Psalm 103
JF-Expert Member
- Jul 5, 2026
- 1,657
- 2,695
Sasa unatu combine na ambao hatuna hatia!Kiaje
Sasa unatu combine na ambao hatuna hatia!Kiaje
Acha tu ni story ndefu!Inasikitisha sana mkuu 😂
Kwa haraka haraka nilidhani mvuvi amevua nguva 😎
Eh mbona dole tena 🙆Acha tu ni story ndefu!View attachment 3629838
Nguva gani kakaa kama chura hivyo 🤣Kwa haraka haraka nilidhani mvuvi amevua nguva 😎
Anamvuta bana jamani😁Eh mbona dole tena 🙆
Kuna mmoja eti akasema,angesambaza maji mwanza🤣🤣Yani mtu anafoka mpaka povu linakurukia, kutafuta zake aanhh! Anaonea wivu wanaume wenzie wakitafuta pesa!🤣
Astakafirilah 😎Nguva gani kakaa kama chura hivyo 🤣
Ndo anampiga mwenzake starter 😂Anamvuta bana jamani😁
Sio kazi yake bwana kwani zile ela amesambaza mwanza🤣Kuna mmoja eti akasema,angesambaza maji mwanza🤣🤣
Hakika bwasheeBwashee unajua humu JF kuna watu wamesha jikatia tamaa ya maisha kabisa,kila kitu ambacho yeye hakiwezi basi anajiaminisha kua na wengine pia hawakiwezi,
Kila uzi utamsikia anasema ni chai!
Hii mara nyingi hua ni dalili ya watu waliokata tamaa ya maisha!
We umeona ilo umbo?Astakafirilah 😎
Salia mtume
Oyaa hiyo ni AI ama?Acha tu ni story ndefu!View attachment 3629838
Unawaza ujinga hiyo ni video anamvuta alikuwa anataka kuzama, chupi inamtera hafu linene haliwezi kuogelea sijui limelewa!😂Ndo anampiga mwenzake starter 😂
HahaaOyaa hiyo ni AI ama?
Ila ukiwa unaokolewa Huwez kujali njia inayotumika kuokolewa, cha msingi kwanza uwe Hai tuuUnawaza ujinga hiyo ni video anamvuta alikuwa anataka kuzama, chupi inamtera hafu linene haliwezi kuogelea sijui limelewa!😂