Lodge kali kwa bei rafiki jijini Dar es Salaam

officialBossmtoto

JF-Expert Member
Jul 1, 2019
369
1,178
Tumekua tukiona nyuzi mbali mbali za watu wakisaidiana na kupeana bei elekezi za utelezi na maeneo husika unapopata telezi hizo, sasa mnaonaje tukawa na uzi wa kuelezea maeneo sahihi ya kuchinjia (Lodge)
Hapa tutaweka maeneo tofauti tofauti hapa mjini Dar na bei zake elekezi ili kwa wasiojua wapate mwongozo wa wapi pazuri pa kwenda kufanya unyamaaa.

1) Kitowo Lodge -30,000/-
Hii ipo riverside, oposite na boss kalewa kuna njia inaingia ndani kidooogo. Gharama yake ni 30,000/- maji ya moto yapo ila mpaka uombe wakuwashie. Parking ipo kubwa ila kama unapiga na kutoka paki nje maana unaweza zuiwa na mwenzako.

Wanatabia ya kuweka Biblia vyumbani sijui ni kwa sababu gani . Kama pia huna Mchumba fika pale mida ya saa mbili usiku utaokota toto la kwenda pale pale riverside.

IMG_7252.png


2) UNIVERSAL EXECUTIVE INN
Hii iko kijotonyama/sinza. Zamani ilipokua ofisi (HQ) za wasafi. Hii ni 40,000/- ila uzuri wake ni kwamba ukishaingia ndani ni umejitenga na jamii . Kuko very peaceful na kuna kautulivu flani ivi.
Vitanda vizuri na mapokezi mazuri. Wana Bar yao humo humo ndani (ndogo lakini)

IMG_7253.png


3)Atlantic Lodge 20,000
Hii iko karibu sana na namba mbili. Hii haina mambo Mengi. Ilo mtaani kabisa kwa hio mbinu ya kuingia mmoja mmoja kama hamna magari ni muhimu sana. Ndani pia ni pa kawaida sana hapana amsha amsha zozote.

Kiufupi hii ni chaguo la haraka kama ukikuta namba 2 imejaa.
IMG_7254.jpg


4)PATAYA GUEST HOUSE (40,000) MIKOCHENI
Hii ina bei sababu ya eneo ila haina maajabu yoyote ila kwa status kama umepata kitoto kinataka status kikiskia mikocheni kinaweza data akiingia ndani ndo anashangaa heee bora sinza. Cha muhimu lengo litimie.

IMG_7255.png



5) Home Alone 30,000 Kinondoni Vijana
Hapa napo pamekaa kimtego sana ila ukishaingia ndani ni Burudani. Pametulia na pana mazingira rafiki (kwa ndani) hapa parking ipo ila sio rafiki sana. Ukiingia wa kwanza omba asiingie mwenzako maana kutoka kwako wewe mpaka yeye amalize
IMG_7259.png


6)New Langata Lodge (home aloneB) 30,000 American Chips
Hii iko kinondoni American Chips. Hii inabebwa sana na ile Home alone ya kwanza. Hii mara nyingi ukikuta home alone pale juu pamejaa wanakudirect huku. Sio pazuri sanaa na mazingira sio rafiki (nje) kuna kelele kiasi ila ndani panaruhusu game kuchezeka hamna shida.

IMG_7260.png


7)Nefaland Hotel 50,000- 200,000
Hapa unavuna point kama zote . Ukiingia pale ndani mkalishe kwenye kiti afu wewe kaongee na muhudumu . Lipia 50,000 yako alafu mwambie hapa 150,000 tuu sio ghali .
Ipo pale Manzese Argentina kituoni kabisa mwendokasi.
Oya hapa ni unyama huduma rafiki sana na pana utulivo uliopitiliza. Hutajutia kabisa.
IMG_7261.jpg


Kuna mdau kaja inbox na picha za eneo hili. Na anasema yuko hapo mida hii. Kama una swali unaweza muuliza.
IMG_7284.jpg


8)Blue Bird sinza 50,000
Hii nayo nisiseme mengi. Ni hoteli ya kuvunia point. Usipeleke Mal***a. Ushauri, maeneo kama haya peleka binti unaetaka kuvuna point, usipeleke mal**a ni kupoteza rasilimali.

IMG_7262.jpg

Kwa hisani ya mdau [mention]MENEMENE TEKERI NA PERESI [/mention] uzi unaendelea maeneo haya hapa zaidi

Ngoja nisikutenge kaka .kwakuwa wewe umefika viwango vya Apartment wacha niwakumbuke watoto wa Mbwa ili nao wapate kwa kukimbilia .

KEKO
KING PALACE GUEST HOUSE _ gharama ni 7000/8000 japo watoto wazuri wapo hapo masaa 24 , ni wewe na maokoto yako .iko karibu na kituo kidogo cha polisi.

SANITATION GUEST HOUSE_ beba 15000 yako , iko mkabala na Keko modern furniture kwa wenyeji wa keko .

MADINA GUEST HOUSE _ hii iko ndani kidogo kama unatokea geti la pili la DUCE gharama yake ni elfu kumi tu .Gharama ni 10000

MALAIKA GUEST HOUSE _ gharama ni 10000 , ipo barabara ya Chang'ombe mtaa unaitwa Sigara , hapa ni patulivu sana .Watoto wa chuo cha DUCE na Uhasibu wanauza bei chee , elfu nne yako unaweza kulala na mtoto mpaka kuna kucha .

TEMEKE
WASENZWE INN _ hii iko hapo Sudan karibu na shule ya sekondary ya Miburani , hapo watoto wazuri unajiokotea pale Sudan hotel unakuja kulinga .Gharama ni 15000

SEMZABA LODGE _ hii iko hapo karibu na kisoko cha sterio hapo , ni 20000 ila hiduma safi na pia kuna kiswimming cha kuzugia

Hapo ni wanangu mnaojitafuta huko patawafaa ila madon tukutane huku .

KIGAMBONI

WAKAYA LODGE _ iko barabara ya kwenda kambi fulani ya jeshi nimeisahau jina ila ni kama unatokea ferry hapa nenda na 40000/TSh utaishi vizuri , wachuchu wapo wa kutosha ni wewe na pesa yako .

KINGLACE LODGE _ hapa uende na 50000/= huduma ni nzuri na parking safi kabisa , ipo karibu na yule tajiri wa zama zile bwana
Ndama yaani karibu na kwake .

Huko ni Dar es salaam , nimechoka kutype japo sehemu ni nyingi njoo basi huku kwa akina Mwaisa .

Silvant INN _ gharama 25000 , ipo Esso iko upande wa wa kushoto kama unatokea Mbalizi .

Nedlack Inn _ gharama ni 55000 ipo maeneo ya Mafiat njia panda ya kwenda Airport hapo utapata vyumba na wachuchu kutokea hapo Mbeya Carnival

Silent Note lodge _ iko Uyole sehemu wanaita kijumba cha Nyasi , gharama ni 45000 hapo utapata wachuchu wote wanapatikana

Mwalumengese Inn _ hapo utawapata watoto wazuri ila lodge zipo , gharama ni 25000 iko Esso .

Mapacha Lodge _ iko Mbalizi gharama ni 20000 hapo utapata wachuchu lakini pia utaweza kupata kinywaji kwenye lounge yao .

Kwa leo naishia hapa.



Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Tumekua tukiona nyuzi mbali mbali za watu wakisaidiana na kupeana bei elekezi za utelezi na maeneo husika unapopata telezi hizo, sasa mnaonaje tukawa na uzi wa kuelezea maeneo sahihi ya kuchinjia (Lodge)
Hapa tutaweka maeneo tofauti tofauti hapa mjini Dar na bei zake elekezi ili kwa wasiojua wapate mwongozo wa wapi pazuri pa kwenda kufanya unyamaaa.

1) Kitowo Lodge -30,000/-
Hii ipo riverside, oposite na boss kalewa kuna njia inaingia ndani kidooogo. Gharama yake ni 30,000/- maji ya moto yapo ila mpaka uombe wakuwashie. Parking ipo kubwa ila kama unapiga na kutoka paki nje maana unaweza zuiwa na mwenzako.
Wanatabia ya kuweka Biblia vyumbani sijui ni kwa sababu gani . Kama pia huna Mchumba fika pale mida ya saa mbili usiku utaokota toto la kwenda pale pale riverside.


View attachment 2746613


2) UNIVERSAL EXECUTIVE INN
Hii iko kijotonyama/sinza. Zamani ilipokua ofisi (HQ) za wasafi. Hii ni 40,000/- ila uzuri wake ni kwamba ukishaingia ndani ni umejitenga na jamii . Kuko very peaceful na kuna kautulivu flani ivi.
Vitanda vizuri na mapokezi mazuri. Wana Bar yao humo humo ndani (ndogo lakini )

View attachment 2746616

3)Atlantic Lodge 20,000
Hii iko karibu sana na namba mbili. Hii haina mambo Mengi. Ilo mtaani kabisa kwa hio mbinu ya kuingia mmoja mmoja kama hamna magari ni muhimu sana. Ndani pia ni pa kawaida sana hapana amsha amsha zozote.

