Vijana njooni Ughaibuni mtafute mitaji bongo ngumu

Vijana njooni Ughaibuni mtafute mitaji bongo ngumu

Status
Not open for further replies.
sasa hyo 21milionis ndy ya kupost viza cards na balance aliyonayo bank?

angekuwa na 100 milioni si angepost sehem zake za siri kabisa?
Mkuu,tunatofautiana,hata hiyo 100M ambayo wewe unaona ni nyingi,kuna mtu anaiona ndogo,kila mtu na kiwango chake,hatuwezi kufanana.
 
1) Tunapenda kuja huko lakini tukiwaomba mtusaidie mbinu mlizofanikishia mnatukwepa na kutupa 'execuses'. Mliopo huko hamtaki nasisi tuje, hapo unajitapa kwakuwa umejificha kwenye kicharazio.
2) Vijana wote tukiwa na mawazo ya kukimbia matatizo badala ya ufumbuzi, nani ataijenga nchi ?
 
Serious haujui?

Ingawa sidhani kama kweli anaweza kufuta ila mfano ni kweli amefuta this means anaweza kuilink hiyo akaunti na manunuzi ya mtandaoni.

As manunuzi yanayohitaji taarifa za credit card au debit card yanahitaji namba ya akaunti ambayo hiyo hapo ipo wazi, yanahitaji expire date ya ATM card ambayo hiyo hapo ipo wazi na yanahitaji CVC.

Hiyo CVC jamaa ndiyo kaificha.

So kama Meneja Wa Makampuni anaweza kuiondoa hiyo rangi means anaweza nunua vitu online kwa kadi ya mleta uzi.
Aisee ukijua bank account ya mtu unanunua vitu mtandaoni jaribu uone kama ni simple hivyo..
 
Stori za kijiweni hzo unadhani pesa n rahisi hvyo Yan niokote kadi ya bank fasta niende online kufanya manunuzi eti kisa zile details za kadi unaziona.

Bank sio wajinga Kama watanzania ingekuwa hvyo maisha yangekuwa marahisi Sana.

Kuna zaidi ya taarifa zinatakiwa zaidi ya maelezo ya nje ya hyo kadi.
Online shopping bongo imechelewa Mkuu ndio maana unaona tunaandika vitu vya ajabu ajabu...
 
1) Tunapenda kuja huko lakini tukiwaomba mtusaidie mbinu mlizofanikishia mnatukwepa na kutupa 'execuses'. Mliopo huko hamtaki nasisi tuje, hapo unajitapa kwakuwa umejificha kwenye kicharazio.
2) Vijana wote tukiwa na mawazo ya kukimbia matatizo badala ya ufumbuzi, nani ataijenga nchi ?
[emoji849][emoji849][emoji849]🥱🥱🥱
 
Stori za kijiweni hzo unadhani pesa n rahisi hvyo Yan niokote kadi ya bank fasta niende online kufanya manunuzi eti kisa zile details za kadi unaziona.

Bank sio wajinga Kama watanzania ingekuwa hvyo maisha yangekuwa marahisi Sana.

Kuna zaidi ya taarifa zinatakiwa zaidi ya maelezo ya nje ya hyo kadi.
Siyo kweli, umewahi fanya manunuzi online? Tuanziw hapo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom