Vijana wa Arusha kama Black America

Vijana wa Arusha kama Black America

Midabwada Ile mishati mirefu Hadi kwenye ugoko, miraba mikubwa namba 18 wakati mguu wako ni namba tisa, Wamarekani wa wapi huvaa hivyo?
Siongelei hizo comedy za Arusha

Nenda mjini kaka kwa vijana serious waNaojiheshimu achana na zile comedian na wavuta bangi wa uswazi
 
Kumbe wanaume hampendi wenzenu wasifiwe eehe poa nimewaelewa
1629389752075.png
 
Anamaanisha kuna mashati ya dukani, yale unakuta yametundikwa moja 150k ama 80k halafu kuna yale mashati ya mnadani/gulioni ambapo unakuta fungu la shati 8 linauzwa 3k. Hayo ndio watu wa Arusha wanavaa.
 
Bujibuji

Wameku verify eee?

Wana ID yako,sasa siku unavamia maslahi ya JF pahali au unatishia credibility yao hapa jukwaani then they will easily give you up to the government like a hot potato!

Melo will forever hold you by your balls sir.....siku unafukuta then the balls will be squeezed!

Watch this space!
Hilo angalizo linamfaa zaidi Gentamycin
 
Bujibuji

Wameku verify eee?

Wana ID yako,sasa siku unavamia maslahi ya JF pahali au unatishia credibility yao hapa jukwaani then they will easily give you up to the government like a hot potato!

Melo will forever hold you by your balls sir.....siku unafukuta then the balls will be squeezed!

Watch this space!
Maxence Melo ana namba yangu ya simu, Asha Abinala Daudi ana namba yangu, na tunafahamiana vyema kwa miaka mingi.
I have nowhere to hide
 
Mimi sijuagi hata uzuri wa wanaume upo wapi
Ila leo hawa vijana wa Arusha nawaona wazuri sana, yani kama Mablack America flani hivi, wanavaa vizuri sana nguo org viatu vya kisure sana, haki sijakutana na mtu aliyevaa shati ya dukani.

Nawapongeza sana
Utaliwa kimasihara
 
Mimi sijuagi hata uzuri wa wanaume upo wapi
Ila leo hawa vijana wa Arusha nawaona wazuri sana, yani kama Mablack America flani hivi, wanavaa vizuri sana nguo org viatu vya kisure sana, haki sijakutana na mtu aliyevaa shati ya dukani.

Nawapongeza sana

Sawa mtu wa arusha tumekuckia. Afu Usiangalie uzuri wa sura, angalia tabia ya mtu.
 
Back
Top Bottom