Vijana mtajenga kweli kwa bei hizi?

Vijana mtajenga kweli kwa bei hizi?

Daaah bei zipo juuu sana sema mkuu niniii inategemea ww unapenda nyumba ya aina gan mm napandisha rum tatu za udongo juu napga nyasi hiviiiii nachukua wasukuma wanajua sana kupga nyasi tunaita bati za mzaramo a.k.a vigae vya wasukuma kwa lak mbil tyu napata nyumba ya rum tatu korido napishana na mijusi ila fredh muhimu najisitiri!
 
Nasubiria ya urithi dingi aumwe...dingi naye anawaza lini nitakufa apangishe chumba changu
 
Huku nilipo
Nondo 12mm =29,000
Cement 32.5N = 20,000
White Cement 50Kg = 42,000
Tiles 40mm X 40mm = 32,000

Isingekuwa kutishwa na Ile kauli ya Kusema Fainali Uzeeni ningekula Bata tu hela ya Ujenzi 😀🙌
 
1. Nondo 22000 kutoka 16000
2. Cement 15000 kutoka 12500
3. Dirisha Aluminium 5*6, 380000 kutoka 250000.
4. Bati Alaf 45000 kutoka 33000.
Hizo ni bei za Dsm sasa sijui kule Mpimwe na Ngarenanyuki hali ikoje?
Tutajenga tu mbona simpo kabisa!! Miaka ya 90s bei zilikuwa hizo? Mbona wamejenga kwanini tushindwe?
 
Ukiweka Aluminium madirisha 10 na milango ya mninga 10 kwenye nyumba basi andaa milioni 10 mfuko wa shati
 
Unajenga kutafuta nini!? Eat the Money you Make!

Unanunua mabati, Yakikukata je!?
 
Mwanza Cement ni 22000 nongo usipime vyoo ukienda vibaya unapugwa 25000 ukilalamika 23000 ukizunguka kwa wengine 20000. leo ukiambiwa bei hii kesho unakuta mpya.
 
1. Nondo 22000 kutoka 16000
2. Cement 15000 kutoka 12500
3. Dirisha Aluminium 5*6, 380000 kutoka 250000.
4. Bati Alaf 45000 kutoka 33000.
Hizo ni bei za Dsm sasa sijui kule Mpimwe na Ngarenanyuki hali ikoje?
... Mkuu Bome-e kwenye ule uzi mwingine katuhabarisha bei ya nondo (12mm) sokoni leo ni TZS 30,000/=. Hiyo bei ya 22,000/= umeitoa wapi?
 
Inachangamsha akili ,kila mwenye akili timamu anawaza namna ya kuongeza kipato,
Ukilalamika bei kupanda wewe, wengine wanashusha mijengo ya hatari
 
1. Nondo 22000 kutoka 16000
2. Cement 15000 kutoka 12500
3. Dirisha Aluminium 5*6, 380000 kutoka 250000.
4. Bati Alaf 45000 kutoka 33000.
Hizo ni bei za Dsm sasa sijui kule Mpimwe na Ngarenanyuki hali ikoje?
Cement huku Ruvuma ni shilingi 2400 hadi 26000
 
Huku kwetu bariadi Simiyu
Nondo 29,000
Cement 20,000 kwa 21,000
 
1. Nondo 22000 kutoka 16000
2. Cement 15000 kutoka 12500
3. Dirisha Aluminium 5*6, 380000 kutoka 250000.
4. Bati Alaf 45000 kutoka 33000.
Hizo ni bei za Dsm sasa sijui kule Mpimwe na Ngarenanyuki hali ikoje?
Hii nondo ya 22k inauzwa wapi?
 
Back
Top Bottom