia kubwa, inavuka zaidi ya nusu, inaweza kuwa 70%, 80% etc.

Kwa ufupi, synonym ya asilimia kubwa ni wengi wao, wakati synonym ya asilimia ndogo ni baadhi yao. I hope umespot the difference.

Na kuhusu hizo mada unazosema umesoma kuhusu wanawake, je hao wanaume walioziweka, wanawakilisha idadi kiasi gani ukilinganisha na wanaume wote waliopo humu JF?

Lakini unajua kuwa baadhi ya hizo mada, zinawekwa na wanawake?
Wewe kama hauhusiki bora ukakaa pembeni
 
Wewe kama hauhusiki bora ukakaa pembeni
Tunachangia content za mada, na sio wale wanaohusika tu. Ingekuwa hivyo, hata wewe ulistaili ukae pembeni, maana mada inahusu bikra na wanaume, vyote vipo nje ya uwezo wako.

Tubaki kujadili mada, nimekuuliza, hizo unafahamu miongoni mwa hizo mada zinazoponda wanawake, zingine zinaanzishwa na wanawake wenyewe?
 
Wanaume mnajidharaulisha sana. Mada nyingi mnazoanzisha zinadhihirisha uwezo wenu wa kufikiri. Hiyo bikra huyo binti alijitoa mwenyewe? Mbona mada nyingi humu ni za kuwakashfu wanawake? Hivi tukianza kuwatukana wanaume mnadhani mtatuweza?

Hivi tukija na conclusion kwamba asilimia kubwa ya wanaume ni mapungasese mtabisha? Your thinking capacity is below zero
Waambie walokoswa akili
 
Back
Top Bottom