I declare interest Mimi ni muumini wa Kikwete na Lowassa, Historia inaeleza kua hawa jamaa walikua marafiki wakubwa sana mpaka lilivokuja suala la Richmond inasemekana ndio lililowavuruga
Lakini pamoja na kugombana mmoja akiwa ni mwenyekiti wa CCM taifa mwingine akiwa mgombea urais wa chama pinzani lakini bado waliheshimiana hawajawahi kutukanana jukwaani ninachokumbuka Mimi kuhusu Lowassa kila akipanda jukwaani alikua anasema rafiki yangu kaharibu nchi wakati Jk alikua akisema mwenye Richmond chadema wanae hakuwahi kumwita Lowassa fisadi.
Natamani tupate mwandishi mmoja afanye interview na hawa jamaa aangalie Historia yao wapi wametoka mangapi wamefanya pamoja je nini kiliwagombanisha na status yao kwa Sasa ipoje, nadhani itakua documentary nzuri mno.
Lakini pamoja na kugombana mmoja akiwa ni mwenyekiti wa CCM taifa mwingine akiwa mgombea urais wa chama pinzani lakini bado waliheshimiana hawajawahi kutukanana jukwaani ninachokumbuka Mimi kuhusu Lowassa kila akipanda jukwaani alikua anasema rafiki yangu kaharibu nchi wakati Jk alikua akisema mwenye Richmond chadema wanae hakuwahi kumwita Lowassa fisadi.
Natamani tupate mwandishi mmoja afanye interview na hawa jamaa aangalie Historia yao wapi wametoka mangapi wamefanya pamoja je nini kiliwagombanisha na status yao kwa Sasa ipoje, nadhani itakua documentary nzuri mno.