zee_latown
JF-Expert Member
- Feb 21, 2026
- 522
- 923
madogo wengi wa tz ni kama majinga majinga hivi... mkuu wewe yaache, don't waste your time. acha yafe.Sawa ni chai
madogo wengi wa tz ni kama majinga majinga hivi... mkuu wewe yaache, don't waste your time. acha yafe.Sawa ni chai
Muongo, tapeli ,mzandikiiiiiKuna kijana wa humu kanifuata , anataka nimuunganishie mchongo, nikavuta simu moja kwa mwanangu tajiri wa mwanza akampa dogo babashoap, dogo alikua anakula zaidi ya 400k bila wasiwasi kusimamia tu, yeye akusanye tu maokoto ya boss , now boss wake ananipigia simu dongo miyeyusho, analeta pesa pungufu na kalewa vibaya sana , nikamwamba mtimue .
Hivyo kwanza humu kausheni kuniomba connection , mpaka mpate akili timamu gademitt
the childrens ❎kumbe mna changamoto sawa na zinazofanana gentleman?🤣
ila I appreciate ukarimu wako kwake, that's how we should be living as human being, the childrens of mama Tanzania 🐒
Si alewe baada ya kupelekaKuna kijana wa humu kanifuata , anataka nimuunganishie mchongo, nikavuta simu moja kwa mwanangu tajiri wa mwanza akampa dogo babashoap, dogo alikua anakula zaidi ya 400k bila wasiwasi kusimamia tu, yeye akusanye tu maokoto ya boss , now boss wake ananipigia simu dongo miyeyusho, analeta pesa pungufu na kalewa vibaya sana , nikamwamba mtimue .
Hivyo kwanza humu kausheni kuniomba connection , mpaka mpate akili timamu gademitt
Niunganishe na mrija wa pesa bwashee unataka niendelee kukaa kwa shemeji like a potatoKiaje bwashee
Sina dharau binadamu walevi, nadharau tabia ya ulevi. PeriodtWewe si unatudharau walevi kila siku humu bwashee 🤣🤣
thank you mwalimu 👊the childrens ❎
the children✅
mtibwa mkuu takuchek pmIpo kiwanda cha mtibwa