Chifu Sanze
JF-Expert Member
- Jul 20, 2021
- 3,097
- 6,281
Angekuwa mvumilivu asingehama CCM baada ya kuangushwa kwa hila lakini kitendo cha kuhama na kukimbilia upinzani ni dhahiri uvumilivu ulimshinda.Mi binafsi Kuna kitu nimejifunza kwa lowassa haswa uvumilivu