DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 18,025
- 45,576
Nimefatilia siasa zote kutoka Ccm na upinzani Ila vijana bado hawapo matured mentally.
Ukiwatazama vijana Wa Uvccm wao hakuna wanachowaza zaidi ya matusi, kuua , kujeruhi na kuwafunga wakosoaji Wa CCM.
Ukija kwa upinzani hawa kiasi chake wanakuaga na hoja nzuri ila tatizo lao kubwa ni lile la kusapoti kila kitu cha viongozi wao hata kama sio sahihi.
Hivyo nawapa ushauri vijana ikiwa mnataka kufanikiwa katika siasa jikiteni katika kutoa mawazo constructive , mfano nchi ipo katika changamoto ya Umeme, uhaba wa sukari n.k.
Je mnashindwa kutoa mawazo yenu mkaishauri serikali hatua muhimu za kuchukua.
Vijana msipobadilka teuzi nzuri mtazisikia tu kwa WATU.
Ukiwatazama vijana Wa Uvccm wao hakuna wanachowaza zaidi ya matusi, kuua , kujeruhi na kuwafunga wakosoaji Wa CCM.
Ukija kwa upinzani hawa kiasi chake wanakuaga na hoja nzuri ila tatizo lao kubwa ni lile la kusapoti kila kitu cha viongozi wao hata kama sio sahihi.
Hivyo nawapa ushauri vijana ikiwa mnataka kufanikiwa katika siasa jikiteni katika kutoa mawazo constructive , mfano nchi ipo katika changamoto ya Umeme, uhaba wa sukari n.k.
Je mnashindwa kutoa mawazo yenu mkaishauri serikali hatua muhimu za kuchukua.
Vijana msipobadilka teuzi nzuri mtazisikia tu kwa WATU.