Tatizo una sifia sifa ambazo hasipo black America Wana miili mikubwa na wameenda hewan kama Hasheem thabiti, sasa ao vijana wako wa Arusha Wana vimwili vidogo vimekondaKumbe wanaume hampendi wenzenu wasifiwe eehe poa nimewaelewa
Hawajui black American huyo, vijana waki marekana wameenda juu futi 7Midabwada Ile mishati mirefu Hadi kwenye ugoko, miraba mikubwa namba 18 wakati mguu wako ni namba tisa, Wamarekani wa wapi huvaa hivyo?
Nakataa hii picha kuwa ya ArushaMimi sijuagi hata uzuri wa wanaume upo wapi.
Ila leo hawa vijana wa Arusha nawaona wazuri sana, yani kama Mablack America flani hivi, wanavaa vizuri sana nguo org viatu vya kisure sana, haki sijakutana na mtu aliyevaa shati ya dukani.
Nawapongeza sana.
Ni kweli, black americans are giantsTatizo una sifia sifa ambazo hasipo black America Wana miili mikubwa na wameenda hewan kama Hasheem thabiti, sasa ao vijana wako wa Arusha Wana vimwili vidogo vimekonda
Nane naneUmewaona sehemu gani hapo Arusha?
Sasa mkuu, ID ataitambuaje? Mfano mimi naweza tumia jina la kike kumbe ni wa kiume, pia hatutumii sura halisi, sasa Melo atamjuaje Bujibuji kiundani? Labda wamtafute kwa GPS!Government au anybody else
Kwani kwa mfano,TRA,wakaja ofisini kwa JF,wakaleta tax bill ya 3Bilions,then DCI akamwambia tupe ID ya Bujibuji tukuachie,Melo hatoi?
Asitoe maana wewe bwana Bujibuji ni wa maana sana kuliko JF yake inayompatia kula?
Au unadhani Melo anavyosema sijui ni sawa niende mahakamani ila sitoi ID and blah blah,wewe unadhani ni kweli?
TRA hata uipeleke mahakamani kwa kodi ya kubambikwa,sheria ni ulipe kwanza ndio uende mahakamani,na mahakama ikione una haki ndio urudishiwe,wewe unadhani Melo ana liquid imekaa bure kwenye account yao 3 Bilioni ya kutoa tu free kwa TRA?Hana hiyo hela,ata trade your ID in a minute
Dont trust any human being
Any human being subjected to enough pain,loyality goes outta window...thats the LAW!
Anachoongea Melo and other JF fanatics ni nonsense
No problen at all! Ila nahisi wewe ni Mtanzania!No,I'm not!
And if kwa mfano I'm indeed Black American then whats the problem with that?
Naona umechukia black americans kuitwa mburula! Ndio maana nikakuuliza kama na wewe ni black american.No,I'm not!
And if kwa mfano I'm indeed Black American then whats the problem with that?
Mkuu
Process ya verification ya JF unaijua au unaongea nonsense tu?
I'm sure hujui ndio maana hata wewe jina lako sio verified.
Pitia process ya verification upate verification ndio uje hapa
Mela anataka uscan ID yako,yaani kitambulisho sio nikitaja ID unafikiri ni ID ya JF,hiki kitambulisho chako unakituma kwa Melo kama attachment,yeye anakiverify huko Rita,or whatever then ndio anakupa verification tick
Sasa kama tayari ana copy ya Kitambulisho chako halisi chenye picha yako na namba,say passport au driving license au kitambulisho cha taifa,au any kitambulisho,mze umeenda na maji,Melo anaweza kukuuza for free!


umetisha kaka, umeeleza vizuri mpaka nimeelewa. Ila wewe ni Mmarekani mweusi, nishajua! Karibu TZ kaka.Njoo arusha udate tunapiga pambaaa sio huko kwenu mnavaa,singeli eti truck suit dar kweli na joto lote??🤣🤣🤣Hivi unawajua Blac Americans au unawasikia?
Hawa mbona wazungu!Wearing style za vijana wa Arusha
Hadi rahaView attachment 1898498View attachment 1898499View attachment 1898502View attachment 1898503View attachment 1898504
Wacha kumtisha mwenzako bhanaNa unajua kabisa kwa serikali zetu za dunia ya tatu hizi zisizo na professionalism unaweza toa one sentensi then waziri mmoja tu akachukulia personal akaamua kuja kukutafuta,then,hivi unaelewa Melo au Asha can give out just like that?
Then still you have nothing to hide?
You have nothing to hide wakati your freedom of speech tu humu ni defined kama "kosa" kwao?
You are not that much safe na hawa watu unaodhani they have your best interest!
Achana na govt,tuseme tumegombana humu mimi na wewe of which it happens alot,then nikaamua kukutafuta ili nikudhuru,then nika offer the highest amount I can afford to Asha,she will give out your identity in one second.
Mkuu pumbu zao hapo hujabeba,JF akina Melo na Asha wamekubebea,sema usiudhi mtu tu ndio "i have nothing to hide" yako unayosemea!

Utambulisho wa bujibuji unafahamika na if officials kitu ambacho ni hatari Sana ameweka rehani uhai na maisha yake.Imekuaje kwani?