Vijana wa Arusha kama Black America

Vijana wa Arusha kama Black America

Ndio maana masingle mother wanaongezeka kwa kasi kila uchao.

Sasa hao ndio kwako unaona wanaume wa kuanza nao maisha. Wakukule hadi ufike umri wa kuchoka wanakutema wanarudia wadogo zako unakuja kufungua uzi hapa wanaume wa Arusha wote ni mbwa!
😅😅😅 Mwache arifu ameyaelewa machali ya chuga, machali ya ungalimited, matejoo na sombetini mpaka kwa moromboo.
Sema chuga hamna lomoni nyingi.
 
Mh
Bujibuji

Wameku verify eee?

Wana ID yako,sasa siku unavamia maslahi ya JF pahali au unatishia credibility yao hapa jukwaani then they will easily give you up to the government like a hot potato!

Melo will forever hold you by your balls sir.....siku unafukuta then the balls will be squeezed!

Watch this space!
How do you know!?
 
Sisi hapa Arusha ndio tuna update za ulimwengu mzima. Tutakutana na wazungu ambao ni fresh kabisa wamekanyaga Bongo Kwa mara ya kwanza akitua tu tunae.
 
Hawawezi kukuelewa hao wavaa midosho wa daslam mamalai.

Mtoko wangu wa leo.
IMG_20210820_080448.jpg
 
Back
Top Bottom