Vijana wa Arusha kama Black America

Vijana wa Arusha kama Black America

Bujibuji

Wameku verify eee?

Wana ID yako,sasa siku unavamia maslahi ya JF pahali au unatishia credibility yao hapa jukwaani then they will easily give you up to the government like a hot potato!

Melo will forever hold you by your balls sir.....siku unafukuta then the balls will be squeezed!

Watch this space!
Nimecheka sana aisee unavo mualert jamaa, huko alipo amepata moto, this time around yuko kama kafungiwa bandani kwenye zoo, no go area. No space to interact kwa kutukana wala kuhide coz his documents is under control.
 
Na unajua kabisa kwa serikali zetu za dunia ya tatu hizi zisizo na professionalism unaweza toa one sentensi then waziri mmoja tu akachukulia personal akaamua kuja kukutafuta,then,hivi unaelewa Melo au Asha can give out just like that?

Then still you have nothing to hide?

You have nothing to hide wakati your freedom of speech tu humu ni defined kama "kosa" kwao?

You are not that much safe na hawa watu unaodhani they have your best interest!

Achana na govt,tuseme tumegombana humu mimi na wewe of which it happens alot,then nikaamua kukutafuta ili nikudhuru,then nika offer the highest amount I can afford to Asha,she will give out your identity in one second.

Mkuu pumbu zao hapo hujabeba,JF akina Melo na Asha wamekubebea,sema usiudhi mtu tu ndio "i have nothing to hide" yako unayosemea!
Bado unamjambisha tu 😅😅😅👏👏👏👏 nazidi kucheka this man seems to trust them kwa fact kwamba yuko na contacts zao which is necessarly not a deal kama ukimuhada mtu wa official na ukawa huku jf.

kama ulivosema hili jukwaa wako watu wa usalama 24/7, if you release out bads you will be suspected in second just a matter of few seconds you will be under arrested by the officials.

Siasa za bujibuji ziko matatani 👏👏😅😅 na hii ni baada ya kusend his own approval documents to Melo and the rest who did this task 😅😅 Watanzania ni wasahaulifu sana njoo mchome chanjo ya UVIKO 19 mnaenda kuchoma na miwatu ni under 30 Libinti halina hata dalili za kutema mate she is not have even a single kid.
 
Mimi sijuagi hata uzuri wa wanaume upo wapi.

Ila leo hawa vijana wa Arusha nawaona wazuri sana, yani kama Mablack America flani hivi, wanavaa vizuri sana nguo org viatu vya kisure sana, haki sijakutana na mtu aliyevaa shati ya dukani.

Nawapongeza sana.

Alafu utakuta wewe ni mwanaume sasa!!!daa tanzania yanguu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sijuagi hata uzuri wa wanaume upo wapi.

Ila leo hawa vijana wa Arusha nawaona wazuri sana, yani kama Mablack America flani hivi, wanavaa vizuri sana nguo org viatu vya kisure sana, haki sijakutana na mtu aliyevaa shati ya dukani.

Nawapongeza sana.

Mimi naongea kiarusha Arusha but vaa yangu ni different sana
 
Mimi sijuagi hata uzuri wa wanaume upo wapi.

Ila leo hawa vijana wa Arusha nawaona wazuri sana, yani kama Mablack America flani hivi, wanavaa vizuri sana nguo org viatu vya kisure sana, haki sijakutana na mtu aliyevaa shati ya dukani.

Nawapongeza sana.

Mimi mwenyewe ni WA Arusha, vipi nije PM???
 
Back
Top Bottom