Vijana mtajenga kweli kwa bei hizi?

Vijana mtajenga kweli kwa bei hizi?

Aluminium kioo one way kimetoka 87 kwa shiti mpaka 160,000
Mafundi tunapata tabu Sana😁😁😁😁
 
masikini ndo wanateseka sana aisee hali ni tete
Kipindi kile cha chuma watu wamejenga na kununua viwanja kwa bei nafuu sana.
 
tajenga tuuuu zitakuja bidhaa mbadala kwenye ujenzi ..kijijini tumekulia nyumba zilizojengwa kwa mawe na kuwekewa mota ya udongo

1. Wengine wanawaza kujenga nyumba ndo mafanikio
2. wngine wanawaza kuoa/olewa ndo mafanikio
3. wengine leisure time ....kusafiri maeneo yenye vivutio mbali mbali
4. wengine wanawaza kuwa na umiliki wa biashara ....
5. wengine wanawaza bia tamu
6. etc
Mkuu kwa maisha ya Tanzania nyumba ndo kitu cha kwanza cha muhimu usipoona umuhimu wake sasa hivi utakuja kuona kipindi una watoto wakubwa na wajukuu na huna pakukaa.
 
tajenga tuuuu zitakuja bidhaa mbadala kwenye ujenzi ..kijijini tumekulia nyumba zilizojengwa kwa mawe na kuwekewa mota ya udongo

1. Wengine wanawaza kujenga nyumba ndo mafanikio
2. wngine wanawaza kuoa/olewa ndo mafanikio
3. wengine leisure time ....kusafiri maeneo yenye vivutio mbali mbali
4. wengine wanawaza kuwa na umiliki wa biashara ....
5. wengine wanawaza bia tamu
6. etc
Kwa nchi za kiafrika Kama Tanzania hasa katika majiji bado kumiliki ardhi na kuwa na nyumba ni kigezo cha kuanza safari ya kujikwamua kimaisha.
 
1. Nondo 22000 kutoka 16000
2. Cement 15000 kutoka 12500
3. Dirisha Aluminium 5*6, 380000 kutoka 250000.
4. Bati Alaf 45000 kutoka 33000.
Hizo ni bei za Dsm sasa sijui kule Mpimwe na Ngarenanyuki hali ikoje?
Kwa Dodoma iko juu zaidi
1. Nondo 26,000/-
2. Cement 17,000-19,000/-
3. Dirisha la Aluminum 400,000/-
 
Ndio tutaelewa sasa maana ya Cartels. Kichwa cha mwendawazimu
Hujui kitu wala maana ya cartels..

Ila ukikuta hapa Bongo life right wala usihangaike hamia Uturuki mkuu maisha huko ni simple na vitu havijapanda bei kabisa ,hakuna cartels 😆😆

Screenshot_20220104-065943.png
 
1. Nondo 22000 kutoka 16000
2. Cement 15000 kutoka 12500
3. Dirisha Aluminium 5*6, 380000 kutoka 250000.
4. Bati Alaf 45000 kutoka 33000.
Hizo ni bei za Dsm sasa sijui kule Mpimwe na Ngarenanyuki hali ikoje?

Dodoma:
Cement 18500…ina fluactuate
Nondo 25000
Dirisha 450,000
Alaf usigusee!
 
1. Nondo 22000 kutoka 16000
2. Cement 15000 kutoka 12500
3. Dirisha Aluminium 5*6, 380000 kutoka 250000.
4. Bati Alaf 45000 kutoka 33000.
Hizo ni bei za Dsm sasa sijui kule Mpimwe na Ngarenanyuki hali ikoje?
HAPA KAMA UWEZO WAKO MDOGO WA KIFEDHA JENGA NYUMBA NDOGO SANA,VYUMBA VIWILI NA SEBULE TU
 
1. Nondo 22000 kutoka 16000
2. Cement 15000 kutoka 12500
3. Dirisha Aluminium 5*6, 380000 kutoka 250000.
4. Bati Alaf 45000 kutoka 33000.
Hizo ni bei za Dsm sasa sijui kule Mpimwe na Ngarenanyuki hali ikoje?
hizo ni bei za mwakajana ndugu,nondo gani inauzwa 22?
saiv ni 27000,cement 16500,hizo dirishani 450,bati 47000...vioo bei imepanda kwa 90%..kipande cha kioo kilichokuwa kinauzwa 2000 saiv ni 4500,sijui kwanini watu bado wanamchukia yule mzee aisee,huyu wa sasa ni🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮
 
Mkuu kwa maisha ya Tanzania nyumba ndo kitu cha kwanza cha muhimu usipoona umuhimu wake sasa hivi utakuja kuona kipindi una watoto wakubwa na wajukuu na huna pakukaa.
Watoto wakubwa na wajukuu watakaa kwako ??
 
1. Nondo 22000 kutoka 16000
2. Cement 15000 kutoka 12500
3. Dirisha Aluminium 5*6, 380000 kutoka 250000.
4. Bati Alaf 45000 kutoka 33000.
Hizo ni bei za Dsm sasa sijui kule Mpimwe na Ngarenanyuki hali ikoje?
Hali ilivyo kwa sasa ni hora kupanga tu[emoji849]
 
1. Nondo 22000 kutoka 16000
2. Cement 15000 kutoka 12500
3. Dirisha Aluminium 5*6, 380000 kutoka 250000.
4. Bati Alaf 45000 kutoka 33000.
Hizo ni bei za Dsm sasa sijui kule Mpimwe na Ngarenanyuki hali ikoje?
Hizo ni Bei za Dar. Ila kwa sisi wa Kahama

#1. Cement ni 22,000/=.

#2. Nondo ni 29,000/=.
 
Watoto wakubwa na wajukuu watakaa kwako ??
Sasa kama umezeeka na hujajenga inabidi watoto wakulipie kodi na maisha ya watanzania watu wanazaa na huku wana wajukuu wakubwa tu au ww unaishi ulaya mke hayo hayapo huko.
 
Back
Top Bottom