Kiufupi hii ni chaguo la haraka kama ukikuta namba 2 imejaa.
View attachment 2746625

4)PATAYA GUEST HOUSE (40,000) MIKOCHENI
Hii ina bei sababu ya eneo ila haina maajabu yoyote ila kwa status kama umepata kitoto kinataka status kikiskia mikocheni kinaweza data akiingia ndani ndo anashangaa heee bora sinza. Cha muhimu lengo litimie.
View attachment 2746633


5) Home Alone 30,000 Kinondoni Vijana
Hapa napo pamekaa kimtego sana ila ukishaingia ndani ni Burudani. Pametulia na pana mazingira rafiki (kwa ndani) hapa parking ipo ila sio rafiki sana. Ukiingia wa kwanza omba asiingie mwenzako maana kutoka kwako wewe mpaka yeye amalize


6)Home Alone B 30,000 American Chips
Hii iko kinondoni American Chips. Hii inabebwa sana na ile Home alone ya kwanza. Hii mara nyingi ukikuta home alone pale juu pamejaa wanakudirect huku. Sio pazuri sanaa na mazingira sio rafiki (nje) kuna kelele kiasi ila ndani panaruhusu game kuchezeka hamna shida.

Haya mwenye machimbo aongezee hapo
 
Tumekua tukiona nyuzi mbali mbali za watu wakisaidiana na kupeana bei elekezi za utelezi na maeneo husika unapopata telezi hizo, sasa mnaonaje tukawa na uzi wa kuelezea maeneo sahihi ya kuchinjia (Lodge)
Hapa tutaweka maeneo tofauti tofauti hapa mjini Dar na bei zake elekezi ili kwa wasiojua wapate mwongozo wa wapi pazuri pa kwenda kufanya unyamaaa.

1) Kitowo Lodge -30,000/-
Hii ipo riverside, oposite na boss kalewa kuna njia inaingia ndani kidooogo. Gharama yake ni 30,000/- maji ya moto yapo ila mpaka uombe wakuwashie. Parking ipo kubwa ila kama unapiga na kutoka paki nje maana unaweza zuiwa na mwenzako.
Wanatabia ya kuweka Biblia vyumbani sijui ni kwa sababu gani . Kama pia huna Mchumba fika pale mida ya saa mbili usiku utaokota toto la kwenda pale pale riverside.


View attachment 2746613


2) UNIVERSAL EXECUTIVE INN
Hii iko kijotonyama/sinza. Zamani ilipokua ofisi (HQ) za wasafi. Hii ni 40,000/- ila uzuri wake ni kwamba ukishaingia ndani ni umejitenga na jamii . Kuko very peaceful na kuna kautulivu flani ivi.
Vitanda vizuri na mapokezi mazuri. Wana Bar yao humo humo ndani (ndogo lakini )

View attachment 2746616

3)Atlantic Lodge 20,000
Hii iko karibu sana na namba mbili. Hii haina mambo Mengi. Ilo mtaani kabisa kwa hio mbinu ya kuingia mmoja mmoja kama hamna magari ni muhimu sana. Ndani pia ni pa kawaida sana hapana amsha amsha zozote.

Kiufupi hii ni chaguo la haraka kama ukikuta namba 2 imejaa.
View attachment 2746625

4)PATAYA GUEST HOUSE (40,000) MIKOCHENI
Hii ina bei sababu ya eneo ila haina maajabu yoyote ila kwa status kama umepata kitoto kinataka status kikiskia mikocheni kinaweza data akiingia ndani ndo anashangaa heee bora sinza. Cha muhimu lengo litimie.
View attachment 2746633


5) Home Alone 30,000 Kinondoni Vijana
Hapa napo pamekaa kimtego sana ila ukishaingia ndani ni Burudani. Pametulia na pana mazingira rafiki (kwa ndani) hapa parking ipo ila sio rafiki sana. Ukiingia wa kwanza omba asiingie mwenzako maana kutoka kwako wewe mpaka yeye amalize


6)Home Alone B 30,000 American Chips
Hii iko kinondoni American Chips. Hii inabebwa sana na ile Home alone ya kwanza. Hii mara nyingi ukikuta home alone pale juu pamejaa wanakudirect huku. Sio pazuri sanaa na mazingira sio rafiki (nje) kuna kelele kiasi ila ndani panaruhusu game kuchezeka hamna shida.
kaka nimekuvulia kofia,huu ni uzi bora sana
 
Nefalanda hotel friends kona manzese, ni elfu ishirini na tano chumba ila unapata royal treatment

Hapa nefaland napo nilikua napaweka kwenye List. Kuna mpaka lift. Mara ya mwisho kwenda hapo ilikua 2019 nilikua na toto moja ya kiRwanda nikaona wacha nijilipue. Nikaandaa kama 150,000 nikafika pale nikaambiwa ni 65,000 chumba. . Niliagiza na samaki mkubwa sana. Dada aliniona Tycooon
 
Mwenye kujua Pataya Guest ya Riverside Bei zile room kubwa sasa hivi sh ngapi au Bei zao sasa zikoje? Dadeki kuna lodge raha sana, miaka hio nililala Masasi, UK Lodge vitanda vyake dadeki nlikutana na mmakonde mnyonya pumbu acha mmakonde abaki mmakonde. Shukrani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom