kabisa yani upite na congo kabisa.Mpaka nikanyage Burundi kwanza
😅😅😅 Nendeni inbox sijawahi kuona pesa rahisi kiasi hicho, labda niseme wapo watu wako huko wanalia, na wapo ninao wajua wana neema yaani siyo haba.Tuje inbox sio?
Hii hela ya kupewa bure hujaifanyia kazi. Kwa viwango vya Sweden, hiyo siyo hela nyingi ndiyo maana wamekupa bure. Leo unaringa lkn ujue kazi itaanza baadaye ukiacha kuwa tegemezi wa pesa za bure. Utaishia kuwa maskini tu huko unamiliki nguo na viatuNajua wazee wakutuponda team box FC wazee wakago a.k.a wabeba boksi mpo na mmejipanga vyema kushambulia Uzi huu kwa makombora mazito Kama bwana Hamza Mzee wa salenda bridge.
Lakini ukweli utabaki kuwa hapo bongo kwa sasa hivi pamekuwa kama tanuru la moto kwa vijana na Cha ajabu jitu Lina miaka 28-35 utakuta limemaliza midigrii yake na mi masters na job ni za hovyo afu bado Lina ndoto za kutoboa kirahisi hapo ukweli mchungu ni kwamba hizo ni ndoto za abunuwazi sababu kutoboa bongo sahiv imekua bahati na sio kwa kutegemea mipango na maarifa havita tusaidia Chochote ndani ya Tz
Mama Hana huruma na tawala za kiafrika hazinaga huruma kwa raia katika kutekeleza maazimia Yao.
Imagine mtu ndani ya miezi mitatu minne naweza save 80k SEK baada ya mahitaji yangu muhimu na bills zote,
UGHAIBUNI pesa ipo nyie endeleeni kuleta ubishi wa kung'ang'ania msipopendwa.
View attachment 1911080View attachment 1911081
aliwahi kuweka uzi hum,huko sweden maisha magumu bora arudi bongo .....wadau wakawa wanampa maneno ya kijasiri akomae huko huko,aliweka hadi picha ya passpoti na mihuri ya visa.Kama Ni hivyo Imani yangu ndogo
Yaani hiyo ndio pesa iko kwenye account yake pamoja na kuishi ugaibuni. Muulize ana miaka mingapi huko?Almost mil 21 hongera mkuu
Amesema waendeee.Nimemuuliza tu waje au wasije 😁
Tatizo kubwa hapa ukitaka kuwapa michongo watu; wanadhani unataka kuwapiga.Ifike kipindi wa Tanzania tuwe kama wezetu wa Naingeria tubebane tupeane michongo...mwisho wasiku tuje tulisaidie Taifa letu...
Unajijibu mwenyewe 😅 asee kwa ID nyingineTusihamishe hoja ....jamaa kaleta hoja yenye mashiko tuitumie tuache kuhoji vitu ambavyo havitatusaidi.
Kumbeee aisee mkuu umenifungua masikioaliwahi kuweka uzi hum,huko sweden maisha magumu bora arudi bongo .....wadau wakawa wanampa maneno ya kijasiri akomae huko huko,aliweka hadi picha ya passpoti na mihuri ya visa.
Hili ni swali au ulikuwa unamjibu mtu?Visa ya nchi zipi za EU au U.s unaweza pata visa kirahisi mkuu????
Ni swali, nime edit!Hili ni swali au ulikuwa unamjibu mtu?
Tuanze na wewe mkuu toa mwongozoIfike kipindi wa Tanzania tuwe kama wezetu wa Naingeria tubebane tupeane michongo...mwisho wasiku tuje tulisaidie Taifa letu...
Sa mbona unatufokea na kutuita jitu, si useme tu kistaarabu! Bongo kugumu njooni huku kuna a,b,c uwape na mbinu za kufika huko.