Vijana njooni Ughaibuni mtafute mitaji bongo ngumu

Vijana njooni Ughaibuni mtafute mitaji bongo ngumu

Status
Not open for further replies.
Doh nilikua sijui basi kama hivyo kumbe jamaa haitamsaidia hata akipata info zote

Kitu cha muhimu ni upande wa nyuma ya card kama ni credit card au visa debit wanakuuliza last 3 digits ambapo kuna Tarakimu 7
Hapo ndio angekwama
Kwa huku wako makini zaidi kwa fraud ingawa bado watu wanapigwa
 
Unataka nikufunfishe, nataka Mimi nimwonyeshe mleta uzi, ili siku nyingine ajifunze.
Mkuu huwez fanya Chochote nakutumia kadi yote
JPEG_20210827_145549_5820506224580270654.jpg
 
Najua wazee wakutuponda team box FC wazee wakago a.k.a wabeba boksi mpo na mmejipanga vyema kushambulia Uzi huu kwa makombora mazito Kama bwana Hamza Mzee wa salenda bridge.

Lakini ukweli utabaki kuwa hapo bongo kwa sasa hivi pamekuwa kama tanuru la moto kwa vijana na Cha ajabu jitu Lina miaka 28-35 utakuta limemaliza midigrii yake na mi masters na job ni za hovyo afu bado Lina ndoto za kutoboa kirahisi hapo ukweli mchungu ni kwamba hizo ni ndoto za abunuwazi sababu kutoboa bongo sahiv imekua bahati na sio kwa kutegemea mipango na maarifa havita tusaidia Chochote ndani ya Tz

Mama Hana huruma na tawala za kiafrika hazinaga huruma kwa raia katika kutekeleza maazimia Yao.

Imagine mtu ndani ya miezi mitatu minne naweza save 80k SEK baada ya mahitaji yangu muhimu na bills zote,

UGHAIBUNI pesa ipo nyie endeleeni kuleta ubishi wa kung'ang'ania msipopendwa.

View attachment 1911080View attachment 1911081

Watakuja kenge humu njaa kali na watakuita tapeli unataka kuvuta watu PM, na watafuatilia post zako zote tokea ulipojiunga JF
Shauri zao waache waendelee kula vumbi...........
 
Gharama za chakura Kwanzaa inakuaje?
 
Najua wazee wakutuponda team box FC wazee wakago a.k.a wabeba boksi mpo na mmejipanga vyema kushambulia Uzi huu kwa makombora mazito Kama bwana Hamza Mzee wa salenda bridge.

Lakini ukweli utabaki kuwa hapo bongo kwa sasa hivi pamekuwa kama tanuru la moto kwa vijana na Cha ajabu jitu Lina miaka 28-35 utakuta limemaliza midigrii yake na mi masters na job ni za hovyo afu bado Lina ndoto za kutoboa kirahisi hapo ukweli mchungu ni kwamba hizo ni ndoto za abunuwazi sababu kutoboa bongo sahiv imekua bahati na sio kwa kutegemea mipango na maarifa havita tusaidia Chochote ndani ya Tz

Mama Hana huruma na tawala za kiafrika hazinaga huruma kwa raia katika kutekeleza maazimia Yao.

Imagine mtu ndani ya miezi mitatu minne naweza save 80k SEK baada ya mahitaji yangu muhimu na bills zote,

UGHAIBUNI pesa ipo nyie endeleeni kuleta ubishi wa kung'ang'ania msipopendwa.

View attachment 1911080View attachment 1911081
Sio kwamba kuendelea kula vumbi tunapenda mkuu tupe namna ya kufika hapo ulipofika kama hutojali
 
Hongera mkuu, ingependeza ukaweka mchanganuo namna unavyolipwa salary yàko, ni kwa week au mwezi?

•Makazi unalipia kiasi gani? Na Kwa week/mwezi?
•Gharama za chakula kwa siku?
•Gharama za Usafiri?

Na mwengine madogo madogo.
Mleta mada mbona hapa hujanijibu?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom