Vijana njooni Ughaibuni mtafute mitaji bongo ngumu

Vijana njooni Ughaibuni mtafute mitaji bongo ngumu

Status
Not open for further replies.
Mleta mada mbona hapa hujanijibu?
Usafiri unamaanisha upi Mzee.??.Kama ni city buses usafiri wa kituo to kituo mara nyingi ni 20-27SEK kwa mtu mzima pia inategemea na mji na card Yako Kama unapunguzo ama la inaweza ikashuka Zaid ya hapo..k

Kuhusu rent ya nyumba inategemea sana na eneo sababu huku wenzetu hata Kodi zinatozwa tofauti kulingana na miji mfano mtu Yuko Stockholm ni mwalimu anaweza katwa asilimia 10% afu na mwingine Yuko Lund anaweza katwa kod asilimia 6% so hata majengo bei inapanda nakuongezeka kulingana na Kodi ya eneo husika bila kusahau mwaka ambao jengo limejengwa kwa maana ya kwamba majengo ya zamani Kodi ni ndogo kulinganisha na yaliyojengwa miaka ya HIV karibun..pia miji mikubwa Kama Stockholm, Gothenburg, Malmo na Uppsala Kodi nikubwa kulinganisha na miji Kama umeå na gevle.

Sisi watafutaji tuko katika miji midogo ya zamani na huku ndiko kuliko na unafuu wa kusave pesa vizuri ..mfano mim rent yangu haivuk 3200SEK per month.

Kuhusu msosi inategemea na ulaji wako Mzee ukiona wew unakula Zaid ya 150SEK per day ujue wew ni mlafi na unapaswa urudishwe bongo haraka sana.
 
Toa connection home boy mana huku tulipo wengine kwa marehemu babu mzee madiba sio poa, yani bichi limeingiliwa unaweza kukutana na mtoto wa dada ako maskani uliemuacha kinda tu akakutolea michailo eti ujigijele usipofanya hivyo anakupa ubapa wa panga yani kwamba ye mnambanamba tena ile27 ya damu, sasa heshima hakuna tena dizonga, na mitikasi yenyewe sasa ivi ishakuwa chenga,,
 
Ifike kipindi wa Tanzania tuwe kama wezetu wa Naingeria tubebane tupeane michongo...mwisho wasiku tuje tulisaidie Taifa letu...
Bongo hilo sahahu😅 watu wanataka wakitusua wakuringishie 😅 kwamba wao washachomoka kimaisha we upewe elfu 10/20 wakati unaendelea na msoto!
 
-Mwezi wa sita uliambiwa alizeti dili.

Ukadhamiria kudeal na alizeti.

-Mwezi wa saba ukaambiwa maharage ya njano dili.

Ukaachana na alizeti ukadhamiria kudeal na maharage ya njano.

-Mwezi wa nane mwanzoni ukaambiwa vanila ni bonge la dili. Kilo 1 ni 1M.

Ukaamua kuachana na dili zote mpaka dhambi ili ushughulike na vanila.

-Mwezi wa nane mwishoni unaambiwa unapoteza muda bongo njoo sweden.

Alooo kama una bunduki unawasaka waliokupa maneno tangu mwezi wa sita kuwauliza kwanini wamekuchelewesha sana
Mimi sisikilizi maneno ya watu.

Nafata napenda Nini personally.

Kama ndoto yangu ni kwenda nje Basi juhudi zitafanyika kufikia hicho kitu
 
Najua wazee wakutuponda team box FC wazee wakago a.k.a wabeba boksi mpo na mmejipanga vyema kushambulia Uzi huu kwa makombora mazito Kama bwana Hamza Mzee wa salenda bridge.

Lakini ukweli utabaki kuwa hapo bongo kwa sasa hivi pamekuwa kama tanuru la moto kwa vijana na Cha ajabu jitu Lina miaka 28-35 utakuta limemaliza midigrii yake na mi masters na job ni za hovyo afu bado Lina ndoto za kutoboa kirahisi hapo ukweli mchungu ni kwamba hizo ni ndoto za abunuwazi sababu kutoboa bongo sahiv imekua bahati na sio kwa kutegemea mipango na maarifa havita tusaidia Chochote ndani ya Tz

Mama Hana huruma na tawala za kiafrika hazinaga huruma kwa raia katika kutekeleza maazimia Yao.

Imagine mtu ndani ya miezi mitatu minne naweza save 80k SEK baada ya mahitaji yangu muhimu na bills zote,

UGHAIBUNI pesa ipo nyie endeleeni kuleta ubishi wa kung'ang'ania msipopendwa.

View attachment 1911080View attachment 1911081
Jibu swali hili Mkuu.
Hivi kwanini mkirudi huku bongo mnakuwa kama machokoraa vile wakati mlikuwa mnalipwa mafweza meengiiii tu????
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom