RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 59,524
- 135,645
Kuna Jamaa hapa Kinondoni kanunua nyumba zile za zamani 250m kaipiga chini, sasa hivi hata wiki mbili hazijafika wanamwaga zege ghorofa ya kwanza, anajenga apartments.Inachangamsha akili ,kila mwenye akili timamu anawaza namna ya kuongeza kipato,
Ukilalamika bei kupanda wewe, wengine wanashusha mijengo ya hatari