Vijana nyie wajinga sana

Vijana nyie wajinga sana

Nilipo nahangaika kumsaidia kwa sababu shida yake ni ulevi kama mimi tu , chawa wewe
kumbe mna changamoto sawa na zinazofanana gentleman?🤣

ila I appreciate ukarimu wako kwake, that's how we should be living as human being, the childrens of mama Tanzania šŸ’
 
Kuna kijana wa humu kanifuata , anataka nimuunganishie mchongo, nikavuta simu moja kwa mwanangu tajiri wa mwanza akampa dogo babashoap, dogo alikua anakula zaidi ya 400k bila wasiwasi kusimamia tu, yeye akusanye tu maokoto ya boss , now boss wake ananipigia simu dongo miyeyusho, analeta pesa pungufu na kalewa vibaya sana , nikamwamba mtimue .


Hivyo kwanza humu kausheni kuniomba connection , mpaka mpate akili timamu gademitt
Sawa tajear... ila ungeweka na "baadhi ya " ingependeza
 
Bwashee unajua humu JF kuna watu wamesha jikatia tamaa ya maisha kabisa,kila kitu ambacho yeye hakiwezi basi anajiaminisha kua na wengine pia hawakiwezi,

Kila uzi utamsikia anasema ni chai! Hii mara nyingi hua ni dalili ya watu waliokata tamaa ya maisha!
Hahaah ni kwel bwashee ila pia naona wapo sawa tušŸ˜… mimi pia ni mdau wa kukosoa sana acha ninywe hicho kikombe🤣
 
Bwashee unajua humu JF kuna watu wamesha jikatia tamaa ya maisha kabisa,kila kitu ambacho yeye hakiwezi basi anajiaminisha kua na wengine pia hawakiwezi,

Kila uzi utamsikia anasema ni chai!

Hii mara nyingi hua ni dalili ya watu waliokata tamaa ya maisha!
cc Hance Mtanashati kila mada yeye ni chai tu
 
Changamoto

Hii story ina nikumbusha siku nimeenda kuomba kazi mgahawani nikapata siku hiyo hiyo, baada ya siku tatu akaja jamaa mmoja kuomba kazi naye akapata baada ya nusu saa watu wa pale wakajisahau jamaa akakomba simu zote kama 5 ambazo zilikuwepo mezani counter akakomba na elf 70 akatembea

Hiyo siku sitakaa niisihau niliabika sana Mimi kijana maskin mwenye shida, jamaa alituchafua sana vijana
 
Kuna kijana wa humu kanifuata , anataka nimuunganishie mchongo, nikavuta simu moja kwa mwanangu tajiri wa mwanza akampa dogo babashoap, dogo alikua anakula zaidi ya 400k bila wasiwasi kusimamia tu, yeye akusanye tu maokoto ya boss , now boss wake ananipigia simu dongo miyeyusho, analeta pesa pungufu na kalewa vibaya sana , nikamwamba mtimue .


Hivyo kwanza humu kausheni kuniomba connection , mpaka mpate akili timamu gademitt
Mkuu, hii ishu c tulishamalizana, mbona unakuja kunitangaza hadi huku tena bro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom